Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,796
- 2,367
washashika mji tayari[emoji298]️ Ukrainian Parliament confirms a shell hit Kiev TV tower and there are problems broadcasting (RIA Novosti)
Wanakimbiza mwizi kimya kimyawashashika mji tayari
Duh...uko dunia ya wapi wewe???!! Mipango ya Putin kuiangamiza Ukraine haikuanza leo...ilianza zamani Sana...kuingia kwa Russia kule Syria ilikuwa ni miongoni mwa mipango hiyo kwamba jeshi lake lipate uzoefu zaidi wa Vita...vikwazo vyote vinavyowekwa Sasa na nchi za magharibi vilishajadiliwa na Putin na majasusi wenzake...Kila kitu kilishafanyiwa tathmini na kwa hiyo Russia ilishajiandaa kitambo...nilishasema humu kuwa Russia iliishambulia Ukraine siku tano zilizooita kwa kutumia special forces tu na makombora ya masafa marefu...jeshi lilibakiake kubwa kwa maana ya main force lilibaki mpakani likisubiri amri...Sasa limesharuhusiwa kuizingira Kharkiv, Kiev na mariapoul...msururu unaoelekea Kiev ukiwa na vifaru na vifaa vinginevyo vizito urefu wake ni kilomita 60....wa magharibi wamepigwa na butwaa...vile vitangazaji vya BBC Aljazeera, Sky News wanalotangaza unaona kabisa wanna majonzi makubwa...mmoja amesikika akisema ndiyo hivyo Tena...mchezo wenyewe wa Putin ndiyo kwsnza unaanza..haijulikani amepanga Nini...ni hatari..."Kila mzarau mwiba mguu huota tende". Putin hakutegemea kuhenyeshwa namna hii na nchi ambayo ni sawa na mkoa wake. Inasemekana ashaongeza idadi ya wanajeshi baada ya wale aliowatuma kuuwawa, kutekwa na kujeruhiwa vibaya, pia wameshindwa kufikia malengo waliyopanga. Walitarajia kumaliza vita kwa usiku mmoja, sasa leo ishakuwa week na matumaini ya kile wanachohitaji hayaonekani. Huenda akishindwa tena kukamata mji mkuu ataongeza tena jeshi na mwisho wa siku atajikuta yuko peke yake nchini, huku jeshi lake lote likiwa mapiganoni. Waswahili wanasema "vita vya panzi, ni furaha kwa kunguru". Najua sasa hivi Marekani wanacheka tu jinsi Mrusi anavyozidi kumaliza jeshi lake na silaha zake vitani. Watahakikisha mrusi anabaki hoi kijeshi na kiuchumi.
Tuombe uzima wafikie tu makubaliano ya kusitisha vita ila kila mmoja aishi kwa amani. Tatizo Putin anaona akisimamisha vita atadharauliwa sana na baadhi ya mataifa ambayo yaliamini Urusi ingemaliza mission usiku mmoja tu, na kwa upande wa Ukraine nao naona Marekani anawachochea chochea ili waendelee kumtia mrusi hasira na kujikuta anaendelea kutumia silaha zake, jeshi lake na uchumi wake ktk vita ili mwisho wa siku Russia idhoofike kidogo kutokana na vita hivyo.Tuombe tu yaishe maana akizidiwa kwa kiwango unachosema atakuwa hana tena cha kupoteza. Sasa mtu ambaye hana tena cha kupoteza na ana silaha za maangamizi unadhani atachukua maamuzi gani? Unless ipo njia ya kumdhibiti asifanye mad decisions.
Ok mkuu.angalia kyiv inachofanywa huko acha kupepeta domo
Imekuwaje tena
Mkuu lakni huoni kama taarifa zote tuzisikiazo ni za upande mmoja"Kila mzarau mwiba mguu huota tende". Putin hakutegemea kuhenyeshwa namna hii na nchi ambayo ni sawa na mkoa wake. Inasemekana ashaongeza idadi ya wanajeshi baada ya wale aliowatuma kuuwawa, kutekwa na kujeruhiwa vibaya, pia wameshindwa kufikia malengo waliyopanga. Walitarajia kumaliza vita kwa usiku mmoja, sasa leo ishakuwa week na matumaini ya kile wanachohitaji hayaonekani. Huenda akishindwa tena kukamata mji mkuu ataongeza tena jeshi na mwisho wa siku atajikuta yuko peke yake nchini, huku jeshi lake lote likiwa mapiganoni. Waswahili wanasema "vita vya panzi, ni furaha kwa kunguru". Najua sasa hivi Marekani wanacheka tu jinsi Mrusi anavyozidi kumaliza jeshi lake na silaha zake vitani. Watahakikisha mrusi anabaki hoi kijeshi na kiuchumi.
Unataka kujua nini haswa?Imekuwaje tena
hili nalo cjui limekula mavi? convoy ni vifaru? sikia mariamu matako wazi sio vifaru ni msafara wa magari ya kijeshi ya urusi na silaha mbalimbali za kirusi kwaajili ya kwenda kuishambulia kiev, so hawawezi kuingia tu kiev kiholela lazima wakutane na resistance hawasafiri tu kama kwenda kijijini kunywa mbegeHivi huo msafara wa vifaru vya urusi havijafika tyu kyv,yaan toka usiku wa jn wanasafiri
Angalia anaehangaika sana ndio anapigwa ...Utoaji taarifa uko very bias, kila mtoa taarifa anavutia upande wake.
