T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
wewe jamaa bana kisa kufungwa anga la ULAYA ndio ndege zisipite kweli?Rocket Man atapitisha wapi hao Wanajeshi wakati yuko mbali na Ukraine? Hao wa Belarus ni karibu na Ukraine na wameenda kwa Mguu.
Anga la Ulaya limeshafungwa kwa ndege zote za Urusi na Washirika wake,Hizo ndege za North Korea zitakazobeba hao Wanajeshi zitapita Anga ipi?
Zamu ya Urusi usiku
Videos on social media captured what appears to be a HUGE artillery assault apparently launched by Russian troops
Nuclear bomb???Kitu ambacho ni tishio kwa dunia na sikulifahamu ni kuwa Russia ndio nchi yenye stock kubwa zaidi ya Nuclear
View attachment 2133274
Ona huyu. Kesho njoo hapa na mikono kichwani, Zelensky will not step down. He will not bow down to PutinAcha kudanganya na kujidanganya. Rais Ukraine alikataa mazungumzo kufanyikia Belarus. Baada mkong'oto kuendelea amekubali. Na anaenda kwa terms za Russia. Na hapo utakuwa ni ushindi kwa Russia, NATO watakuwa wameshindwa rais atalazimishwa ku step down.
Unamzungumzia Trump huyu ambae chini ya utawala wake ndege zake za kivita (sio chini ya moja) Meli za kijeshi na kambi zake za kijeshi zilishambuliwa na Iran kule Iraq au Trump yupi? Labda ungesema Bush hapo ningeelewa, maana jamaa anapenda vita kama wazaramo wapendavyo mdundiko.Kwa hiki kinachoendelea hivi sasa kati ya Ukraine na Russia nadhani lama raisi wa Marekani angekuwa Donald Trump saa hizi Russia ingekuwa imeshafutika kwenye uso wa dunia hii
Bado Sana kwa nchi yetu.Wakuu.
Kama Taifa, tuna la kujifunza kutoka Ukraine.
Kuna tabia ya wanaJF humu kukosoa ule utaratibu wa kuwapeleka JKT vijana wanaohitimu kidato cha sita kila mwaka.
Kwa yaliyotokea Ukraine nadhani tutakuwa tumeona umuhimu wa kila raia kuwa na ujuzi wa kutumia silaha pamoja na kujengwa kikakamavu na kisaikolojia kuweza kukabiliana na maafa ya namna yake.
Sio kesho tunavamiwa na nchi nyingine, vijana wanaanza kugombania vivuko na wazee kwenda nchi jirani kutafuta hifadhi baada ya kubaki nyumbani na kuipambania nchi.
Palestine [emoji1137].
Chairman wa UNSC ni Russia na sasa balozi wake nadhani anamaliza muda wake kesho. Kuna uwezekano Russia ikaondolewa kwenye UNSCUN Security Council votes to convene an emergency special session of the General Assembly on Monday to discuss Russia's operation in Ukraine - this is the first time a move like this happened since 1982.
RT
Nimerudi.Ukifikiria kama hivi basi utaingia kwenye matatizo kama yaliyomkuta Ukraine. Russia haitaji uwe mshirika wake. Anachohitaji ni usalama wa nchi yake; lielewe dhumuni na mantiki ya Russia. Na hakuna anayepinga kama Russia naye kijeshi ni mkubwa kama huyu mkubwa aliye na ushawishi.
Nimejaribu kuirejea historia lengo ni kupata kujua endapo ukiwa kwenye nafasi kama ya Ukraine uishi vipi! Historia inatufunza kwa Cuba baada ya kumkaribisha Soviet aweke makombora yake. Cuba ni pua na mdomo na US. US kwake ikawa ni tishio. Alichokifanya aliwapiga vikwazo Cuba. Haikutosha akajaribu kufanya mapinduzi ila yakashindwa.
Huyu ni mwenye nguvu ya kijeshi na ushawishi alitumia nyenzo zake. Mwenye nguvu ya kijeshi peke yake unafikiri atatumia nguvu ipi?
Kingine umezungimzia vikwazo kwa Mrusi tambua ya kwamba havitomuathiri peke yake. Kwa namna moja na nyengine vita athiri na wengine kwa sababu: Russia ndiyo nchi ya 3 duniani (kama sijakosea) inayozalisha mafuta kwa wingi baada ya mashariki ya kati. Russia naye ni mzalishaji mkubwa wa ngano duniani. Russia ni miongini mwa nchi zinazozalisha gesi kwa wingi duniani.
India, Misri, China n.k zinategemea ngano ya kutoka Russia. Misri inatumia takribani $ billion kadhaa kununua ngano Russia. Bara la ulaya wanategemea gesi kutoka Russia kwa % kubwa. Kuna nchi nyengine zinategemea kwa 100% gesi ya Russia zipo Ulaya na huku wanataka kumtoa kwenye mfumo wa SWIFT hayo malipo mtayafanya kwa njia gani? Ukraine yenyewe inategemea gesi ya Russia.
UK anatumia sana anga ya Russia kwenda New Zealand, Australia n.k Russia naye kampiga vikwazo vya kutotumia anga yake. Ina maana UK ata-change route ambayo itakuwa ni ndefu sana (hapa gharama za mafuta zitaongezeka) itasababisha gharama kwa mteja kuwa juu sana.
