LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hahahaha [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Imepigwa moja hivi inaitwa mama mkane mwanao,five rats died on spot na wale waliopewa magobore wameyaacha hapo hapo wenyewe mbele naona hawakujengwa kisaikolojia ***** zAo
Putin Ni haifai wazee[emoji848]
 
Mataifa makubwa E.U na U.S yameogopa kuingia vitani kumsaidia Ukreine,Putin ameanza kutengeneza jangwa uko.
Cha muhimu ni Ukreine watii masharti ya Urusi vita iishe.
KABISA,
Madhara Ni makubwa.

Afu alivyo mbabe anatangaza KABISA wapi atapiga kabla.

Uyu comedian akija kutoka uko mafichoni atakachokutana nacho hatoamini macho yake[emoji44]
 
Mama Mkanye mwanao! 😂😂😂 Putin sio raia wa mchezo katika vita
Hahahaha 😀😀😀😀😁😁😁😁😁 Imepigwa moja hivi inaitwa mama mkane mwanao,five rats died on spot na wale waliopewa magobore wameyaacha hapo hapo wenyewe mbele naona hawakujengwa kisaikolojia ***** zAo
 
Amani na upendo ni jambo kubwa sana
Hali ilivyo na updates zinazoendelea kutolewa na media on ground hali ni mbali kuliko maelezo yanayotolewa
Tuwaombee zaidi ukrain Mungu aingilie kati roho na vita hii isimame
Kwa madhala na nchi inavyobomolewa .itachukuwa miaka mingi sana kujengwa upa
(Vita sio nzuri at all)

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Tatizo la ukrane mdomo Sana,
Wanarusha video za kipumbavu KABISA uko kua wakulima wanaiba vifaru, wkt Putin anashusha vitu nchi inageuka jangwa.
 
Nikiangalia youtube Urusi anavyo switch makombora alafu yanaenda kutua kambi za jeshi la Ukreine,na nikikumbuka jeshi letu linavyovunja matofali kwa kichwa nakosa kabisa hamu ya kula ndugu zangu.
Msije kujaribu kupigana na nchi advanced mtaishaa
 
Russia keshajua uhuni walionzisha Ukraine, anatumia ndege na missiles TU.

Ukirusha baruti, anarusha bomu.

Hacheki na kima[emoji1787]
Sahizi hapeleki wanajeshi anatuma vidude tu kuelekea sehemu husika
 
Mkuu mi sikatai kuwa Urusi ni taifa kubwa kieneo pengine mara 10 ya Ukraine, sikatai kuwa Urusi ina jeshi kubwa na lenye nguvu zaidi ya Ukraine, pia sikatai kuwa Urusi ana silaha hatari zaidi ya zile za Ukraine. Ila ninachozungumzia hapa ni kwamba Urusi na wapambe wake hawakutegemea kuwa wangepata upinzani mkubwa kutoka kwa vikosi vya Ukraine kwani waliamini kuwa Ukraine ina jeshi dhoofu lisilo na ujuzi wala mbinu, lisilo na silaha wala uwezo wa kujilinda na kujitetea kwa namna yoyote ile. Urusi ilitegemea kuwa baada ya kuanzisha mashambulizi jeshi la Ukraine lingeweka silaha chini na kukimbia huku wakiacha jeshi la Urusi likivinjari katika ardhi yao, na ndio maana kabla mashambulizi hayaja anza Putin alianza kutangaza kuwa anataka wanajeshi wa Ukraine waweke silaha chini ili yeye aingie tu kiwepesi wepesi kama vile mume anaeingia kwenye chumba cha mkewe kula mzigo. Sasa kilichoshangaza wengi ni kwamba jeshi la Ukraine pamoja na udogo wa nchi yao, uhafifu wa vifaa vyao vya kijeshi na udogo wa jeshi lao lakini hawakutii wala kuogopa kauli ile. Ndio kwanza walionesha na wao kujiamini kwa lolote litakalotokea, na kweli kujiamini kwao kumewasaidia maana vita ambayo Russia alitegemea ataimaliza siku moja, leo ina week haijaisha huku Urusi yenyewe ikiwa haijadhibiti kikamilifu mji hata mmoja kati ya miji miwili mikubwa ya nchi hiyo. So hauoni kama mambo bado ni magumu kwa Urusi japo wanajeshi bora na silaha kubwa kubwa?
Russia aliwadharau akaleta silaha zile mabaki ya ww2, akagundua kumbe bado wakaidi.

Leo anashusha missiles, Ukraine wameanza kulialia uko
 
Raisi zelenzsky anawaponza raia wake kwa upumbavu wa NATO.

raia wanateketea kizembe sana, miundombinu inaharibiwa yeye anazidi kushupaza TU fuvu.

Hii nchi Putin akiwa serious, litabaki vumbi.
Ishakuwa balaa
 
Back
Top Bottom