Wameshaanza kuleta blah blah zao hapa za Urusi alipisha mazungumzoUrusi na team yao huku namtumbo hawaamini wanachokiona, walitegemea itakua nyepesi tu siku moja wamemkamata rais vita imeisha, wapi hahahaa wanaume wamesimama tambo za bure yani Ukraine anakuweka siku 4 unapambana tu halafu mnasema super power.
Leta na group za Russia vile Putin anavyohangaika kuwadhibit wanaoandamana kupinga vita pia,wao wanasemaje au unadhani Wananchi wa Russia wote wanafurahia kinachoendela kwa sasa?Huko kiev hali si shwari... Kuna group la Ukraine wanalalama kwamba jamaa Mrusi anatupa vitu vizito
marekani hadi kumkamata tu sadam alitumia wiki tatu. kule afghan hadi wameondoa wanajeshi na taliban wakabeba nchi. unajua kilichotokea kule kwa wenye vimacho vidogo.Wameshaanza kuleta blah blah zao hapa za Urusi alipisha mazungumzo
Ukrain sio nchi ndogo, huwezi kulinganisha na US vs Iraq ambao walitumia siku 21 kuwadondosha. Ukrain ni nchi ambayo imekuwa trained muda mrefu na NATO, wanao uwezo wenyewe kuunda ndege za kivita na wanauza hata nje, wanaunda vifaru na wanauza nje, pia wamesaidiwa sana kijeshi kwa silaha na nchi z amagharibi. ndio maana urusi alichofanya cha kwanza ni kushambulia vituo vya jeshi na maghala ya silaha etc, akawapararaizi, ndio maana kilichobaki kwao wanaomba silaha toka west ili waanze kupigana mtaani. na kupigana mtaani ni hasara kwao kwasababu raia wengi wamekimbia nchi na wataendelea kukimbia nchi, watabaki wanajeshi wanaojjificha kwenye majengo, na kwa sheria za kivita, unatakiwa kupiga panapotokea shambulizi, kama ni kwenye majengo urusi atatondosha yote hayo. na kwenye uwanje/nje ya mitaa hawawezi kwenda kwasababu urusi atawadungua wote kwa ndege na helcopter. wanachofanya ni kuidondosha nchi yao wenyewe kwa maslahi ya wamagharibi, huu ndio ukweli mchungu. mimi ni pro-magharibi lakini katika hili najua kabisa kwamba ukrain are bing used kama condom tu kwa maslahi ya magharibi na atakayeumia ni ukrain, sio russia wala magharibi. russia hata akiumia itakuwa sio sawa na ambavyo angekuja kuumia siku NATO wangeweka kambi ukrain, alikuwa hana jinsi ila kufanya alichofanya. penye ukweli tuseme ukweli.
Putin yeye hana colateral damage? Chapwa hii ni vita ya nchi mbili. Russia Anaivamia sababu ni taifa weak na lililotokana na Russia hivyo anaona linatakiwa lifuate maelekezo yake. Otherwise lingekuwa na nguvu kama China Puttin angeliheshimu na asingelipangia.jasiri huwa anatakiwa kutumia akili. hakuna faida yeyote kusifiwa kuwa ni jasiri wakati hautumii akili. na unasababisha collateral damage to your own country ambayo umeijenga kwa muda mrefu. hebu jaribu kufikiria mfano Tz tulivyoijenga kwa miaka mingi kwa kodi zetu hivi, halafu anatokea rais mmoja anataka kututia kwenye hasara ambayo ingeepukika ili asifiwe kwamba aliipigania nchi, ikisambaratishwa tuanze tena kuijenga upya. hiyo akili au matope? tena kwa maslahi ya wamagharibi sio ya watu wako.
