Swala la sababu ni zako Ila na kila mmoja anaweza kuwa na sababu zakeUnajua kwanini USA alirusha Atomik Japani?..
Rudi kasome historia halafu ufananishe na hili la Putin na Ukraine...
Kukusaidia: Kamsome Mjapana akiitwa, the giant of Pacific akiwa na miguvu zama hizo, kasome kisa cha Pearly harbour...utapata uelewa mzuri.. Mjapani enzi za red army na askari wake Kamikaze..
Unajua kula ile.ina itwa last option on the table, sana sana kama mtu kapiga wananchi wako wasio na shida, ndio kilicho tokea pier hubour, japan alifanya makosa ambayo rusia nadhani atafanya kuigusa poland au hungury, utaonaNagasaki's na Hiroshima ilikuwa aina gani ya bomb walitupiwa na USA ?
bora yafeli ili wajue kama RUSSIA kafikia mwisho ama kafikia mwanzoUrusi ingekuwa inatumia nguvu kubwa mpaka sasa uharibifu wa miundo mbinu ungekuwa mkubwa sana na walio uawa wangekuwa maelfu kwa maelfu tofauti na sasa.
Hapa ni kuomba mazungumzo ya leo yafauru ili watu wasiendelee kuteseka.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Zinamilikiwa zitumike so vyema nchi zote zikazuiwa kumiliki nyukliaMpaka Sasa sio Vita ya Russia vs Ukraine, bali ni Russia vs NATO,,, ndio maana katoa alert kwa vikosi vya nuclear vijiandae.
Ngoma tamu hii
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kwahyo Russia anao uwezo wa kuzipiga nchi zote Za NATO at the same time?Hapana wa kwanza kupiga ndio mshindi mzee baba.
Kuna watu Huwa na vichwa vigumu na kufunga upeo wa mawazo kuna kubaki na mawazo yao kama maziwa ya mgando.Watatumia uwanja gani kuzirusha hizo wakati wakati viwanja vyote vimeteketezwa.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Ushabiki mwingine unakera
Kaka unafanya tu speculation tu wewe sio war specialist, Russia anafanya heavy offensive tena mpaka air support unasema ametumia nguvu kidogo, you are too bias , kimbinu Russia ndio kafika mwisho hawezi kufanya destruction dunia imuangalie tu bila retaliation, dunia nzima Putin anaonekana aggressive kwa hiyo acha tuone future
Watatumia uwanja gani kuzirusha hizo wakati wakati viwanja vyote vimeteketezwa.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
AmelegezwaKwani makamu mwenyekiti wa kile chama yukoje?
Kwahiyo nchi za magharibi sio wabaguzi????!!!
Ni nchi gani ambazo watu weusi wanauawa kila kukicha kama nchi za magharibi?! Umeshasahu watu weusi wanavyo uawa na police wa marekani kila mwezi?! Hata sasa kuna kesi kibao zinaendelea marekani kwa mauaji ya wa marekani weusi!!
Jana hujaiona video clip ya watu weusi wakizuiwa kupanda treni kule Kiev, Ukraine?! Ubaguzi uko kila mahali tena nchi za magharibi ndio mkubwa zaidi!
