matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Wajuvi mnisaidie
Kila vita inalengo. Na vita vya kushambulia kabisa kama hii lengo nilitegemea Lowe wazi kabisa.
Afghan alikuwa anasakwa gaidi Osama.
Iraq utawala Wa Sadam ulizingiziwa kuwa na silaha za kemikali.
Nimejaribu kufuatilia lengo jepesi na lililompa Uharaka Putin kuishambulia Ukraine sijaelewa Msaada wakuu.
Je Ni kuiangusha serikali? Imekosa nini?
Je Ni kuzuia mipango ya NATO Ukraine? Hawakuwa na njia mbadala?
He nikuongeza ardhi? Wanayokubwa sana?
Katika vita vya kisasa ambavyo huwezi kujua adui anauwezo gani tena kwenye support ya dunia kama Ukraine, Nini lengo kificho LA urusi kutuletea shida hii?
Kila vita inalengo. Na vita vya kushambulia kabisa kama hii lengo nilitegemea Lowe wazi kabisa.
Afghan alikuwa anasakwa gaidi Osama.
Iraq utawala Wa Sadam ulizingiziwa kuwa na silaha za kemikali.
Nimejaribu kufuatilia lengo jepesi na lililompa Uharaka Putin kuishambulia Ukraine sijaelewa Msaada wakuu.
Je Ni kuiangusha serikali? Imekosa nini?
Je Ni kuzuia mipango ya NATO Ukraine? Hawakuwa na njia mbadala?
He nikuongeza ardhi? Wanayokubwa sana?
Katika vita vya kisasa ambavyo huwezi kujua adui anauwezo gani tena kwenye support ya dunia kama Ukraine, Nini lengo kificho LA urusi kutuletea shida hii?