ni mtoto kupigana kwenye uwanda, ila kupigana kwenye corridor za mitaa hakunaga hiyo comparison, kwasababu pale ili kupiga unatakiwa kufanya mahesabu makubwa sana ili usivunje sheria za kivita ukimaliza vita uanze kusumbuliwa, jua hayo ni civilian residence hivyo huwezi kupiga tu. chukua mfano wa israel vs hezbulah na hamas, wakianza kupigania mitaani kwenye majengo lazima israel hawezi kupiga tu hovyo la sivyo anaweza kudondosha majengo yote. ndicho kinachotokea kwa russia, alipotoka kwao ameingia nchini ukrain kirahisi tu kwa kutumia ndege na helcopter, ila alipofika kiev na miji mingine ukrainians ndio wamejificha na kujipanga kwenye mitaa ya majumba, hivyo inatumika akili kupigana huwezi kurusha tu makombora, kwa sheria za kivita, kibaya ni kwamba vyovyote atakavyofanya au whatever time it will take, ni kwamba anapigania nyumbani kwako kwahiyo kama kuna kitu kinavunjika ni vyombo vyako na kuta za nyumba yako.View attachment 2132455Eukraine ni mtoto sana kwa Russia.
damage alizonazo ni kwa vifaru na wanajeshi tu ambao ni kitu cha kawaida kufa au kupotea, lakini sio miundombinu ya kijeshi, miundombinu ya raia na majengo, maafa ya raia, miundombinu ya kiuchumi n.k. kule nyumbani kwake russia kupo salama, ila ukrain majengo yanadondoka, vituo vya kijeshi vyote vimesambaratishwa, umeme wameteka, anayepoteza zaidi ni nani? kwanza putin hayupo vitani analala fresh nyumbani kwao, ila comedian yupo vitani mtaani halali hata kulala.Putin yeye hana colateral damage?
Russia ni super power, huwezi mlinganisha na Eukraine. Pili Eukraine imejimega kutoka Russia. Ni sawa na Tanganyika iivamie Zanzibar halafu tutegemee Zanzibar ishinde.ni mtoto kupigana kwenye uwanda, ila kupigana kwenye corridor za mitaa hakunaga hiyo comparison, kwasababu pale ili kupiga unatakiwa kufanya mahesabu makubwa sana ili usivunje sheria za kivita ukimaliza vita uanze kusumbuliwa, jua hayo ni civilian residence hivyo huwezi kupiga tu. chukua mfano wa israel vs hezbulah na hamas, wakianza kupigania mitaani kwenye majengo lazima israel hawezi kupiga tu hovyo la sivyo anaweza kudondosha majengo yote. ndicho kinachotokea kwa russia, alipotoka kwao ameingia nchini ukrain kirahisi tu kwa kutumia ndege na helcopter, ila alipofika kiev na miji mingine ukrainians ndio wamejificha na kujipanga kwenye mitaa ya majumba, hivyo inatumika akili kupigana huwezi kurusha tu makombora, kwa sheria za kivita, kibaya ni kwamba vyovyote atakavyofanya au whatever time it will take, ni kwamba anapigania nyumbani kwako kwahiyo kama kuna kitu kinavunjika ni vyombo vyako na kuta za nyumba yako.
na wewe hii porojo piaHii kamba mzee baba. Kichapo kizito kinatembezwa hapo KYIV.
Kukikucha tutakaa meza moja kupata kifungua kinywa.jasiri huwa anatakiwa kutumia akili. hakuna faida yeyote kusifiwa kuwa ni jasiri wakati hautumii akili. na unasababisha collateral damage to your own country ambayo umeijenga kwa muda mrefu. hebu jaribu kufikiria mfano Tz tulivyoijenga kwa miaka mingi kwa kodi zetu hivi, halafu anatokea rais mmoja anataka kututia kwenye hasara ambayo ingeepukika ili asifiwe kwamba aliipigania nchi, ikisambaratishwa tuanze tena kuijenga upya. hiyo akili au matope? tena kwa maslahi ya wamagharibi sio ya watu wako.
hata marekani ni superpower lakini imesumbuliwa na wataliban tu kwa miaka mingi hadi wakaamua kuondoka, maelfu ya wanajeshi wa marekani wameuawa na taliban, na walikuwa hawapiganii kwenye mitaa ya majengo kama ukrain, walikuwa jangwani huko na kwenye milima, ila US hakuwamaliza, sasaivi wanaongoza nchi yao. on the other way, Ukran imekuwa trained na NATO tangu 2014, wamepewa silaha kadhaa na nato, kama ambavyo huwezi kulinganisha USA na afghanistan au iraq, ndivyo ambavyo hutakiwi kuidharau ukrain dhidi ya russia, sio mtoto kihivyo hata kama russia ni superpower.Russia ni super power, huwezi mlinganisha na Eukraine. Pili Eukraine imejimega kutoka Russia. Ni sawa na Tanganyika iivamie Zanzibar halafu tutegemee Zanzibar ishinde.
