LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kushikwa pabaya sio tatizo, lkn jeshi Mrusi ataweza kuhimili vita hivi kwa miezi mitatu au zaidi ijayo. Uchumi umeanguka, silaha ambazo ndio zilikuwa zinamfanya awe Super power namb mbili duniani ndio hizo zinazidi kutumika kujilinda, askari wanakufa, wanajeruhiwa, wanatekwa nk. Wakati Mrusi akipanga namna ya kutumia silaha zaidi ili a win mapambano, Mmarekani na washirika wake wao wanatumia muda huo kuendelea kuunda silaha mpya, kukuza uchumi wao, na kujizatiti zaidi kwa ajili ya vita vya serious vinavyoweza kutokea huko mbele. Sio hivi vya mtoto na baba au vita ya paka na panya.

Mzee russia katumia silaha za kawaida sana tena sanaa usifikir mrussi hana akili. Mrusi hajatumia silaha nzito hata moja.
 
Hayo mafuta na gesi vmepanda ulaya huko au na nyie huku mnanunua gesi ya russia???
Pili vita haiwez fika huku maana hatuhusiki na hao unaosema NATO hawazezi ingza majeshi yao ukraine sababu ukraine sio member wao
Inawezekana hawanunui gesi ya Urusi , lakini tatizo lolote litakalosababisha gesi ya urusi kutopatikana kwa uhakika, ni wazi litapunguza supply ya gesi duniani hivyo bei kupanda kwa wazalishaji wengine.
 
Nadhani wanatoa nafasi kwa raia kuondoka. Nasikia raia wamepewa mpaka J5 baada ya hapo asilaumiwe mtu kwa kuua raia na njia za kupita wasiguswe wametoa.
Ukraine ipo katika hali mbaya sidhani kama wanaweza rudia ile suprice waliyowapa warusi juzi, na wakirudia basi Putin atakuwa kwenye hali mbaya kisiasa.
Mkuu lolote linawezekana chini ya jua,na Historia huwa inaandikwa hivi hivi,kwangu mimi pamoja na kuwa Ukraine ni mdogo sana kwa Russia lakini amepambana kwa kiasi kikubwa sana.
 
Mkuu suala la vikwazo tulisikie tukiwa mbali hivi,ukiishi kwenye nchi iliyowekew vikwazo ni nusu jehanam,hebu angalia vikwazo Russia anaenda kuwekewa vinaensa kuwarudisha nyuma sana,ndiyo maana wameikubali kukaa mezani na Ukraine kwa mazungumzo. huko North Korea hakuna issue kabisa wananchi wake wanamaisha ya hovyo kabisa,nchi ikiongizwa na dikteta huwa wananchi ndiyo wanao suffer.
Korea wana maisha ya hovyo? Kulinganisha na nani? Hapa Tanzania mna demokrasia mna maisha gani? Kenya wana maisha gani? Acha kukariri
 
Ndio maana nikasema kuwa "vita vya panzi, ni furaha kwa kunguru" nikiwa na maana kuwa hii vita ya Ukraine na Russia ni furaha kwa Marekani na nchi za Magharibi. Fikiria aina ya silaha inazotumia Urusi katika vita, idadi ya jeshi lake linalokwenda mapambanoni maana ameshaongeza jeshi baada ya baadhi ya wanajeshi wao kuuwawa, kutekwa, kujeruhiwa nk. Mpaka hii vita ikija kusimama Urusi itakuwa imeshapoteza askari wengi, silaha nyingi na gharama kubwa za vita. Pia hivi vikwazo vilivyowekwa sasa madhara yake ni mara kumi ya yale madhara aliyokuwa ameyafikiria Putin hapo kabla. Kwahiyo nguvu ya jeshi ya Urusi itashuka ukilinganisha na ile nguvu iliyokuwa nayo kabla ya vita (hii ndio point muhimu inayotafutwa na Marekani) Lakini faida nyingine kwa Mmarekani ni kwamba wakati Russia inapanga mipango ya kushinda vita kila dakika bila mafanikio, mmarekani na washirika wake wanatumia muda huo kuendelea kuunda silaha mbali mbali na jeshi lenye nguvu kwa ajili ya adui yeyote akiwemo Urusi ambayo sasa nguvu zake za kijeshi zitakuwa zimepungua kutokana na vita hivyo plus uchumi kuanguka nk.
Hahahaha nyie mashabiki wa Pentagon bwana duh....ushabiki wenu unafunika hata professionalism katika uchambuzi...utafikiri ni wachambuzi wale wa Wasafi, Clouds na EFM wanapochambua soka yetu..
 