Mkuu Jifunze kiswahili vizuri kwanzaUharisia wa hi Vita bado Ni mgumu hadi pale risasi ya mwisho itavyopigwa,wengi wemekua wanasema urusi inaonenekana kushindwa hi Vita bila kuangalia uharisia,Kama vile mazingira ya mapigano ,uchumi,idadi ya nchi anzopigana nazo urusi kwa Sasa,
-tukianza na idadi ya nchi tunaona karibu nchi zote za magharib zimejiingiza ktk hi Vita indirectly kwa kumpa sapoti ukrain kumuongezea siraha,na kumfunga urusi kwa vikwazo ,
-kwa upande wa mazingira,hapa tunaona urusi anakua na ugumu Sana wa kufanya heavy hambushi kwa hofu ya kuuwa raia wasio na hatia ambambo ukrain imeamua kuwapa siraha wakapigane,hivyo urusi anapigana kwa tahadhari kubwa Sana inayomfanya aende kwa utaratibu,
-aina ya vikosi anavyotumia urusi,kiuhalisia urusi hawezi kupeleka askali wake muhim Kama Chambo wakati hajui aina ya Vita atavyopigana,mda na uzito,hivyo kiasi kikubwa Cha askali anaotumia Ni wale waasi wa chechenia Kama Chambo Cha kupima nguvu za adui zake hivyo Hadi Sasa Ni ngumu kujua Kama urusi ameshindwa au ameshinda,
AnaaNdikA hiVi uyu bImkUbwAMkuu Jifunze kiswahili vizuri kwanza
Hakuna neno Askali
Hakuna neno uharisia
Umeandika kama mtoto wa chekechea
hakuna anaepinga kuwa urusi ana jeshi lenye nguvu kushinda ukraine
na kama jeshi lmezidiwa ni sahihi raisi kuwaambia raia wachukue siraha wajilinde wenyewe,
hapo rais kakosea wap?
Mmh kwaiyo mpaka mnafikia hatua ya kuvamia haya yote mlikuwa hamyajui ama acheni ile kwenu tayari mmeshaa nasaKuna watu Huwa na vichwa vigumu na kufunga upeo wa mawazo kuna kubaki na mawazo yao kama maziwa ya mgando.
Mbona kuchambua hii vita ni unatumia hata akili ya darasa la 6 tu. Unajua kabisa Ukraine atapata support ya mataifa almost 7. Sasa unadai eti kwamba Ameishiwa katumia full force, ivi zimo kweli kichwani?
Unajua strategies za kivita, Unaijua full force ya Russia wewe? Vitu vingine ni utoto tu, Yani atumie full force kwa nchi jirani! Wakati unajua utakutana na mataifa mengi yakikupinga?
Swala la kusema kuwasha Nuclear ni kuonyesha kwamba yuko serious na anachokifanya na ndio uanaume, Unatishiwa na majambazi alafu unatishia kwa kunoa panga wakati una AKA 47 Hahaha
Dunia ijue kwamba, Russia ndio nchi pekeee kwenye kizazi cha leo ambayo imechukua mamuzi ambayo nchi nyingine imeshindwa kufanya, tumpongeze kwa hilo.
Kingine USA ndio watu pekee waliojichukulia mamuzi kama ya Russia bila kupewa vikwazo vyovyote, Jiulize USA akifanya hivi nani atamuonya au kumpa adhabu?
Kuna watu Huwa na vichwa vigumu na kufunga upeo wa mawazo yao na kubaki na mawazo yao kama maziwa ya mgando.
Mbona kuchambua hii vita ni unatumia hata akili ya darasa la 6 tu. Unajua kabisa Ukraine atapata support ya mataifa almost 7. Sasa unadai eti kwamba Ameishiwa katumia full force, ivi zimo kweli kichwani?
Unajua strategies za kivita, Unaijua full force ya Russia wewe? Vitu vingine ni utoto tu, Yani atumie full force kwa nchi jirani! Wakati unajua utakutana na mataifa mengi yakikupinga?
Swala la kusema kuwasha Nuclear ni kuonyesha kwamba yuko serious na anachokifanya na ndio uanaume, Unatishiwa na majambazi alafu unatishia kwa kunoa panga wakati una AKA 47 Hahaha
Dunia ijue kwamba, Russia ndio nchi pekeee kwenye kizazi cha leo ambayo imechukua mamuzi ambayo nchi nyingine imeshindwa kufanya, tumpongeze kwa hilo.
Kingine USA ndio watu pekee waliojichukulia mamuzi kama ya Russia bila kupewa vikwazo vyovyote, Jiulize USA akifanya hivi nani atamuonya au kumpa adhabu?
