Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Waungwana tumeongeza mikoa ya kulipa on delivery ambayo ni Dodoma, Lindi naTanga

Hivo kwa sasa wadau wote walio Dar, Morogoro, Singida, Mtwara, Lindi, Tanga, Dodoma na Mbeya, unaweza kuagiza Mzigo ukalipa baada ya kupokea na kukagua mzigo wako

Tunawarahisishia mambo ktk kipindi hiki ambazo wezi na matapel wa mtandaoni wemekua wengi, Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza pia kuna potential kaka, geita, shinyanga, bukoba, simiyu, tabora, uja mwanza kununua bidhaa, japo ni mbali lakini nawahakikishia kwa hizi bei mtafanya kazi, huku TV tunapigwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Ilu
Star x smart 4k Android tv 43"
Brand new 2019
Bei: 570000 tu
0777650286/0718919725
Tupo Mtendeni Zanzibar, tunafanya na delivery kwa walio nje ya Zanzibar kwa uaminifu wa hali ya juu
Na kwa Mikoa Dar es salaam, Morogoro, Dodoma, Singida, Mtwara, Lindi na Mbeya unaweza kulipia baada ya kupokea Mzigo
Karibuni nyote
IMG_20200517_095440.jpeg
IMG_20200517_095443.jpeg
IMG_20200517_095637.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
TCL 65’ smart itanifikia kwa bei gan kahama


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Home theatre sony watt 300 na watt1000 mpka dar bei gani abdul
 
Back
Top Bottom