Ndio maana nikasema kuwa "vita vya panzi, ni furaha kwa kunguru" nikiwa na maana kuwa hii vita ya Ukraine na Russia ni furaha kwa Marekani na nchi za Magharibi. Fikiria aina ya silaha inazotumia Urusi katika vita, idadi ya jeshi lake linalokwenda mapambanoni maana ameshaongeza jeshi baada ya baadhi ya wanajeshi wao kuuwawa, kutekwa, kujeruhiwa nk. Mpaka hii vita ikija kusimama Urusi itakuwa imeshapoteza askari wengi, silaha nyingi na gharama kubwa za vita. Pia hivi vikwazo vilivyowekwa sasa madhara yake ni mara kumi ya yale madhara aliyokuwa ameyafikiria Putin hapo kabla. Kwahiyo nguvu ya jeshi ya Urusi itashuka ukilinganisha na ile nguvu iliyokuwa nayo kabla ya vita (hii ndio point muhimu inayotafutwa na Marekani) Lakini faida nyingine kwa Mmarekani ni kwamba wakati Russia inapanga mipango ya kushinda vita kila dakika bila mafanikio, mmarekani na washirika wake wanatumia muda huo kuendelea kuunda silaha mbali mbali na jeshi lenye nguvu kwa ajili ya adui yeyote akiwemo Urusi ambayo sasa nguvu zake za kijeshi zitakuwa zimepungua kutokana na vita hivyo plus uchumi kuanguka nk.Duh...uko dunia ya wapi wewe???!! Mipango ya Putin kuiangamiza Ukraine haikuanza leo...ilianza zamani Sana...kuingia kwa Russia kule Syria ilikuwa ni miongoni mwa mipango hiyo kwamba jeshi lake lipate uzoefu zaidi wa Vita...vikwazo vyote vinavyowekwa Sasa na nchi za magharibi vilishajadiliwa na Putin na majasusi wenzake...Kila kitu kilishafanyiwa tathmini na kwa hiyo Russia ilishajiandaa kitambo...nilishasema humu kuwa Russia iliishambulia Ukraine siku tano zilizooita kwa kutumia special forces tu na makombora ya masafa marefu...jeshi lilibakiake kubwa kwa maana ya main force lilibaki mpakani likisubiri amri...Sasa limesharuhusiwa kuizingira Kharkiv, Kiev na mariapoul...msururu unaoelekea Kiev ukiwa na vifaru na vifaa vinginevyo vizito urefu wake ni kilomita 60....wa magharibi wamepigwa na butwaa...vile vitangazaji vya BBC Aljazeera, Sky News wanalotangaza unaona kabisa wanna majonzi makubwa...mmoja amesikika akisema ndiyo hivyo Tena...mchezo wenyewe wa Putin ndiyo kwsnza unaanza..haijulikani amepanga Nini...ni hatari...
when did america invade a country and turn it into ashes within 24hrs? is it iraq or underdog libya? is it vietnam or syria? tell us buddyRussia has nothing to do with France.. all of us we were expecting to see Ukraine turning to ash within 24 hours. yet until today putin's army is still struggling to put in order some ukrein's cities while we are in fourth day. what shame is this!!. guys let ask you 1 question, does putin gets sleep this days? 😂😂 Ukraine knows how to expose a lier!!
Kwahiyo kama aliwapa ndege Uganda wapigane nasi ndio inaharalisha [emoji631] kuua watu Libya kipind kile???Wewe una emotions tu hakuna unachojua, hufahamu kuwa ghadafi alituma jeshi na silaha Uganda kipindi cha ya kagera, umesahau Russia aliivamia afighanistan, hoja za kishabiki zipo kwetu ambapo watu wengi akili hamna hawafanyi analysis, unaweza ku analysis hii vita kwa jicho la ubinadamu, athari zake kwenye jamii zetu mpaka huku kwetu kwa wachambuzi
Ya inawezekana taarifa hizi zinapikwa na vyombo vya habari vya magharibi. Nafikiri tuombe vita visimame ili kuepusha majanga. Bwana P ni kichaa, anaweza kufanya jambo ambalo halikutarajiwa na wengi ikawa hasara kwa dunia yetu. Nasikia kibonyezo cha nyuklia anatembea nacho mfukoni kwake, hataki hata kumpa mtu akishike 🤣🤣🤣🤣Mkuu lakni huoni kama taarifa zote tuzisikiazo ni za upande mmoja
Ndio shida ya propaganda za uongo.... angalia sasa anavohaha ye si hero akaze sasa tumwone na mbaya zaidi ombi lake kujiunga EU limekua rejected...KAKA ENU YEYE VITA YAKE NI YA MITANDAO NA KUOMBA OMBA, UNAOMBA NINI NA WAKATI MMEWAUA WA RUSSIA WAKUTOSHA, KAZENI WAZEE WANGU MTAWAMALIZA RUSSIA HAWANA KITU[emoji1787]
View attachment 2135413
Hayo matoi hayafanyi kazi kwa Warusi.umesikia sasa ivi yamepew sifa kama kule LibyaWarusi convoy zao zina nyanyaswa na haka kadude kadogo tuView attachment 2135256