LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
IMG_20220228_085814_641.jpg

⚡️Room is ready for Russia-Ukraine negotiations – Belta


Talks are expected to begin shortly.
 
Unajua kwanini USA alirusha Atomik Japani?..

Rudi kasome historia halafu ufananishe na hili la Putin na Ukraine...

Kukusaidia: Kamsome Mjapana akiitwa, the giant of Pacific akiwa na miguvu zama hizo, kasome kisa cha Pearly harbour...utapata uelewa mzuri.. Mjapani enzi za red army na askari wake Kamikaze..
Swala la sababu ni zako Ila na kila mmoja anaweza kuwa na sababu zake
Issue ni aliamua kutumia Kutokana na mahitaji yake

So Russia akitumia pia tuzingatue mahitaji yake
Na amesema ole mtu atie pua nyulkia tayar zinapashwa yupo tayar dunia Mzima iangamie akiwemo yeye Ila sio kutisgishwa
 
Nagasaki's na Hiroshima ilikuwa aina gani ya bomb walitupiwa na USA ?
Unajua kula ile.ina itwa last option on the table, sana sana kama mtu kapiga wananchi wako wasio na shida, ndio kilicho tokea pier hubour, japan alifanya makosa ambayo rusia nadhani atafanya kuigusa poland au hungury, utaona
 
Urusi ingekuwa inatumia nguvu kubwa mpaka sasa uharibifu wa miundo mbinu ungekuwa mkubwa sana na walio uawa wangekuwa maelfu kwa maelfu tofauti na sasa.
Hapa ni kuomba mazungumzo ya leo yafauru ili watu wasiendelee kuteseka.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
bora yafeli ili wajue kama RUSSIA kafikia mwisho ama kafikia mwanzo
 
Watatumia uwanja gani kuzirusha hizo wakati wakati viwanja vyote vimeteketezwa.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Kuna watu Huwa na vichwa vigumu na kufunga upeo wa mawazo kuna kubaki na mawazo yao kama maziwa ya mgando.

Mbona kuchambua hii vita ni unatumia hata akili ya darasa la 6 tu. Unajua kabisa Ukraine atapata support ya mataifa almost 7. Sasa unadai eti kwamba Ameishiwa katumia full force, ivi zimo kweli kichwani?

Unajua strategies za kivita, Unaijua full force ya Russia wewe? Vitu vingine ni utoto tu, Yani atumie full force kwa nchi jirani! Wakati unajua utakutana na mataifa mengi yakikupinga?

Swala la kusema kuwasha Nuclear ni kuonyesha kwamba yuko serious na anachokifanya na ndio uanaume, Unatishiwa na majambazi alafu unatishia kwa kunoa panga wakati una AKA 47 Hahaha

Dunia ijue kwamba, Russia ndio nchi pekeee kwenye kizazi cha leo ambayo imechukua mamuzi ambayo nchi nyingine imeshindwa kufanya, tumpongeze kwa hilo.

Kingine USA ndio watu pekee waliojichukulia mamuzi kama ya Russia bila kupewa vikwazo vyovyote, Jiulize USA akifanya hivi nani atamuonya au kumpa adhabu?
Ushabiki mwingine unakera



Kaka unafanya tu speculation tu wewe sio war specialist, Russia anafanya heavy offensive tena mpaka air support unasema ametumia nguvu kidogo, you are too bias , kimbinu Russia ndio kafika mwisho hawezi kufanya destruction dunia imuangalie tu bila retaliation, dunia nzima Putin anaonekana aggressive kwa hiyo acha tuone future
Watatumia uwanja gani kuzirusha hizo wakati wakati viwanja vyote vimeteketezwa.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Kuna watu Huwa na vichwa vigumu na kufunga upeo wa mawazo yao na kubaki na mawazo yao kama maziwa ya mgando.​

Mbona kuchambua hii vita ni unatumia hata akili ya darasa la 6 tu. Unajua kabisa Ukraine atapata support ya mataifa almost 7. Sasa unadai eti kwamba Ameishiwa katumia full force, ivi zimo kweli kichwani?

