The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwa mfano Russia,USA akiingia wanapigwa asubuh kwa sababu si tuu hawapendi vita bali wanamchukia Putin ndio maana kila sehemu wanaandamana.Nchi inaweza ipiga nchi ambayo wananchi hawaitaki Serikali tofauti na hapo ni ngumu itakuwa mchezo wa kuviziana tu
Niliacha kupigana muda mrefu sana. mpaka leo sipendi ugomvi wowote ule..Zile mbwembwe za vita itaisha ndani ya masaa 24 ndiyo tufute rasmi siyo?
Kabisa ila watu wabaya sana wanalazimisha Marekani eti alama/nembo ya amani ya dunia. Ile bendera imekula silently damu nyingi sana za AfricaMungu! Kulipa ubaya kwa ubaya!,
Russia hakuna racism!
Kabisa Equitable.
Hiyo nuclear amesema ni zawadi kwa NATO kama watashoboka.Jamaa kaonyesha udhaifu sana kuingiza mambo ya nuclear. Yeye amalizie kilichompeleka kama kazidiwa arudi Russia.
Ni ngumu kuishi tz usinufaike na hiyo misaada ama kutumia, never.Mimi ndio napokea misaada?
Wale wanaopekea misaada si ndio wanaofaidika au hujui nini.
Hata mimi nikiwa napokea 10% kweny nchi ya wajinga kama ninyi nawauza.
sasa nato hawana nyuklea anafikiri?Hiyo nuclear amesema ni zawadi kwa NATO kama watashoboka.
Toka siku ya kwanza alisema nuclear hazpo kama toi.
Ninyi wakenya si ndiyo mlikuwa mnamsimanga mrussia! Akili zimewakaa sasa. Hata hivyo tunaomba usalama wa ndugu zetu uimarishwe.
Ujue waongoza vita wao hawana akili,wameingia na jeshi kubwa na silaha lundo bila strategy mwisho wa siku loss ya askari na vifaa imekuwa kubwa..Jamaa kaonyesha udhaifu sana kuingiza mambo ya nuclear. Yeye amalizie kilichompeleka kama kazidiwa arudi Russia.
Unajua zamani URUSI alitambulika yuko ASIA??Haupo sawa Urusi upande moja ipo bara la Ulaya na upande mwingine ipo bara la Asia.
Mimi sijui haya mambo ya 24 Hrs vita yametoka wapi? Ukraine ni nchi kubwa na wana jeshi ni ile kuwa wanapigana na mkubwa kuliko wao. Sijawahi kuandika 24 hrs ila nimesema hata wapigane mwaka mwisho wa siku Russia atashinda.Zile mbwembwe za vita itaisha ndani ya masaa 24 ndiyo tufute rasmi siyo?
Ni ngum kuishi nchi ya wajinga kama wewe uwe kiongozi usipige 10%.Ni ngumu kuishi tz usinufaike na hiyo misaada ama kutumia, never.
Lakini si humuhumu ndimo mlipokuwa mkisema anatumia silaha za kishamba (kizamani)... Sasa hizo si ndio advanced weapons...??Kabisa Equitable.
🤣 🤣 🤣
Duu!!! ni stress au ndio ule unyani aliousema mtikila..Ninyi wakenya si ndiyo mlikuwa mnamsimanga mrussia! Akili zimewakaa sasa. Hata hivyo tunaomba usalama wa ndugu zetu uimarishwe.