Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Unapenda sana ngono. Unadhani kila jambo ni ngono ngono tu!?🤣🤣🤣Umewaza kimasikini.Anachotaka kufanya urusi Kwa akili yako ni sahihi ??? Huwezi kumchagulia ex wako Bwana wa kuishi naye 😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapenda sana ngono. Unadhani kila jambo ni ngono ngono tu!?🤣🤣🤣Umewaza kimasikini.Anachotaka kufanya urusi Kwa akili yako ni sahihi ??? Huwezi kumchagulia ex wako Bwana wa kuishi naye 😊
Apambane sasa alizadhani atakuchukua Kiev kwa siku mbili Huku watu wanamuangalia tuLeo Russia analia eti U.S anawasaidia Ukraine kwa sophisticated drones za majini ambazo zimeleta maafa kwa Wanamaji wa Russia.
Kiukweli NI KOSA TENA SANA...NA NDIO MAANA NIKASEMA PUTIN IS A COWARD...LAKINI TULIO WENGI TUNGEFURAHI KAMA HAO NATO WANGEINGIA DIRECT KWA KUTUMA ARMED-TROOPS ZIKAPAMBANE NA URUSI ZIKIWA UPANDE WA UKRAINE DHIDI YA RUSSIA...NA SIO HIVI WALIVYOJIWEKA KANDO NA KUJIFANYA WANATOA MSAADA WA FINANCIAL NA SILAHA UKIZINGATIA UKRAINE ANA JESHI DOGO ILA AMEWAHIMIZA RAIA KUINGIA KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA WANAJESHI WA RUSSIA LAKINI KUMBUKA HAO NI RAIA HAWANA MAFUNZO YA KIJESHI SASA WATAWEZAJE TUMIA HIZO SILAHA WANAZOPEWA KWA MISAADA 100% EFFICIENTLY...KAMA SIO KUTARAJIA VIFO KWA WINGI NDUGU?...IVYO NATO IACHE UNAFIKI IKAINGIE DIRECTLY UKRAINE NA SIO HIVYO WANAVYOFANYA SASA.Anachotaka kufanya urusi Kwa akili yako ni sahihi ??? Huwezi kumchagulia ex wako Bwana wa kuishi naye 😊
Wewe juzi usiku ulisema Rais kasurrender na Kiev ipo mikononi mwa Russia ,sasa wewe na hawa mnapishana nini kwenye propaganda?Kwenye media hii vita urusi anachezea kichapo kweli kweli ila kwenye uwanja wa vita ukraine maji yamemfika shingoni
View attachment 2134045
Latvia, UK, na maitaifa mengi yameruhusu watuwake waende vitani UkraineKiukweli NI KOSA TENA SANA...NA NDIO MAANA NIKASEMA PUTIN IS A COWARD...LAKINI TULIO WENGI TUNGEFURAHI KAMA HAO NATO WANGEINGIA DIRECT KWA KUTUMA ARMED-TROOPS ZIKAPAMBANE NA URUSI ZIKIWA UPANDE WA UKRAINE DHIDI YA RUSSIA...NA SIO HIVI WALIVYOJIWEKA KANDO NA KUJIFANYA WANATOA MSAADA WA FINANCIAL NA SILAHA UKIZINGATIA UKRAINE ANA JESHI DOGO ILA AMEWAHIMIZA RAIA KUINGIA KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA WANAJESHI WA RUSSIA LAKINI KUMBUKA HAO NI RAIA HAWANA MAFUNZO YA KIJESHI SASA WATAWEZAJE TUMIA HIZO SILAHA WANAZOPEWA KWA MISAADA 100% EFFICIENTLY...KAMA SIO KUTARAJIA VIFO KWA WINGI NDUGU?...IVYO NATO IACHE UNAFIKI IKAINGIE DIRECTLY UKRAINE NA SIO HIVYO WANAVYOFANYA SASA.