Unajua strategies za kivita, Unaijua full force ya Russia wewe? Vitu vingine ni utoto tu, Yani atumie full force kwa nchi jirani! Wakati unajua utakutana na mataifa mengi yakikupinga?

Swala la kusema kuwasha Nuclear ni kuonyesha kwamba yuko serious na anachokifanya na ndio uanaume, Unatishiwa na majambazi alafu unatishia kwa kunoa panga wakati una AKA 47 Hahaha

Dunia ijue kwamba, Russia ndio nchi pekeee kwenye kizazi cha leo ambayo imechukua mamuzi ambayo nchi nyingine imeshindwa kufanya, tumpongeze kwa hilo.

Kingine USA ndio watu pekee waliojichukulia mamuzi kama ya Russia bila kupewa vikwazo vyovyote, Jiulize USA akifanya hivi nani atamuonya au kumpa adhabu?

Hakuna Specialist wa vita humu bali kuna wachambuzi ambao tunatumia Akili kuchambua kinachoonekana. BBC, SKYNEWS, YOUTUBE, FACEBOOK, GOOGLE, CNN Vyote ni vibaraka vya USA na vingine vingi, So Hata ukiona utoaji wa Habari utagundua kitu, Russia karusha makombora afu unasikia wanajeshi wa Russia wamekufa .Tumieni hata akili ya chai jaba mtaweza kupata kitu.​
 
Habarini za asubuhi ndugu zangu makamanda wa kirusi mlio apo kwimba na lushoto leo ivi sasa yametimia masaa 99 tangia mfanye uvamizi wenu kwenye ardhi yenu naomba kujua ni kipi cha maana ambacho mpaka sasa mmekiteka kutoka ukrain maana mlitwambia ni operation ya masaa 24 yakaja 48 yakaja 72 na sasa ni masaa 99 je bado mnajiita super power yaani kwa majigambo yenu yote vita ya siku nne mmefanikiwa kuvuka mpaka mmoja tu n hakuna chochote cha maana mlichokiteka achilia mbali kuikamata kiev maana ilo swala ni hamliwezi tena hamuwezi kuiteka kiev


Siku moja niliwahi kisema Russia is Ovarated na kweli asee yaani warusi wa Namtumbo kaka yenu Putin kawataia aibu mno na mwisho kabisa kaidharirisha sana Russia kiufupi kalivua nguo hilo taifa lenu pendwa na hakuna tena taifa litakaloiogopa urusi ubabe wake umefika mwisho
 
Kwahiyo nchi za magharibi sio wabaguzi????!!!

Ni nchi gani ambazo watu weusi wanauawa kila kukicha kama nchi za magharibi?! Umeshasahu watu weusi wanavyo uawa na police wa marekani kila mwezi?! Hata sasa kuna kesi kibao zinaendelea marekani kwa mauaji ya wa marekani weusi!!

Jana hujaiona video clip ya watu weusi wakizuiwa kupanda treni kule Kiev, Ukraine?! Ubaguzi uko kila mahali tena nchi za magharibi ndio mkubwa zaidi!

Bro huyo kalogwa na US mahaba yamezidi mpaka yamempofua haoni kila siku watu wanatembeza hashtags za #blm Kwenye mitandao au anazani zimeanzia urusi hizo
 
