Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Nahitaji TV Hisence mpya
LED UHD 4k

Size hizi 40' , 42' au 43'
Wekeni bei na duka lilipo nije kuchukua mzigo.
 
65" smart 4k 1600000
Ni uvumilivu tu ulinishinda kumbe uwezekano wa kupata chini ya bei niliyouziwa ulikuepo kabisa,daaah!

nimechukua hiyo 65 kwa 1.7, leo bwana dula bei ni 1.6 asee maisha haya hayana formula kabisa,sio mbaya lakini.

Mkuu kwa bei hizo sijui kama utamaliza mwezi na hizo 65 na 70,sijui, najikusanya next week nijie hiyo 70 itantosha sanaa, watu wale world cup kwa mrija.
 
Ni uvumilivu tu ulinishinda kumbe uwezekano wa kupata chini ya bei niliyouziwa ulikuepo kabisa,daaah!

nimechukua hiyo 65 kwa 1.7, leo bwana dula bei ni 1.6 asee maisha haya hayana formula kabisa,sio mbaya lakini.

Mkuu kwa bei hizo sijui kama utamaliza mwezi na hizo 65 na 70,sijui, najikusanya next week nijie hiyo 70 itantosha sanaa, watu wale world cup kwa mrija.
Karibu mkuu
 
IMG_20220819_115610.jpg
 

Attachments

  • IMG_20220819_115307.jpg
    IMG_20220819_115307.jpg
    262.8 KB · Views: 62
Back
Top Bottom