matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Yap itamsumbua ila kumbuka kuwa kuna Europe na wenyewe wataumia sana. Kumbuka karibia 40% ya gesi ya urusi inauzwa ulaya. Na kuna nchi kama poland inategemea karibia 80% ya gesi itoke ulaya. Ukifungia swift kwa nchi kama hizo inamaana poland watakosa alternative ya kulipia kitakachopelekea mrus afunge mabomba yake. Tukutane winterNi kweli ila hivi vya safari hii ni vikubwa na kwa ukubwa wa nchi yake lazima vitamsumbua. Esp hilo la Swift na kutokutumia Dolla, Pound, Yen. Imagine international trade ya wafanyabiashara wake katika mazingira hayo huku ukiwa huruhusiwi kusafiri kutoka Russia.
Wanapigwa ''spana" ya maneno matupu au kwa vitendo hao NATO,naomba msaada wa ufafanuzi hapa Mkuu.Yan hii vita watu wamewajua vizur US&Nato maana huko mitandaoni si waarab,waAfrica,wachina,wahindi,wairan nk wanavyowapiga spana simchezo kwa unafki wao,Yan ukiona muarab ambaye hapigi spana ujue yupo Kwenye NGO zao ila wote spana tu na Hii ya Ubaguzi walionesha kwa other races ndio imewaharibia kabisa hawa NAZI,Hata wale waAfrica waliokua wanakiherehere naona imewasuta
Kumbe,kwa hiyo hao Wananchi wasipoondoka itakuwaje?Wanachosubir urusi Mpaka sasa zaid wananchi waondoke akishusha ashushe mazima
Sahihi. Sasa kitakachotokea ni asiyekuwa na Alternative ndiye atakaye umia. Ila, nivizuri wakielewana.Yap itamsumbua ila kumbuka kuwa kuna Europe na wenyewe wataumia sana. Kumbuka karibia 40% ya gesi ya urusi inauzwa ulaya. Na kuna nchi kama poland inategemea karibia 80% ya gesi itoke ulaya. Ukifungia swift kwa nchi kama hizo inamaana poland watakosa alternative ya kulipia kitakachopelekea mrus afunge mabomba yake. Tukutane winter
kwa hiyo wewe paka akipigwa unaumia na Baloteli akirushiwa ndizi unafurahiYule paka alipigwa bana. Umeangalia video zote? Kuna moja alitandikwa kofi nyingine buti halafu kuna moja nafikiri ndo unayoisemea ya kumsukuma kwa mguu.
Untested zote hizo. Sina imani na slaha za Russia Tena. Maana kama drone za Turkey zimewashinda Russia huko Ukiraine. Siamini tenaNawaza tu russia akianza tumie zile bombs zake za nyuklia za ICBM(InterContinental Ballastic-range Missile) asije chochea WWIII...pia ikumbukwe ana best AIR-DEFENCE systems hapo tunazungumzia S200, S300, S400, S500 na S700...hapo ndipo alipo vizuri russia.
Wajuvi mnisaidie
Kila vita inalengo. Na vita vya kushambulia kabisa kama hii lengo nilitegemea Lowe wazi kabisa.
Afghan alikuwa anasakwa gaidi Osama.
Iraq utawala Wa Sadam ulizingiziwa kuwa na silaha za kemikali.
Nimejaribu kufuatilia lengo jepesi na lililompa Uharaka Putin kuishambulia Ukraine sijaelewa Msaada wakuu.
Je Ni kuiangusha serikali? Imekosa nini?
Je Ni kuzuia mipango ya NATO Ukraine? Hawakuwa na njia mbadala?
He nikuongeza ardhi? Wanayokubwa sana?
Katika vita vya kisasa ambavyo huwezi kujua adui anauwezo gani tena kwenye support ya dunia kama Ukraine, Nini lengo kificho LA urusi kutuletea shida hii?
Hapo mwisho umeandika " Dawa ya NATO inachemka". Yaani umezungumza Kimamlaka kabisa. Hakika JF kiboko yaani hadi Russia Defense Minister yumo humuHao watu wa Ulaya na NATO waziingize kwenye umoja huo wa NATO hizo Ukraine na Georgia kama kweli wapo serious kuitisha Russia. Russia anaogopa adui wa ndani ya nchi yake haogopi adui kutoka nje...
Uliipata wapiKuna taarifa zinasema usiku Urusi iliishambulia Ukraine kwa Vacuum Bomb