Uharisia wa hi Vita bado Ni mgumu hadi pale risasi ya mwisho itavyopigwa,wengi wemekua wanasema urusi inaonenekana kushindwa hi Vita bila kuangalia uharisia,Kama vile mazingira ya mapigano ,uchumi,idadi ya nchi anzopigana nazo urusi kwa Sasa,
-tukianza na idadi ya nchi tunaona karibu nchi zote za magharib zimejiingiza ktk hi Vita indirectly kwa kumpa sapoti ukrain kumuongezea siraha,na kumfunga urusi kwa vikwazo ,
-kwa upande wa mazingira,hapa tunaona urusi anakua na ugumu Sana wa kufanya heavy hambushi kwa hofu ya kuuwa raia wasio na hatia ambambo ukrain imeamua kuwapa siraha wakapigane,hivyo urusi anapigana kwa tahadhari kubwa Sana inayomfanya aende kwa utaratibu,
-aina ya vikosi anavyotumia urusi,kiuhalisia urusi hawezi kupeleka askali wake muhim Kama Chambo wakati hajui aina ya Vita atavyopigana,mda na uzito,hivyo kiasi kikubwa Cha askali anaotumia Ni wale waasi wa chechenia Kama Chambo Cha kupima nguvu za adui zake hivyo Hadi Sasa Ni ngumu kujua Kama urusi ameshindwa au ameshinda,
Mkuu Jifunze kiswahili vizuri kwanza

Hakuna neno Askali
Hakuna neno uharisia

Umeandika kama mtoto wa chekechea
 
hakuna anaepinga kuwa urusi ana jeshi lenye nguvu kushinda ukraine
na kama jeshi lmezidiwa ni sahihi raisi kuwaambia raia wachukue siraha wajilinde wenyewe,
hapo rais kakosea wap?
 
Kuna watu Huwa na vichwa vigumu na kufunga upeo wa mawazo kuna kubaki na mawazo yao kama maziwa ya mgando.

Mbona kuchambua hii vita ni unatumia hata akili ya darasa la 6 tu. Unajua kabisa Ukraine atapata support ya mataifa almost 7. Sasa unadai eti kwamba Ameishiwa katumia full force, ivi zimo kweli kichwani?

Unajua strategies za kivita, Unaijua full force ya Russia wewe? Vitu vingine ni utoto tu, Yani atumie full force kwa nchi jirani! Wakati unajua utakutana na mataifa mengi yakikupinga?

Swala la kusema kuwasha Nuclear ni kuonyesha kwamba yuko serious na anachokifanya na ndio uanaume, Unatishiwa na majambazi alafu unatishia kwa kunoa panga wakati una AKA 47 Hahaha

Dunia ijue kwamba, Russia ndio nchi pekeee kwenye kizazi cha leo ambayo imechukua mamuzi ambayo nchi nyingine imeshindwa kufanya, tumpongeze kwa hilo.

Kingine USA ndio watu pekee waliojichukulia mamuzi kama ya Russia bila kupewa vikwazo vyovyote, Jiulize USA akifanya hivi nani atamuonya au kumpa adhabu?


Kuna watu Huwa na vichwa vigumu na kufunga upeo wa mawazo yao na kubaki na mawazo yao kama maziwa ya mgando.​

Mbona kuchambua hii vita ni unatumia hata akili ya darasa la 6 tu. Unajua kabisa Ukraine atapata support ya mataifa almost 7. Sasa unadai eti kwamba Ameishiwa katumia full force, ivi zimo kweli kichwani?

Unajua strategies za kivita, Unaijua full force ya Russia wewe? Vitu vingine ni utoto tu, Yani atumie full force kwa nchi jirani! Wakati unajua utakutana na mataifa mengi yakikupinga?

Swala la kusema kuwasha Nuclear ni kuonyesha kwamba yuko serious na anachokifanya na ndio uanaume, Unatishiwa na majambazi alafu unatishia kwa kunoa panga wakati una AKA 47 Hahaha

Dunia ijue kwamba, Russia ndio nchi pekeee kwenye kizazi cha leo ambayo imechukua mamuzi ambayo nchi nyingine imeshindwa kufanya, tumpongeze kwa hilo.

Kingine USA ndio watu pekee waliojichukulia mamuzi kama ya Russia bila kupewa vikwazo vyovyote, Jiulize USA akifanya hivi nani atamuonya au kumpa adhabu?