Tuachane na wamarekani. Russia yupo vitani na Eukraine. Wamarekani na wao wanaangalia kwenye Tv kama sisi. Sijaidharau Eukraine, nawaona wapo vizuri na wanasababisha Russia aumie. Wasingehold on mpaka leo Russia Banks zisingekutana na majanga ya swift na asset kuwa freesed.hata marekani ni superpower lakini imesumbuliwa na wataliban tu kwa miaka mingi hadi wakaamua kuondoka, maelfu ya wanajeshi wa marekani wameuawa na taliban, na walikuwa hawapiganii kwenye mitaa ya majengo kama ukrain, walikuwa jangwani huko na kwenye milima, ila US hakuwamaliza, sasaivi wanaongoza nchi yao. on the other way, Ukran imekuwa trained na NATO tangu 2014, wamepewa silaha kadhaa na nato, kama ambavyo huwezi kulinganisha USA na afghanistan au iraq, ndivyo ambavyo hutakiwi kuidharau ukrain dhidi ya russia, sio mtoto kihivyo hata kama russia ni superpower.
Lakini za Russia ndiyo zina ukweli siyoKuna taarifa zinasambaa kwamba video nyingi zinazorushwa na Ukraine sio halisi
mimi mwenyewe hivi ninavyoandika naangalia al jazeera, france 24, bbc na RT ya urusi. kiukweli kila palipo na vifaru vilivyoteketezwa au magari yaliyoteketezwa naona ni vya ukrain, na hapo jua media za magharibi zinajitahidi sana kuficha ukweli ili kuonyesha kuwa ukrain wameleta substantial resistance. ila wanabutuliwa mno on the ground. magari yao, vifaru, ndege etc wanapigwa mno hasa usiku wa sasaivi. majengo na miundombinu vinafumuliwa na hii ni mbaya kwa maendeleo yao.Tuachane na wamarekani. Russia yupo vitani na Eukraine. Wamarekani na wao wanaangalia kwenye Tv kama sisi.
Na wanavyohold na Russia nae anaumia kwa kukutana na vikwazo vipya ambavyo ni vibaya sana kwa raia wake. Kama hivi vya leo vi3 ni mwiba kwa Russia.mimi mwenyewe hivi ninavyoandika naangalia al jazeera, france 24, bbc na RT ya urusi. kiukweli kila palipo na vifaru vilivyoteketezwa au magari yaliyoteketezwa naona ni vya ukrain, na hapo jua media za magharibi zinajitahidi sana kuficha ukweli ili kuonyesha kuwa ukrain wameleta substantial resistance. ila wanabutuliwa mno on the ground. magari yao, vifaru, ndege etc wanapigwa mno hasa usiku wa sasaivi. majengo na miundombinu vinafumuliwa na hii ni mbaya kwa maendeleo yao.
toka dunia imeumbwa hakuna kinachokubaliwa na.wote wala kinachopingwa na woteLeta na group za Russia vile Putin anavyohangaika kuwadhibit wanaoandamana kupinga vita pia,wao wanasemaje au unadhani Wananchi wa Russia wote wanafurahia kinachoendela kwa sasa?
Na wanaomkejeli hapa wengi wao hata kupull trigger ya 38 caliber revolver hawaweziHuyu anayeitwa commedian na yeye kwa kweli amejitahidi kuhold on. Saluti sana kwake.
Jamaa ameonyesha dunia kuwa yeye ni mwanaume.Na wanaomkejeli hapa wengi wao hata kupull trigger ya 38 caliber revolver hawawezi