Putin Ni haifai wazee[emoji848]Hahahaha [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Imepigwa moja hivi inaitwa mama mkane mwanao,five rats died on spot na wale waliopewa magobore wameyaacha hapo hapo wenyewe mbele naona hawakujengwa kisaikolojia ***** zAo
KABISA,Mataifa makubwa E.U na U.S yameogopa kuingia vitani kumsaidia Ukreine,Putin ameanza kutengeneza jangwa uko.
Cha muhimu ni Ukreine watii masharti ya Urusi vita iishe.
Wanaugulia maumivu ya kichwa kwa milipuko ya ajabu ya MrusiSIWAONI WALE MA PRO UKRAINE AU MPO FRONTLINE?
Hahahaha 😀😀😀😀😁😁😁😁😁 Imepigwa moja hivi inaitwa mama mkane mwanao,five rats died on spot na wale waliopewa magobore wameyaacha hapo hapo wenyewe mbele naona hawakujengwa kisaikolojia ***** zAo
Tatizo la ukrane mdomo Sana,Amani na upendo ni jambo kubwa sana
Hali ilivyo na updates zinazoendelea kutolewa na media on ground hali ni mbali kuliko maelezo yanayotolewa
Tuwaombee zaidi ukrain Mungu aingilie kati roho na vita hii isimame
Kwa madhala na nchi inavyobomolewa .itachukuwa miaka mingi sana kujengwa upa
(Vita sio nzuri at all)
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] dadekNikiangalia youtube Urusi anavyo switch makombora alafu yanaenda kutua kambi za jeshi la Ukreine,na nikikumbuka jeshi letu linavyovunja matofali kwa kichwa nakosa kabisa hamu ya kula ndugu zangu.
acha waisome namba titiem ntintiiiTatizo la ukrane mdomo Sana,
Wanarusha video za kipumbavu KABISA uko kua wakulima wanaiba vifaru, wkt Putin anashusha vitu nchi inageuka jangwa.
Haponi mtu hapo😂View attachment 2135609
Video reportedly from Kharkiv.
Malizia NALU wazee wa ambush. Katanga na northern kivuMwambie Zelenskyy atume nauli kws ADF wakamsaidie
Msije kujaribu kupigana na nchi advanced mtaishaaNikiangalia youtube Urusi anavyo switch makombora alafu yanaenda kutua kambi za jeshi la Ukreine,na nikikumbuka jeshi letu linavyovunja matofali kwa kichwa nakosa kabisa hamu ya kula ndugu zangu.
SIWAONI WALE MA PRO UKRAINE AU MPO FRONTLINE?
Sahizi hapeleki wanajeshi anatuma vidude tu kuelekea sehemu husikaRussia keshajua uhuni walionzisha Ukraine, anatumia ndege na missiles TU.
Ukirusha baruti, anarusha bomu.
Hacheki na kima[emoji1787]
Russia aliwadharau akaleta silaha zile mabaki ya ww2, akagundua kumbe bado wakaidi.Mkuu mi sikatai kuwa Urusi ni taifa kubwa kieneo pengine mara 10 ya Ukraine, sikatai kuwa Urusi ina jeshi kubwa na lenye nguvu zaidi ya Ukraine, pia sikatai kuwa Urusi ana silaha hatari zaidi ya zile za Ukraine. Ila ninachozungumzia hapa ni kwamba Urusi na wapambe wake hawakutegemea kuwa wangepata upinzani mkubwa kutoka kwa vikosi vya Ukraine kwani waliamini kuwa Ukraine ina jeshi dhoofu lisilo na ujuzi wala mbinu, lisilo na silaha wala uwezo wa kujilinda na kujitetea kwa namna yoyote ile. Urusi ilitegemea kuwa baada ya kuanzisha mashambulizi jeshi la Ukraine lingeweka silaha chini na kukimbia huku wakiacha jeshi la Urusi likivinjari katika ardhi yao, na ndio maana kabla mashambulizi hayaja anza Putin alianza kutangaza kuwa anataka wanajeshi wa Ukraine waweke silaha chini ili yeye aingie tu kiwepesi wepesi kama vile mume anaeingia kwenye chumba cha mkewe kula mzigo. Sasa kilichoshangaza wengi ni kwamba jeshi la Ukraine pamoja na udogo wa nchi yao, uhafifu wa vifaa vyao vya kijeshi na udogo wa jeshi lao lakini hawakutii wala kuogopa kauli ile. Ndio kwanza walionesha na wao kujiamini kwa lolote litakalotokea, na kweli kujiamini kwao kumewasaidia maana vita ambayo Russia alitegemea ataimaliza siku moja, leo ina week haijaisha huku Urusi yenyewe ikiwa haijadhibiti kikamilifu mji hata mmoja kati ya miji miwili mikubwa ya nchi hiyo. So hauoni kama mambo bado ni magumu kwa Urusi japo wanajeshi bora na silaha kubwa kubwa?
hata korea wanavunja matofali usitishike boss [emoji1787][emoji1787]Msije kujaribu kupigana na nchi advanced mtaishaa
Nchi inakwenda kugeuzwa magofu, khakiv ishakua jangwa tayar uko.Unamchagua Masanja au Mpoki kuwa Rais wa Nchi anaendeshwa endeshwa na Wanaume wenzake hata akili mmoja hatumii-ndio madhara yake hayo.
He he he mzee kiduku akikaa mezani tu anaweza kufanya jambo lake tukafutika mara mojahata korea wanavunja matofali usitishike boss [emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha...vitu vinavyoshushwa uko sio POA aisee[emoji44]Leo tu wamekufa wanajeshi 70 wa Ukraine, ***** maji wataita maaaa
halafu utawasiki tumeua warusi 5000 wanazani ni window 7Fomu za kujiunga na jeshi[emoji848]
Ukraine yashawafika maji ya shingo Sasa[emoji2]
Mk254 mwenyewe kwkubali leo mara baada ya kuona Mh Rais Vradmir Putin, hacheki na kimaVipi uko ngapi ngapi?
Ishakuwa balaaRaisi zelenzsky anawaponza raia wake kwa upumbavu wa NATO.
raia wanateketea kizembe sana, miundombinu inaharibiwa yeye anazidi kushupaza TU fuvu.
Hii nchi Putin akiwa serious, litabaki vumbi.