Special Thread Ya Ku'screen shot Simu Yako Tuone Applications Za Kijanja Unazotumia.

Naona Badoo imepigwa promo sana JF, lakini katika screenshots zote zilizotumwa hususani za mabaharia, sijaiona hiyo ya Badoo.
 
Nilijua tuu lazima unifuate Reddit. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nitakuwa sikunangi tena kule
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1487][emoji1487][emoji1487]
 
Cute... kumbe we ni mlokole
Hapana si mlokole, ila ni mtu ninayesali/kufanya ibada. Naamini katika kuhudhuria ibada, na kusali na kujifunza na kulielewa neno la Mungu.
 
Reactions: Paa
Tatizo nikiscreenshot apps zangu sikawii kuitwa mdukuzi, mfano Nina termux ambapo humo nimeshfanya yafuatayo:
apt install && apt upgrade
pip install beautifulsoup4
Nmap -- script vuln (sisemi)
python2 slowloris.py https://(sisemi)
Na mengineyo, am ol 'bou hacking
 
Ambao simu zetu ukijribu kuscreenshot inajizima na kujiwasha yenyewe tunapita kimya kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…