LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums

“Civilized”
 
Kuna jambo linanijia kichwani kuwa huyu Rais wa Ukraine pamoja na kuonekana akiongea Mara kwa Mara kwenye Tv na bendera ya nchi ikiwepo huenda akawa hayupo Ukraine japo anasema haondoki anabaki na wananchi wake.
Upo sahihi, inaitwa deepfake technology. MIT ndo wavumbuzi na wabobezi katika hii tech.

Watu wameihofia sana, ikitumika vibaya hasa kwenye siasa inaweza leta madhara makubwa.

Ingia YouTube search deep fake!

AI Generated Synthetic Video

this is a dangerous time!
inawezatengenezwa video ya raisi wa nchi akitoa maneno machafu sana ya kiubaguzi dhidi ya kundi falni (dini, kabila) katika nchi yake, ghafla CIVIL WAR ikaanza.
 
Russian helicopters cover the people's militia.

Your browser is not able to display this video.
 
⚡️ Russia to strike Kiev security service HQ with ‘high-precision weapons’ – warns residents living close by to evacuate

Russia will launch a strike against the 'Center for Information and Psychological Operations' in the Ukrainian capital to suppress the number of information attacks on various state institutions and Russian citizens.

Moscow warned residents who live in close proximity to communications towers near the headquarters in the center of Kiev to evacuate their homes for their own safety.
 
⚡️ Russia to strike Kiev security service HQ with ‘high-precision weapons’ – warns residents living close by to evacuate

Russia will launch a strike against the 'Center for Information and Psychological Operations' in the Ukrainian capital to suppress the number of information attacks on various state institutions and Russian citizens.

Moscow warned residents who live in close proximity to communications towers near the headquarters in the center of Kiev to evacuate their homes for their own safety.
 
Vita mbaya sana kuna dogo wa kihindi 21 wa mwaka wa mwisho medicine amefariki huko alipokua amekwenda kununua chakula inasikitisha maongezi ya mwisho na mzee wake “Kama una bendera kubwa aitundike Kwenye Jengo analokaa”
Inasikitisha sana. Ukiwa nchi za watu kuwa na bendera n muhimu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…