LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kwahiyo mkuu wetu unatakaje yaani?
 
Hatumii nguvu kubwa kivipi?....au sababu hajatumia nuclear?
Gharama ambayo angeilipa Urusi baada ya NATO kiweka base zake Ukraine ni zaidi ya mia ya atakaye zilipa kwenye vita na Ukraine.
Hata ungekuwa ww mkuu ungefanya alicho kifanya Putin.
Kwani kilikuwa hakuna mbinu zingine za kuizuia Ukraine kujiunga Nato mpaka Vita?.

Hii Vita itaifanya Nato kujiimarisha zaidi huko Ulaya mashariki hasa kwenye mataifa yaliyokuwa chini ya ushawishi wa Ussr.
 
Kinachoendelea kwa sasa ni kupiga chini mitandao mingi ya Russia... Nawakubali sana RT, hawana ubaguzi katika kuleta updates za kinachoendelea... Wameshapigwa ban youtube na baadhi ya video zao zimeondolewa... Jamaa wanabalance habari... Sio kama akina aljazeera na bbc
 
Hivi nyie mnavuta bange za wapi....?

Marekani and the allies walitumia miezi mingapi Libya.? Ka nchi ka Africa... na Iraq je.??? Haya kimewakuta nini Syria.??

Na hapo haendagi pekeyake lazima aweke neno the allies..

Nyie subirini kichapo..

acha kuiongelea marekani kwasababu kwa mujibu wenu marekani ni dhaifu na Nato kwa ujumla.
hapa tunaongelea nchi yenye uwezo mkubwa wa kupiga nchi zote za nato kwa wakati mmoja.
 
Kalibakwa sijui sasa kanaona labda kila mwanaume mbakaji
 
wengi humu ni timu urusi na timu america,kila mmoja anavutia kwake ila nawaomba muwemnakuja naupdates zaukweliukweli propaganda nahabari zakuokota vichochoroni zinatuvuruga cc tunaofatilia uzi kimyakimya.....mwisho nadeclare mm pia ni pro russia na ni ant america ...hayaa uzi uendelee
 
Kuwapa silaha raia wakapambane kimya kimya hapo ndo serikali ya Ukraine imecheza maana mchana wanakua kama hawapo wanasoma mazingira ila usiku shughuli wanaipata si kitoto na kuna uwezekano mkubwa hao NATO washapenyeza wanajeshi wengi tu wanashinda kiraia kwenye majengo pamoja na wazawa
 
Kwahiyo unataka tumvishe kaka freeman wig na dera, na mnyika na baba chanja wangu. Hii kauli kutolewa na mwanasiasa sio kabisa. Hili ni tusi

Kwako wewe sio kwa wanaume wote
Ametumia neno 'baadhi' hujui hilo neno lipo kihesabu zaidi ....maana yake sio wote
 
Account ya Chancellor huko Twitter republic
Naona mambo yanazidi kunoga "The Netherlands also announced it will send anti-tank weapons to Ukraine, the Defence Ministry said on Saturday. The Dutch government will supply 50 Panzerfaust-3 anti-tank weapons and 400 rockets, the ministry said in a letter to parliament." Haya sasa babu Putin na aishambulie na Netherlands basi kwa kuisaidia Ukraine na ayaishi maneno yake sasa kama anawezana yeye si mtu wa vitendo?
 
Ikumbukwe kuwa hata US alichukua miezi kuiteka Bagdad wakati wa vita ya Iraq
 
Acheni ubishi na ujuaji hali ya kuwa hata JKT hamjapitia tupeni update za vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…