Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Hata mimi nilikuwa naamini hiyo stori hiyo unayosema lakini ni ya juu juu sana iliyokuzwa baada ya yeye kuwa rais. Ni kweli alipitia mfunzo ya KGB na kwa kipindi fulani alikuwa askari wa KGB lakini hakuaminiwa kufanya kazi sensitive za u-spy kwa vile alionekana alikuwa na mapungufu makubwa katika maamuzi yake; kwa hiyo akabaki askari wa kawaida mwenye uniform ndani ya KGB. Ingawa alionekana kuwa ni mtu msiri sana, ambayo ilikuwa sifa nzuri klwa spy, lakini pia alionekana kutokuwa sensitive na hatari, jambo ambalo waliona siyo zuri kwa spy wa KGB. Kwa hiyo hakuwahi kuwa na assignement zozote za u-spy, na akabaki ni uniformed military officer ndani ya KGB. Kuna vitabu kama viwili vinaweka biography yake sawasawa na yeye mwenyewe akiithibitisha.Kumbe hujui historia ya Putin vizuri
Jamaa Alikuwa KGB mzuri SANA na lipelekwa Station ya German na kule hawatamsahau maana aliwatandika sawa SAWA
3 days ago nilisema hivi kuhusu Russian army hasa. Kumbe nilikosea, uwezo niliodhani wanao kwenye hii comment bado ni mkubwa.Assessment niliyofanya mpaka sasa kwa Russian landing forces, their military gears, troops, tectics nakuhakikishia Russia hana uwezo wa kuvamia Marekani. Labda hiyo Marekani uwe unaisema iliyochorwa kwenye kikaratasi chumbani kwako umeiweka uvunguni mwa kitanda. Poland tu the way walivyo wanaweza mount resistance kwa invading Russian forces. Uturuki hii pekee inaweza zuia landing kama iliyofanyika leo.
Silaha kubwa zilizotumika leo: ukituma Mi-8s na Ka-52s unakutana na MANPADS na short range air defence systems, ukituma tanks ardhini unakutana na Uturuki au Poland wanazo German made Leopard 2 na ATM za kutosha. Ukija na Sukhoi na MiG haziko stealth hata bila ground radar Poland wakinyanyua AWACS mbili tu angani zinatoa mwongozo wa fighters zao kushambulia adui akiingia anga lao. Russia ikitumia artillery, self propelled howitzers na MRLS kama Smerch, Uragan hao members wa NATO karibia wote huwa wana counter battery radars. Kitu pekee ambacho Russia ana edge ni missiles hizo Kalibr zilizotumwa kama 160 hivi. Russian navy ilikuwa na meli zaidi ya 12 baharini na imeteka mji wa Maliupol na navy base ya Ukraine. Meli zinaleta shida kiasi, hakuna ASM za range kubwa ila landing crafts zitazuilika. Kuna nchi kibao hapo zinaweza hold more than a month zikivamiwa na Russia.
Ukraine sio level za Urusi na haina silaha za kutosha, wala sioni kama ina mobilization ya maana, kwanza jeshi ni 160,000 hivi ukiongeza na reserve wasiofika milioni moja. Hata hivyo Ukraine imefanya counter attack mida ya jioni, imepeleka mashambulizi kujaribu kuzuia airports za karibia na mji mkuu kutekwa. Naamini wakishindwa wataweka craters kwenye runways ili ndege za Urusi zisitue hapo.
Siwezi ilinganisha Russian na Marekani, ikitokea vita kati yao doctrine zao zinaonesha kabisa kwamba Russia atakuwa na defensive position na US atakuwa na offensive position. Hatotokea mwanajeshi yeyote wa Urusi aingie ardhi ya Marekani. Kwa mfano atapita wapi na kwa kutumia nini?
Kuhusu nuclear capabilities achana na idadi ya warheads sema nuclear delivery systems, preemptive strike capability na response. Hawazidiani sana idadi ya makombora na hawahitaji kutumia hata robo yake kumaliza vita.
Vita ya Russia vs USA haipo. NATO vs Russia haipo zitakuwepo operations za kuunga mkono au kumpinga third party
Urusi kwenye ile charter inatambuliwa kama Soviet Union. Kipingamizi kinaweza kuwa Urusi sio Soviet Union wala hana mamlaka rasmi ya kurithi nafasi hiyo wakati kuna members wengine wengi tu. Ila Russia wataweka veto kama ulivyosema, hata China pia hapa lazima amtetee UrusiUwezekano wa Urusi kuondolewa uanachama wa UNSC hivihivi si rahisi.
Labda Baraza Kuu lifanye mabadiliko ya UN Charter kwanza, maana hakuna kifungu chochote kilichoweka utaratibu wa kuiondolea nchi uanachama wa kudumu. Hata hivyo, Urusi itapinga uidhinishwaji wa hayo mabadiliko kwa veto.
kabisa jamaa anatakiwa apeleke moto kwel kwelHivi ndio putin anatakiwa kuwapelekea moto, hapa ni kupiga air strikes za kibabe... Na sio kuingia ukraine wakati kule wananchi wanainga mkono jeshi lao. Mbinu hii waruso walifeli saana, hawapigani na jeshi la Ukraine, wanapigana na waUkraine na maadui wa urusi.
Japo hii italeta saana madhara kwa wananchi, ila kwa kulinda heshima yake hana namna.