Hivyo haya masuala ni mapana. Russia wataathirika ila Russia hatoathirika peke yake. Unampiga vikwazo huku unategemea gesi kutoka kwake naye akiongeza gharama za mauzo ya gesi mtafanyaje?
Nafikiri kwa kiasi fulani tumeelewana?
Trump mwenyewe chini ya utawala wake meli zao ngapi zilishambuliwa na Iran na hakuingia vitani, hapo sijataja zile ndege zao zisizokuwa na rubani zilivyolipuliwa mchana kweupe na Iran pia zile kambi zao za jeshi zilizoshambuliwa na Iran kule Iraq hadi kusababisha vifo na majeruhi kibao wa jeshi. Angalau jamaa angemzungumzia Bush hapo ningemuelewa.Angepiga tu kelele kama kwa korea kaskazin
Upumbavu ni wa Ukraine... Kafanywa kuwa uwanja wa vita yeye anahisi anasaidiwa..?? ww jiulize hizo jets atashambuliwa ndani ya Urusi ama nchini mwakeEU wamesema watatoa fighter jets kwa Ukraine. Huu sasa ujinga kuendeleza mgogoro, hii vita ilibidi iishie kwenye mazungumzo yatakayofanyika ila Westerns wanazidi kutuma silaha. Ukraine hawajui kuendesha ndege yoyote inayotumika na EU members ukiachana na members kama wawili hivi wenye Mig-29 zilizozeeka hazina hata spare parts. Ukraine wanatumia Mig-29 ambazo walirithi baada ya Soviet Union. Sasa hizo ndege za EU nani ataendesha kama sio wao, mbona kama wanalazimisha vita iwe ya Russia vs NATO.
Vita ingeisha mapema kwa mazungumzo
EU na NATO wameshamuona PUTIN kateleza kwahiyo hapa hapa ndio pakummaliza. Putin aliingia vinginene kakutana nahali nyingine, alinua eazy tu anapiga anafukuza raisi anaweka wake, hakwenda kwa total war, akawa anajitahkdi kukwepa kuumiza raia, akajua akikamata viwanja vya ndege, akipiga maghala ya siraha na sekta muhimu tayari kawanyong'onyesha, mambo yamekuwa magumu, hapa ni aidha ajitoe akili apigane total war au akubali kuvuka nguo kitu ambacho sidhani atakubali. sasa kitu kibaya kwamba na raia nao wakuwa wajeda wasaidizi, haoa ndio pagumu.EU wamesema watatoa fighter jets kwa Ukraine. Huu sasa ujinga kuendeleza mgogoro, hii vita ilibidi iishie kwenye mazungumzo yatakayofanyika ila Westerns wanazidi kutuma silaha. Ukraine hawajui kuendesha ndege yoyote inayotumika na EU members ukiachana na members kama wawili hivi wenye Mig-29 zilizozeeka hazina hata spare parts. Ukraine wanatumia Mig-29 ambazo walirithi baada ya Soviet Union. Sasa hizo ndege za EU nani ataendesha kama sio wao, mbona kama wanalazimisha vita iwe ya Russia vs NATO.
Vita ingeisha mapema kwa mazungumzo
Uwezekano wa Urusi kuondolewa uanachama wa UNSC hivihivi si rahisi.Chairman wa UNSC ni Russia na sasa balozi wake nadhani anamaliza muda wake kesho. Kuna uwezekano Russia ikaondolewa kwenye UNSC
Acha kudanganya watu mtu mzima kiwa uko upande gani ivyo vikwazo tangu mwanzo hawasikii kwaniEU na NATO wameshamuona PUTIN kateleza kwahiyo hapa hapa ndio pakummaliza. Putin aliingia vinginene kakutana nahali nyingine, alinua eazy tu anapiga anafukuza raisi anaweka wake, hakwenda kwa total war, akawa anajitahkdi kukwepa kuumiza raia, akajua akikamata viwanja vya ndege, akipiga maghala ya siraha na sekta muhimu tayari kawanyong'onyesha, mambo yamekuwa magumu, hapa ni aidha ajitoe akili apigane total war au akubali kuvuka nguo kitu ambacho sidhani atakubali. sasa kitu kibaya kwamba na raia nao wakuwa wajeda wasaidizi, haoa ndio pagumu.
Marekani hii situation alikuwa anaitaka kwa hali na mali, kote kwake faida urusi akiingia hata akishinda anakula vikwazo si mchezo, wakati huo yeye na washirika wake wanatoa msaada kimya kimya ili kuzidi kumnyong'onyesha mrusi.. Toka awali nilihisi ukraine bila kufanya maamuzi sahihi nchi yao ndio itakuwa uwanja wa vita, watu watakuja kutestia mitambo yao hapo.
Putin hali tete, akichomoka hapa ndio nitajua huyu kichwa.
Nimejifunza vitu viwili, Dunia bila unafiki haiendi mmarekani mtu mbaya sana, ukiwa na pesa hata ukiwa na sura kama ya nani utaambiwa we ni handsome, alichokifanya putin MMAREKANI kaishakitenda mara zisizo na idadi ila wapi, sasa putini kajitela, ananuka ubaya tu.