Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Teh teh teh,wiki tatu tuu nchi nzima ya Iraq ilikuwa chini ya mikono ya Bush.Ikumbukwe kuwa hata US alichukua miezi kuiteka Bagdad wakati wa vita ya Iraq
Tumekusikia msemaji wa Klemlin,lakini ngoja kwanza Putin apambane na hali yake,yale majigambo kabla ya vita mbona sasa hivi hayapo tena.Ila pro USA mnashangaza sana na mna unonko sana yaani vita ndo kwanza ina siku tatu ila mmesha muhukumu putin kwamba kashidwa?
Urusi ina haki ya kufanya chochote pale inapoona usalama wake una tishiwa kama marekani alivyo ivamia Iraq, Afghanistan na kuuwa mamilioni ya raia.
Kama Israel anavyo uwa wapalestina bila huruma kwa kisingizio cha kujinda.
Kwenye vita ni lazima ulipie gharama hizo ulizo zitaja na Putin analijua kabisa ya kwamba hajaenda vitani kwenda kucheza ngoma bali kaenda vitani kupambana na watu wenye mafunzo kama walivyo wanajeshi wake.
Kwenye vita ni lazima upoteze wapiganaji, vifaa,na pesa hata uwe una nguvu kiasi gani ,hata kama unaye pambana naye ni dhaifu kiasi gani.
Marekani aliivamia Iraq mpaka ana iteka Baghdad alikuwa amesha poteza maelfu ya wapiganaji na vifaa vingi vya kijeshi na amepoteza matrion ya $ lakini hakujali hilo alicho jali ni kile kilicho sababisha anavamia.
Alafu kingine ukijaribu kuangalia kiuhalisia bila ushabiki utagundua ya kwamba Urusi hatumii nguvu kubwa sana kwenye hivi vita bali anatumia nguvu za wastani hata mashambilizi ya anga sio makali sana, nadhani ana hofia mauaji ya raia yatakuwa makubwa.
Gharama ambayo angeilipa Urusi baada ya NATO kiweka base zake Ukraine ni zaidi ya mia ya atakaye zilipa kwenye vita na Ukraine.
Hata ungekuwa ww mkuu ungefanya alicho kifanya Putin.
It seems that your in a deep sleepRussia amejidai Ni super power kumbe hakuna kitu
Mpaka Sasa Ukraine imemshinda naona Sasa nato wamemuona Kama karagosi Sasa wameamua kuingia Vita keep msaidia Ukraine na baadaye kumfuata Russia kwake ndyo mwisho wa Russia
Mkuu na Netherland naye anamsaidia Yukreni- The Netherlands also announced it will send anti-tank weapons to Ukraine, the Defence Ministry said on Saturday. The Dutch government will supply 50 Panzerfaust-3 anti-tank weapons and 400 rockets, the ministry said in a letter to parliament.Wamepiga U-turn baada ya kugoma kwa muda mrefu kupeleka silaha! Zile kofia ngumu zipatazo 5000 zilipelekwa siku ya pili baada ya kuanza kwa mapigano.
Ukren pia ina haki sawa na mataifa yote.Ila pro USA mnashangaza sana na mna unonko sana yaani vita ndo kwanza ina siku tatu ila mmesha muhukumu putin kwamba kashidwa?
Urusi ina haki ya kufanya chochote pale inapoona usalama wake una tishiwa kama marekani alivyo ivamia Iraq, Afghanistan na kuuwa mamilioni ya raia.
Kama Israel anavyo uwa wapalestina bila huruma kwa kisingizio cha kujinda.
Kwenye vita ni lazima ulipie gharama hizo ulizo zitaja na Putin analijua kabisa ya kwamba hajaenda vitani kwenda kucheza ngoma bali kaenda vitani kupambana na watu wenye mafunzo kama walivyo wanajeshi wake.
Kwenye vita ni lazima upoteze wapiganaji, vifaa,na pesa hata uwe una nguvu kiasi gani ,hata kama unaye pambana naye ni dhaifu kiasi gani.
Marekani aliivamia Iraq mpaka ana iteka Baghdad alikuwa amesha poteza maelfu ya wapiganaji na vifaa vingi vya kijeshi na amepoteza matrion ya $ lakini hakujali hilo alicho jali ni kile kilicho sababisha anavamia.
Alafu kingine ukijaribu kuangalia kiuhalisia bila ushabiki utagundua ya kwamba Urusi hatumii nguvu kubwa sana kwenye hivi vita bali anatumia nguvu za wastani hata mashambilizi ya anga sio makali sana, nadhani ana hofia mauaji ya raia yatakuwa makubwa.