Ni kweli jamaa yuko overated, sovit haitarudi tena na yeye ndio anacho amini. Siasa za ujamaa na maxism ni upuuzi mtupu, watu wana taka uhuru sio serikali ku control kila kituHata mimi nilikuwa naamini hiyo stori hiyo unayosema lakini ni ya juu juu sana iliyokuzwa baada ya yeye kuwa rais. Ni kweli alipitia mfunzo ya KGB na kwa kipindi fulani alikuwa askari wa KGB lakini hakuaminiwa kufanya kazi sensitive za u-spy kwa vile alionekana alikuwa na mapungufu makubwa katika maamuzi yake; kwa hiyo akabaki askari wa kawaida mwenye uniform ndani ya KGB. Ingawa alionekana kuwa ni mtu msiri sana, ambayo ilikuwa sifa nzuri klwa spy, lakini pia alionekana kutokuwa sensitive na hatari, jambo ambalo waliona siyo zuri kwa spy wa KGB. Kwa hiyo hakuwahi kuwa na assignement zozote za u-spy, na akabaki ni uniformed military officer ndani ya KGB. Kuna vitabu kama viwili vinaweka biography yake sawasawa na yeye mwenyewe akiithibitisha.
kwan NATO inawahusu mpaka wapeleke vifaa vyao acha wale kipigo mpaka wanyoooke [emoji35][emoji35][emoji35]Kwani Belarus i vita inayoendelea muhusu adi aishambulie Ukraine?
Sasa wewe umuwekee urusi kikwazo una nini cha msingi? Tz hatufanyi biashara yoyote na hao jamaa
Wataleta kisingizio kwamba aliwahakikishia havamii ila kavamia. Ukraine ikilazimisha sana muda si mrefu tutaona Tu-22 zinakuja na dumb dombs mjini.Putin hatabiriki
Mbona team zao znacheza UEFANaombeni mniambe tunaposema huyu ni mzungu tunaangalia ngozi ama! Mana nashangaa kuwaita warusi eti ni wazungu wakati hawatoki Ulaya.
Mzungu in English is called a European. Sasa Kama tunaangalia ngozi nyeupe Basi hata mchina, mhindi n k naye ni mzungu
Tafadhari naomba msaada!! Mzungu ni nani na je ili aitwe mzungu lazima awe na ngozi nyeupe, au aishi Ulaya au yeyote anaweza kuwa mzungu mchina ili mradi ni raia wa Ulaya au uchina
Mkuu tazama tumeanzia wapi mpaka namjibu hivyo. Usinilaumu bure naenda na ustaarabu anaoamua mtu
Nili chaguliwaga kwenda urusi ila nilivo fatilia hao washkaji ni wabaguzi balaa yani kuna mitaa mtu mweusi hukatizi
Hapa ukiwekewa vikwazo nchi za ulaya magharibi huchomoki, zina miliki uchumi wa dunia. Ivi ulisha jiuliza thamani ya pesa inatoka wapi?Sasa dunia ni Tz peke yake?!
Hivi China, India , Brazil, South Africa, Indonesia, Saudia, Argentina, Colombia, Nigeria, Egypt, Mexico,Chile, Peru, Algeria, Korea ,Vietnam,Philippine, Bahrain, Emirates, Qatar,Iran, Pakistan, and so on and so on, umeshazisikia zikiiwekea vikwazo Urusi?! Kwahiyo hizo nchi sio dunia?! Bali dunia ni nchi za magharibi tu?! Au hazina biashara na urusi?! Tuache mahaba ya ajabu!
Hivo vikwazo ndio alivyowekewa Iran, Cuba, na North Korea zaidi ya miaka sitini na bado wanafanya majaribio ya silaha!?Hapa ukiwekewa vikwazo nchi za ulaya magharibi huchomoki, zina miliki uchumi wa dunia. Ivi ulisha jiuliza thamani ya pesa inatoka wapi?
The actual price ya pesa ni gold, marekani ana gold reserve mara tatu ya nnchi zote duniani combinedHapa ukiwekewa vikwazo nchi za ulaya magharibi huchomoki, zina miliki uchumi wa dunia. Ivi ulisha jiuliza thamani ya pesa inatoka wapi?
Nagasaki's na Hiroshima ilikuwa aina gani ya bomb walitupiwa na USA ?Ndio maana Nuklia haitakiwi kumilikiwa na vichaa, hayo ndio madhara yake..
USA kapigana vita nyingi miaka mingi hajawahi kuzungumzia nuklia kabisa, sasa huyu na kaukraine tu tayari anazungumzia Nuklia..
China wanapiga Sana kung fu jet lee na Don watamaliza USAKama uchumi unapigana WAAMBIE USA AKAIVAMIE CHINA, SI WANA UCHUMI MKUBWA KISHINDA CHINA?? HUNA AKILI KICHWANI
Russia yuko UN Security Council kama permanent member ila ile nafasi ni ya Soviet Union. Russia sio Soviet Union, aliipata ile nafasi kama successor wa USSR. Sasa ikiletwa hoja kwamba ni vigezo gani kwenye UN vinatambua successor anatakiwa arithi kiti, na ni vigezo gani walitumia kusema Russia ndio mrithi wa Soviet Union.wewe jamaa umekuaje[emoji848][emoji848][emoji848]
au kuna mtu kakuibia simu yako nini?