Hakuna Specialist wa vita humu bali kuna wachambuzi ambao tunatumia Akili kuchambua kinachoonekana. BBC, SKYNEWS, YOUTUBE, FACEBOOK, GOOGLE, CNN Vyote ni vibaraka vya USA na vingine vingi, So Hata ukiona utoaji wa Habari utagundua kitu, Russia karusha makombora afu unasikia wanajeshi wa Russia wamekufa .Tumieni hata akili ya chai jaba mtaweza kupata kitu.​
Mmh kwaiyo mpaka mnafikia hatua ya kuvamia haya yote mlikuwa hamyajui ama acheni ile kwenu tayari mmeshaa nasa
 
Habarini za asubuhi ndugu zangu makamanda wa kirusi mlio apo kwimba na lushoto leo ivi sasa yametimia masaa 99 tangia mfanye uvamizi wenu kwenye ardhi yenu naomba kujua ni kipi cha maana ambacho mpaka sasa mmekiteka kutoka ukrain maana mlitwambia ni operation ya masaa 24 yakaja 48 yakaja 72 na sasa ni masaa 99 je bado mnajiita super power yaani kwa majigambo yenu yote vita ya siku nne mmefanikiwa kuvuka mpaka mmoja tu n hakuna chochote cha maana mlichokiteka achilia mbali kuikamata kiev maana ilo swala ni hamliwezi tena hamuwezi kuiteka kiev


Siku moja niliwahi kisema Russia is Ovarated na kweli asee yaani warusi wa Namtumbo kaka yenu Putin kawataia aibu mno na mwisho kabisa kaidharirisha sana Russia kiufupi kalivua nguo hilo taifa lenu pendwa na hakuna tena taifa litakaloiogopa urusi ubabe wake umefika mwisho
Urusi sio kama wanavyo isema, israel huwa akipigwa na Hezbollah ana fanya surgical operations ndani ya iran na palestine with minimum casualty, urusi ana piga tu mpaka raia wasio na hatia
 
Russia yuko UN Security Council kama permanent member ila ile nafasi ni ya Soviet Union. Russia sio Soviet Union, aliipata ile nafasi kama successor wa USSR. Sasa ikiletwa hoja kwamba ni vigezo gani kwenye UN vinatambua successor anatakiwa arithi kiti, na ni vigezo gani walitumia kusema Russia ndio mrithi wa Soviet Union.

Options zinaweza kuwa:
1. Kwa nini mrithi awe Russia na asiwe Ukraine au member yeyote wa zamani, kigezo cha kukataa asiwe Ukraine kwa nini kisiwe kigezo cha kukataa asiwe Russia.
2. Kwa nini tusitafute permanent member mwingine kwa sababu basically, USSR ceased to exist.

Kwenye documents na makabrasha ya UNSC kwa sababu ni permanent members hata dosc hazibadiliki, unakuta walipoandika USSR wanaipa Russia juu kwa juu.

Msidhani haiwezekani
Huko hamna siasa za kikanjanja ni uhalisia..
Russia angekuwa UN bila hata kuwepo kwake soviet, kama china, France na mataifa mengine.
 
Dollar Strengthens Against Almost Everything on Russia Sanctions
Demand for greenback is rising as investors seek shelter
Equities slide as risk sentiment sours, funds focus on SWIFT

The dollar is rising against virtually every peer as fallout from the sanctions levied against Russia supercharge demand for the world’s reserve currency. Treasuries also rallied.

Traders are piling into the most liquid asset as sanctions on Russia’s central bank and lenders reverberate through global markets, with talk that the Federal Reserve may have to intervene in global markets. U.S. and European stock futures fell, while currencies from the euro to the rand dropped.

“USD is king, offering liquidity and safe haven attributes,” said Rodrigo Catril, a currency strategist National Australia Bank Ltd. “When trouble hits the road, you need to look for cover.”

King Dollar
USD has risen against every Group-of-10 peer in early Asia trading Monday


Bloomberg

Signs of funding strains became apparent in major money markets early Monday as spreads widened for very short-term eurodollar contracts. The gap between future Libor and Fed rates -- the FRA/OIS spread -- widened nine basis points for one-month contracts, the most since March 2020. March eurodollar contracts dropped relative to June peers, a classic sign of funding stress.

