Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Tcl smart Android 32" (2pcs)- Manyoni
Tcl smart Android 43" Mbeya
Sony hometheater dz650 Arusha
Samsung uhd curved 55" Dodoma
Dodoma na Mbeya watalipa baada ya kupokea
0777650286/0718919725
Karibuni nyote, ahsanteniView attachment 1460002View attachment 1460003View attachment 1460004View attachment 1460005View attachment 1460008

Sent using Jamii Forums mobile app
unaweza nitumia Tabora, then nikalipia huku kamautakuwa na wakala au mtu unayemfaham, TV angalau 50" (brand TCL, Hisence, Lg au Samsung)?
 
Tabora bado hatuna cash on delivery
Ulitaka unalipia kwanza ndo tunakusafirishia mzigo, ila kwa uhakika kabisa utaupata mzigo wko bila aina ya yoyote ya ubabaishaji
So tuamini tukuletee kilichobora kwa gharama nafuu
unaweza nitumia Tabora, then nikalipia huku kamautakuwa na wakala au mtu unayemfaham, TV angalau 50" (brand TCL, Hisence, Lg au Samsung)?
 
JIPATIE TV ZA KODTEC KWA BEI POA SANA CALL 0762027102, kwa Dar usafiri popote ni Bure
 
Tcl 55" to Iringa
Hisense 32" to Singida
Ahsanteni sana
Tunaendelea kukupatia kilicho bora kwa gharama nafuu popote ulipo
Karibuni sana
IMG-20200602-WA0010.jpeg
IMG-20200602-WA0009.jpeg
 
Hisense smart 49" kwa mdau Kivule Dar es salaam
Inapokewa na wakala wetu Seif Hamed
Kisha tunampelekea mdau hadi nyumbani kwake kivule, malipo ni baada ya mteja kupokea tv yake
Karibuni nyote
0777/650286/0718919725
IMG-20200602-WA0016.jpeg
IMG_20200602_122329_063.jpeg
 
Kwa wakazi wa Morogoro huyo ndo wakala wetu, Mr Stephen Wilson

Hiyo imeagizwa na mteja, ataippkea Mr Stephen na kuipeleka kwa mteja
Mteja atalipa baada ya kupokea tv na kujirisha

Ahsanteni tunaendelea kuwasogezea huduma.kwa gharama nafuu tena bila chenga chenga yyte
Wakazi wa Morogoro agiza unachotaka utalipia huko mzigo ukifika
0777650286/0718919725
IMG_20200603_135605_690.jpeg
IMG_20200522_162553_157.jpeg
 
Jamani kwa mbeya kuna mtu anahitaji TV bajeti 300000/= iwe inchi kuanzia 32
Iwe TV mzuri na ngumu ata kama used
 
Kuwarahisishia wana Dar es Salaam tunapeleka mzigo Dar es Salaam
Kwa wakazi wa Dar hutasubiri tena Mzigo it utoke Zanzibar, upo hapo hapo dar
Mda utakaosema uletewe utaletewa mda huo huo
0777650286/0718919725
Karibuni
IMG_20200603_163622.jpeg
IMG_20200603_163625.jpeg
IMG_20200603_162806.jpeg
 
Back
Top Bottom