Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa NIGER (Russia + Wagner) na ECOWAS (France + Nato + USA). Nini chanzo na hatma ya mzozo?


Russia hawana haja na rasilimali za niger? Well ill be damn
Hakuna ngozi nyeupe ambae anakusaidia without something in return. Imetokea before itatokea again
 
Ukisikia Marekani anazungumzia demokradia basi hicho ni kisingizio tu, maana marais wanaochagukiwa kwa kura za wizi (vote rigging) huwa ni vikaragosi wa mabeberu, kama huyo Bazoum ni kibaraka wa Ufaransa.., kwahiyo akae pembeni, atupishe!
 
IMEENDA HIYO.
Economic Community of West African States (ECOWAS) member state Cape Verde opposes a military intervention in Niger under the organization’s auspices, Cabo Verde President Jose Maria Neves said. “We all should work to restore constitutional order in Niger but in no way through a military intervention or an armed conflict at this point


 
Shetani (USA) mpenda damu za watu hataipenda hii.
Hawezi kuishi bila damu za watu.

Ila nashukuru tayari watu wenye busara wameanza kupinga vita.
 
Russia hawana haja na rasilimali za niger? Well ill be damn
Hakuna ngozi nyeupe ambae anakusaidia without something in return. Imetokea before itatokea again
Ok nimeandika hivyo kwa sababu Russia ana madini yote ambayo Niger anayo na ana madini mengine ambayo Niger Hana.
Navyoona anachokitaka Russia hapo Niger ni kuzuia Bomba la gesi lisipeleke gesi ulaya,kwa sababu ulaya wamemuwekea vikwazo.
Kwa hiyo hapa ni vita ya kiuchumi TU.
Wao wanataka kumuua njaa,nae anataka kuwaua njaa.
 
Kazi bado inaendelea. WAGNER wapo
 
Leo ndo wakuu wa majeshi wa ecowas wanahitimisha mkutano wao wa kupanga namna ya kuingia kijeshi huko niger. ngoja tuone nini kitafata niger nayo inaendelea kujenga defense line huko mipakani
Huu mgogoro nadhani ndo utakuwa mgogoro ambao utauwa watu wengi sana africa kwa sababu ya tamaa ya viongozi wetu. Kwanza viongozi wazee sana na washa enjoy maisha wanasubilia kufa tu. Tunaitaji viongozi vijana kwa maana bado damu zao zinachemka na watakuwa na maamuzi ya kesho. Africa inatakiwa iamke kutoka usingizini na utegemezi wa kuamuliwa mambo yao wanayoyataka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…