Gharama ambayo angeilipa Urusi baada ya NATO kiweka base zake Ukraine ni zaidi ya mia ya atakaye zilipa kwenye vita na Ukraine.
Hata ungekuwa ww mkuu ungefanya alicho kifanya Putin.
Atakuua kwa presha mtu haelewi unamng'ang'aniza. Si muendelee na mada ingine mkuu.Yaani wewe sijui nikuitaje wallah.
Nimetolea tu mfano hata Urusi angeivamia Djibouti tu ambayo ni nchi ndogo isiyo na jeshi imara lazima wanajeshi wa Urusi nao wangekufa hata kama wangewaua wa Djibouti kiasi gani.
Halafu eti warusi wasife kwenye vita ya Ukraine ambayo wana silaha na zana za kisasa za kijeshi ingawaje sio kama za Urusi.
Wote wanakufa ila pengine idadi ikatofautiana.
acheni porojo hapa.eti ndani ya dakika 10,si awamalize sasa kama kweli ana hiyo jeuriSAA 1 kubwa sana akitaja kuimaliza hata ndani ya dakika 10 anao huo uwezo,na wasije kulalalimika kuwa Russia anaua RAIA.
Russia kabakiza Kiev tu ili awe ameteka nchi kitu ambacho kitazua kelele ndio maana Putin aliagiza jeshi lisichukie Kiev kwanza ili kutoa nafasi ya mazungumzo na Ukraine ambapo imeshindikana,now katoa go ahead so subiri kisha utaona kama atafanikiwa au lah.Pili lazima ujue kuwa hata Ukraine wanapigana kama ambacho kila nchi ingepigana lkn wataangushwa tu pamoja na support yote wanayopewa.Na mwisho Russia anajaribu kuichukua Kiev bila mauaji mengi ya raia ya kawaida ambapo akiona kuna ugumu wa kukwepa hayo mauaji basi anaweza kuamua kufyeka wote.
mkuu mbona kama ujeruman amekuwa mgumu kutoa sapoti kwa ukrain ana maslahi ganWamepiga U-turn baada ya kugoma kwa muda mrefu kupeleka silaha! Zile kofia ngumu zipatazo 5000 zilipelekwa siku ya pili baada ya kuanza kwa mapigano.
Kama mnalijua hilo,zile mbwembwe kabla ya vita zilikuwa za nini?Hivi nyie mnavuta bange za wapi....?
Marekani and the allies walitumia miezi mingapi Libya.? Ka nchi ka Africa... na Iraq je.??? Haya kimewakuta nini Syria.??
Na hapo haendagi pekeyake lazima aweke neno the allies..
Nyie subirini kichapo..
Na Vimepigwa Marufuku.
Uko sahihi kuna dogo kaenda huko kusoma anasema wapo kwenye mahandaki na huduma muhimu zote wanapata huko huko.Wananchi wengi wamepelekwa maeneo maalum ya kujificha ya chini ya ardhi.Hivi sisi Tanzania tunayo hayo maeneo kweli?
Wafuasi wa Putin sasa hivi wamegeuka kuwa watu wa propaganda,wamesahau yale majigambo waliyokuwa wanayatoa hapa siku chache kabla ya vita,sasa hivi tunawakumbusha wanakuwa wakali πMimi ninapongela muda unaotumika kuingusha ukrein. kwa sifa zinazomwagwa humu ilitakiwa iwe kazi ya masaa tu kuidodosha ukrein
...hii ingelitupa picha kuwa ni kweli Nato wanapigwa kwa kwa siku 2 ama 4 kama inavyosemwa.
tulitegemea mechi ya Man city na Fc Gogogo Man city awe anaongoza bao 5 ndani ya kipindi cha kwanza ila sasa ni kipindi cha pili ana bao 2 na zote ni penalty ππ.
mashabiki wa Man city mnatuambia kuwa wakichukuliwa wachezaji wa Bayne, Psg, Madrid, Barcelona, man U na Juve wote waingie uwanjani kwa wakati mmoja ila bado Man city itawapiga bao za kutosha tena dakika mwanzo tu. sasa sisi akina Tomaso tunaona ni Chai kavu.
Ujerumani haiwezi kuingilia huo mgogoro wa Ukraine. Hapo ni Habari uchwara tu changamsha genge za kujikosha.
Umewahi kuishi urusi ukaona anatawala ki dikteta ...cha ajabu unaweza kuta unaipenda ccm kwA kuamini inatawala kidemokrasiaAfadhari kama ni kweli,simpendi Putin,natamani huu ndiyo uwe mwanzo wa mwisho wa utawala wake wa ki Dikteta.