Hatugombani
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,142
- 805
Poa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa kabisa
Samsung samart 32 inch bei gani hadi dodomaSamsung curved uhd tv 55"
Brand new
Bei 1650000
0718919725/0777650286
Tupo Mtendeni Zanzibar na tunafanya delivery popote Tanzania kwa uaminifu mkubwaView attachment 1451039View attachment 1451040
Sent using Jamii Forums mobile app
Tcl au tlc?
Ni ngumu kupata maelezo kwa uhakika inategemea a na uzoefu wa mtu. Kwa upande wangu kiasi fulani ziko poa. Nilinunua mwezi wa nne mwanzoni picha iko vizuri, tatizo lake ni kwenye remote haziko vizuri.Inaonesha Hisence TV inauza sana na imekuwa kimbilio la wengi, mliotumia mnaweza kutupa mrejesho japo tu ubora wa picha ili nasi tukwapue.
Saa zingine mapapa kina LG na SONY wanatukamua pesa nyingi mno, halafu usikute tofauti hakuna au kama ipo ni kidogo tu... tupeane siri ya urembo.
Ni ngumu kupata maelezo kwa uhakika inategemea a na uzoefu wa mtu. Kwa upande wangu kiasi fulani ziko poa. Nilinunua mwezi wa nne mwanzoni picha iko vizuri, tatizo lake ni kwenye remote haziko vizuri.
Asante sana mkuu, nimeuliza hivyo kwa kuwa mimi nimekuwa mdau wa hizi TV za ‘mchina’ na sijawahi kujuta.
Nilianza na TCL hadi Evvoli, kwa sasa nipo na GoodVision na bado nafaidi tu kwa bei chee... natamani nijilipue Hisence 55” itajulikana mbele kwa mbele.
Ila kwa sasa GoodVision ni kama napata kila kitu, japo ‘wanga’ wanasema eti mchawi DsTV ndo kanipiga upofu.
Vipi kwenye visimbuzi vingine mambo sio mcharo.?
Abdulwahid
Naweza kujipatia GoodVision 55” FullHD (double glass) kwa bei gani.?
Kutoka Mtendeni Zanzibar hadi Mbeya
Tcl smart Android 43" kwa mdau Mbeya
Ametaka alipie baada ya kupokea mzigo
Kwetu si tatzo, atalipia baada ya kupokea mzigo
Karibuni wana Mbeya, agiza chochote ulipie baada ya kupokea mzigo wako
0777650286/0718919725View attachment 1456756View attachment 1456757
Sent using Jamii Forums mobile app