That comes as Credit Suisse Group AG warned of how the decision to exclude some Russian banks from the SWIFT messaging system could impact money markets as payments are missed and giant overdrafts are made. Strategist Zoltan Pozsar drew comparison with how the Fed had to supply dollars during the height of the pandemic panic in March 2020.


Market Uncertainties to Remain Very High for Weeks: Lee
Homin Lee, Asia macro strategist at Lombard Odier, discusses the current state of markets amid the escalations in Ukraine, the possibility of a global recession and his investment strategy. He speaks on “BloombergDaybreak: Asia.”
A gauge of the dollar rose as much as 0.7%, extending on last week’s 0.4% gain. Global bonds rallied, with 10-year Treasury yields dropping 7 basis points to 1.89% while yields on Australia’s 10-year government debt slumped as much 10 basis points.

The ruble was indicated 28% lower versus the dollar in offshore trading on Monday. The Russian currency has fallen more than 6% in onshore trade to underperform all its emerging-market peers in February as traders brace for President Vladimir Putin’s response to the toughened sanctions.

“Europe is bearing the brunt of the invasion’s initial impact, with higher energy costs hurting consumers and the level of sanctions pressuring European growth, with a knock-on effect for U.S. growth prospects,” Scott Glasser, chief investment officer at Clearbridge Investments and investment specialist Jeff Schulze, wrote in a note.

SWIFT Risk
“Russia’s ex-communication from SWIFT would isolate Russia financially from the world and could cripple its economy,” Jason Schenker, president of Prestige Economics, wrote in a note.

SWIFT is used for trillions of dollars worth of transactions around the globe.

Credit Suisse’s Pozsar has also estimated that Russia has about $300 billion of foreign currency held offshore -- enough to disrupt money markets if it’s frozen by sanctions or moved suddenly to avoid them.

READ MORE
Australian Bonds Rally as Russia Sanctions Spurs Haven Demand

SWIFT Ban Means the Fed May Need to Be Ready With Dollars

Russia Bonds, Now Junk, Set to Reel From Central Bank Sanctions

Bonds Are a Complicated Haven as Ukraine Stokes Inflation Risk

— With assistance by Garfield Clinton Reynolds, Natalia Kniazhevich, Benjamin Purvis, and Elizabeth Stanton

(Updates with price moves, adds chart and comment)
Share this article
Follow the authors
@Ruth_Liew10
+ Get alerts forRuth Carson
In this article
EUR
Euro Spot
1.1165EUR
-0.0103-0.9141%
NAB
NATL AUST BANK
28.94AUD
+0.03+0.10%
CSGN
CREDIT SUISS-REG
7.84CHF
+0.31+4.09%
Have a confidential tip for our reporters?Get in touch
Before it's here, it's on theBloomberg Terminal
From The Web
Online Jobs in USA from Tanzania, United Republic Of. Salaries Will Surprise You
Online Jobs In USA | Search Ads
Get up to 1,000,000 TZS Today!
Parimatch
Prices of Unsold New Cars In Dar Es Salaam Could Greatly Surprise You
Unsold Cars | Search
Work as a truck driver in Canada (visa sponsorships might be available)
Trucking Jobs
by TaboolaSponsored Links
Terms of Service Do Not Sell My Info (California) Trademarks Privacy Policy [emoji2398]2022 Bloomberg L.P. All Rights Reserved
Careers Made in NYC Advertise Ad Choices Help
Your monthly limit of
 
Russian state TV: manuari zetu pekee zinaweza ku launch zaidi ya 500 nuclear warheads, ambayo tunawahakikishia kuiharibu US na NATO kwa uzuri tu. Kanunini yetu ni rahisi tu "kwanini Tunahitaji Dunia wakati yenyewe hitaki Russia IWEPO"?




Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Last kick of a dying horse, mrusi kavurugwa tayari
 
Back
Top Bottom