Hakuna Specialist wa vita humu bali kuna wachambuzi ambao tunatumia Akili kuchambua kinachoonekana. BBC, SKYNEWS, YOUTUBE, FACEBOOK, GOOGLE, CNN Vyote ni vibaraka vya USA na vingine vingi, So Hata ukiona utoaji wa Habari utagundua kitu, Russia karusha makombora afu unasikia wanajeshi wa Russia wamekufa .Tumieni hata akili ya chai jaba mtaweza kupata kitu.
Urusi sio kama wanavyo isema, israel huwa akipigwa na Hezbollah ana fanya surgical operations ndani ya iran na palestine with minimum casualty, urusi ana piga tu mpaka raia wasio na hatiaHabarini za asubuhi ndugu zangu makamanda wa kirusi mlio apo kwimba na lushoto leo ivi sasa yametimia masaa 99 tangia mfanye uvamizi wenu kwenye ardhi yenu naomba kujua ni kipi cha maana ambacho mpaka sasa mmekiteka kutoka ukrain maana mlitwambia ni operation ya masaa 24 yakaja 48 yakaja 72 na sasa ni masaa 99 je bado mnajiita super power yaani kwa majigambo yenu yote vita ya siku nne mmefanikiwa kuvuka mpaka mmoja tu n hakuna chochote cha maana mlichokiteka achilia mbali kuikamata kiev maana ilo swala ni hamliwezi tena hamuwezi kuiteka kiev
Siku moja niliwahi kisema Russia is Ovarated na kweli asee yaani warusi wa Namtumbo kaka yenu Putin kawataia aibu mno na mwisho kabisa kaidharirisha sana Russia kiufupi kalivua nguo hilo taifa lenu pendwa na hakuna tena taifa litakaloiogopa urusi ubabe wake umefika mwisho
Huko hamna siasa za kikanjanja ni uhalisia..Russia yuko UN Security Council kama permanent member ila ile nafasi ni ya Soviet Union. Russia sio Soviet Union, aliipata ile nafasi kama successor wa USSR. Sasa ikiletwa hoja kwamba ni vigezo gani kwenye UN vinatambua successor anatakiwa arithi kiti, na ni vigezo gani walitumia kusema Russia ndio mrithi wa Soviet Union.
Options zinaweza kuwa:
1. Kwa nini mrithi awe Russia na asiwe Ukraine au member yeyote wa zamani, kigezo cha kukataa asiwe Ukraine kwa nini kisiwe kigezo cha kukataa asiwe Russia.
2. Kwa nini tusitafute permanent member mwingine kwa sababu basically, USSR ceased to exist.
Kwenye documents na makabrasha ya UNSC kwa sababu ni permanent members hata dosc hazibadiliki, unakuta walipoandika USSR wanaipa Russia juu kwa juu.
Msidhani haiwezekani
Hiyo ni tofauti mkuu sababu Kagera sio nchi huru, haiwezi kujitenga, Ukraine ipo huruKwa hiyo Mara/Kagera au Zanzibar wakitaka kujitenga kutoka JMT je wewe ni nani uwakatalie na kuanza kuwapiga.?
Wenzako washaanza kuweka hofu huko atauwawa wewe unafikiri wako wanacheza mdundikoMmh kwaiyo mpaka mnafikia hatua ya kuvamia haya yote mlikuwa hamyajui ama acheni ile kwenu tayari mmeshaa nasa
Last kick of a dying horse, mrusi kavurugwa tayariRussian state TV: manuari zetu pekee zinaweza ku launch zaidi ya 500 nuclear warheads, ambayo tunawahakikishia kuiharibu US na NATO kwa uzuri tu. Kanunini yetu ni rahisi tu "kwanini Tunahitaji Dunia wakati yenyewe hitaki Russia IWEPO"?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app