Yani utoe taarifa kutoka kwa Pro Russia uje na conclusion yako tayari.Ukraine inaomba mapumziko,,, mziki wa Russia mzitoView attachment 2134048
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kwaio na wewe unaiamini io tovuti kwa kila kitu.? Yani mzaliwa wa chato burigi akatambuliwe jina na mkenya wa kisumu huko kiraisi raisi tu.? Maiti zinaungua moto hovyo uo utambuzi wanatumia njia gani kuwatambua.? Au ndio unaamini propaganda za kua warusi 5000+ wameuwawa na ao kiev.? Unaamini data za kiev au urusi ambae hajatangaza hata idadi ya wanajeshi walioko huko wala walio kufa.?
Punguza kua mjuaji ktk mambo ya wanaume.
Sasa weka hiyo Tovuti mzee acha porojo.Wanajesh wote huwa na vitambulisho na pia dog tags zenye service number, kwamba hata akiuawa achomwe hadi kuwa majivu, hizo dog tag number zinasomeka.
Kimsingi ni kuingia kwenye tovuti uone picha ya maiti ya ndugu yako na namba yake ya usajiri jeshini kisha umwombe Putin amrejeshe mwanao/ndugu yako umzike mwenyewe, kauawa huko alikopelekwa akapigane vita vya kuonyesha ubabe wa Putin.
Sasa weka hiyo Tovuti mzee acha porojo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hii vita mitandaoni URUSI askari wanauawa kama M23. Ila sasa wenyewe UKRAINE muda wote wanaomba msaada wa vifaa, askari na hata kugawa silaha kwa Raia wao, wafungwa nk. URUSI wameteka miji kibao ya UKRAINE lkn huku ndani wanasema wamepigwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haya mambo mbona yanafahamika mkuu...haiewezekan wewe uwaambie watu wachukue silaha wakapambane na wanajeshi wakati wao ni raia wa kawaida wasio na mafunzo na mbinu za kijeshi hicho ndo ki achoenda kutokea, GOD SAVE THEM ALL!!!Kwenye media hii vita urusi anachezea kichapo kweli kweli ila kwenye uwanja wa vita ukraine maji yamemfika shingoni
View attachment 2134045
Hata kama huyo bwana anahatarisha Maisha yako, familia yako na mtoto uliyempata na x wakoAnachotaka kufanya urusi Kwa akili yako ni sahihi ??? Huwezi kumchagulia ex wako Bwana wa kuishi naye 😊
Hizo ni Grad rockets. Ziko dumb sio precision guided munitions kwahiyo zina tabia ya kukosea. Waliofyatua unakuta hawakupanga kupiga makazi ya raia. Smart munitions huwa ni gharama sana zinaepukwa kutumiwa kwa wingi au zinatumiwa kwenye kuhitaji accuracy kubwa mfano wakigundua chimbo alipo Zelensky.[emoji298]️ Footage reportedly shows artillery shelling raining down on Kharkov – unverified social media clip
View attachment 2133984
Ila si wanaisapoti Ukraine mzeeMkuu kudouble badget unadhani kunaanza siku hiyo hiyo? Amesema kuanzia mwakani wataongeza bajeti ya ulinzi.
We umeona amehatarisha wapi au ni kujistukia mana Bwana aliye naye ana hela na yupo vizur kimaslah , we kazi kuringa na kifua pamoja na six park hela huna😊Hata kama huyo bwana anahatarisha Maisha yako, familia yako na mtoto uliyempata na x wako
Ila marekani akiwachagulia watu namna ya kuishi mnaita demokrasia
Ukraini Hadi aombe poo na kuachana na penzi la bwana ake mpya
ktk hao watu wa kujitolea na wanajeshi huwa humohumo,Latvia, UK, na maitaifa mengi yameruhusu watuwake waende vitani Ukraine
Anayo yenye nguvu kuliko wengine.unalia nini wewe kwani nuclear anayo peke yake..