Goodvision
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 858
- 467
Heshima kwenu wana JF,
Mosi,nianza kwa kuwapongeza wote waliochaguliwa kujiunga na masomo ya elimu ya juu.Wale waliokosa msikate tamaa tuko pamoja nanyi na jaribuni tena na tena..
Pili,niwapongeze wote waliobahatika kupata mkopo kwa asilimia yoyote.
Tatu,nawapa pole wote waliokosa mkopo.
Kama baadhi ya thread zilizomo humu zinazoelezea kuhusu wale wote waliokosa mkopo ikiwemo wa priority kwa masomo ya sayansi na kitivo cha elimu KUELEKEA WIZARA YA ELIMU SIKU YA IJUMAA TAREHE 04.10.2013 ili kupata maelezo sahihi ya kilichotokea hadi wa priority kunyimwa mikopo.
Nne,ewe mwanachuo mwenzangu popote pale ulipo kama unauwezo wa kufika dar/wizara ya elimu tafadhali naomba ufike pale bila kukosa kudai haki zetu,mwambie na mwenzako.
With regards.
REMEMBER: "THE FUTURE BELONGS TO THOSE WHO PREPARE IT FOR TODAY"-MALCOM X
Mosi,nianza kwa kuwapongeza wote waliochaguliwa kujiunga na masomo ya elimu ya juu.Wale waliokosa msikate tamaa tuko pamoja nanyi na jaribuni tena na tena..
Pili,niwapongeze wote waliobahatika kupata mkopo kwa asilimia yoyote.
Tatu,nawapa pole wote waliokosa mkopo.
Kama baadhi ya thread zilizomo humu zinazoelezea kuhusu wale wote waliokosa mkopo ikiwemo wa priority kwa masomo ya sayansi na kitivo cha elimu KUELEKEA WIZARA YA ELIMU SIKU YA IJUMAA TAREHE 04.10.2013 ili kupata maelezo sahihi ya kilichotokea hadi wa priority kunyimwa mikopo.
Nne,ewe mwanachuo mwenzangu popote pale ulipo kama unauwezo wa kufika dar/wizara ya elimu tafadhali naomba ufike pale bila kukosa kudai haki zetu,mwambie na mwenzako.
With regards.
REMEMBER: "THE FUTURE BELONGS TO THOSE WHO PREPARE IT FOR TODAY"-MALCOM X