LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
kamdanganye shangazi yako wa buza distance ya kutoka urusi mpaka ukraine ni 4681km ni sawa na 2909miles kwa ndege yenye speed ya 560miles per hr ni masaa 5 na kitu usichokijua vita sio washirika wala propaganda vita ni vitu vikuu vitatu tu 1)uchumi 2)intelejensia na 3)teknolojia ukiwa vizuri kwenye haya maeneo ma3 hakuna kenge anayeweza kukugusa hapa duniani urusi hana kimoja tu hapo uchumi mzuri na urusi hana uchumi mzuri ukimlinganisha na mataifa makubwa km usa,france,uk,china etc na sio panya kama ukraine nchi inayozalisha mafuta inawezaje kukosa lita 50 za kuweka kwenye kifaru? ndege na makombora ya japan yanawezaje kutoboa mbele ya s-300 s-500 s-700
 
Na hilo liwe funzo kwa westernazi maana usa kafanya Libya iwe ka magofu ...
Mi nafurahi maana anaepasuliwa ni mzungu tena racist[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Putin baba we piga tuu si huku hayatuhusu asee
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
China does not intend to join the unilateral sanctions against Russia, will maintain financial cooperation with all parties
 

Nitakujibu siku UKIPONA.
 
Itakuwa wamekuona ni mzigo au hujui dunia inaelekea wapi.
 
sio 500 ni 5000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…