Ndio maana nikasema kuwa "vita vya panzi, ni furaha kwa kunguru" nikiwa na maana kuwa hii vita ya Ukraine na Russia ni furaha kwa Marekani na nchi za Magharibi. Fikiria aina ya silaha inazotumia Urusi katika vita, idadi ya jeshi lake linalokwenda mapambanoni maana ameshaongeza jeshi baada ya baadhi ya wanajeshi wao kuuwawa, kutekwa, kujeruhiwa nk. Mpaka hii vita ikija kusimama Urusi itakuwa imeshapoteza askari wengi, silaha nyingi na gharama kubwa za vita. Pia hivi vikwazo vilivyowekwa sasa madhara yake ni mara kumi ya yale madhara aliyokuwa ameyafikiria Putin hapo kabla. Kwahiyo nguvu ya jeshi ya Urusi itashuka ukilinganisha na ile nguvu iliyokuwa nayo kabla ya vita (hii ndio point muhimu inayotafutwa na Marekani) Lakini faida nyingine kwa Mmarekani ni kwamba wakati Russia inapanga mipango ya kushinda vita kila dakika bila mafanikio, mmarekani na washirika wake wanatumia muda huo kuendelea kuunda silaha mbali mbali na jeshi lenye nguvu kwa ajili ya adui yeyote akiwemo Urusi ambayo sasa nguvu zake za kijeshi zitakuwa zimepungua kutokana na vita hivyo plus uchumi kuanguka nk.

Russia ana askari 900,000 wa wa kazi na anareservr ya 1,200,000 assume alopoteza ni 10,000 na hao wengi waliokufa sio well trained tunasema wasafisha njia. Nyie mnachukulia habari zenu wapi? Ukija kwa silaha russia anatumia za zaman sana hajatumia silaha kali kabisa.

Mnamchukulia poa mrussi ausioo, unafikir hana akili ya vita? Msidangwanywe na western media/propaganda urussi amejijenga vzr kwenye jeshi asee msimchukulie poa kabisa.
 
Utoaji taarifa uko very bias, kila mtoa taarifa anavutia upande wake.
Pokea tu hizo taarifa hivyo hivyo mkuu, hapa tuna mpaka wasemaji wa pande mbili zinazopigana,hatuna jinsi bali kukubali tu tunacholetewa hapa hata kama hakina ukweli.
 
Tukitaka kina nani? Hapa ni suala la maoni ya mtu mmoja mmoja boss....Kama US anafamya mambo ya kishenzi laani. Kama Urusi anafanya mambo ya kishenzi laani.
Ndio anachomaanisha kua unafiki ni kulaani ya russia wakati palestina kule hakuna anaelaani kama vile wazungu ndio watu kuliko watu wa palestrina na maeneo yetu huku
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Rais wa Ukrain ameiomba Marekani kufanya mchakato wa kukomesha urukaji wa ndege ktk anga la Ukraine (No-fly zone) ili kuyastopisha mashambulizi ya anga yanayoendelea kutekelezwa na majeshi ya Russia.

Ombi hilo limekataliwa na Ikulu ya Marekani ikisema kuwa haifikirii kufanya kitu kama hicho kwani kufanya hivyo kutaiingiza Marekani ktk vita na Russia, jambo ambalo Marekani wanajitahidi kwa namna zote kuepuka.
=====

View attachment 2134862
Hii maana yake USA hataki na anaogopa kuingia vita na Russia,lakini kajamba nani Ukraine yeye kajiona mwanaume-Stupid Ukraine.
 
Tuliambiwa hapa kufikia mida hii Kiev itakuwa majivu,ngoja tuwasubiri waliopo mstari wa mbele kwenye battle field watuletee LIVE hali ilivyo,si unajua JF inawakilishwa vyema kwenye mstari wa mapambano.
Washawasha imeingia Ukraine


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukitaka kina nani? Hapa ni suala la maoni ya mtu mmoja mmoja boss....Kama US anafamya mambo ya kishenzi laani. Kama Urusi anafanya mambo ya kishenzi laani.
Nani aliye laani wakati US akifanya vitendo viovu?

Si UN wala member wa EU wote walikaa kimya, kama US angewekea vikwazo kipindi akiipiga Afghanistan basi leo Iraq na Libya zisingekuwa hivi ilivyo leo.

Tukitaka dunia iwe sehemu salama lazima tuache unafiki.

Hivi unajua mpaka sasa US anafanya operation zake Yemen kwa kutumia kivuli cha Saudi Arabia,anadai anawatafuta baadhi ya wafuasi wa Alqueda na kuna operation yake moja aliyo ifanya imeua raia 24 wasio na hatia (waliofanya huo uchunguzi ni BBC) na ICC walipo hoji akawawekea vikwazo majaji wa ICC.

Je ushawahi kusikia taifa lolote likikemea vitendo hivyo vya US Yemen?
 
Pokea tu hizo taarifa hivyo hivyo mkuu, hapa tuna mpaka wasemaji wa pande mbili zinazopigana,hatuna jinsi bali kukubali tu tunacholetewa hapa hata kama hakina ukweli.
Nyamizi, leo umejamba mara ngapi!?
 
[emoji24]
IMG_20220301_202623.jpg
 
⚡️ Ukrainian Parliament confirms a shell hit Kiev TV tower and there are problems broadcasting (RIA Novosti)
Hypocrisy mixed with stupidity .
Ukraine wakitoa habari kuwa wanajeshi kadhaa wa Urusi samekufa katika shambulio fulan mnasema ni propaganda za media za west ila wakisema wanajeshi wao kadhaa samekufa kwasababu ya shambulio la Urusi hiyo si propaganda.
Ideot at it's best.
 
Back
Top Bottom