Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Tunajua Ukraine yupo vizuri na hii yote ni baada ya USA kumjenga kijeshi kwa mda mwingi ila akumbuke tu Urusi sio level yake. Amuulize vaba yake USA na mama yake NATO achana na dada zake Poland na UK na Ufaransa