LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
za kutoka wapi kivipi mkuu? wote humu source zetu ni internet tu au we una vyanzo vingine?
Achana nae huyo,yeye anatujaziaga humu ma update anayatoa kwa mitandao lakini wengine wakileta update anaanza kuwahoji,utadhani yeye yupo front line
 
Hizo ni taarifa kutoka wapi... Wakati misafara yote ya Urusi ilikuwa na ulinzi wa anga (escort)
Wewe hizo update unazotujazia humu unakuwepo eneo la tukio? Acha na wenzio walete taarifa pia,hakuna aliyeko Ukraine nyote source zenu ni mitandaoni .
 
Bomu LIMEPIGA USIKU KARIBU NA TRAIN WENYEWE WANAPOST PICHA YA MTOTO NA BABA, WANA VITA ZA KIMITANDAO
Users are spreading video of a rocket attack on a train station online

Source: All-Seeing Eye
 

Attachments

  • VID_20220303_064520_782.mp4
    419.7 KB
Vyombo vyenu vimeishiwa propaganda ya kupublish naona wapo kimya sana as if nothing is happening in Ukraine. UN wamedai 1M wameikimbia Ukraine
 
Defense Secretary wa Marekani General Lloyd Austin asema kuwa Russia bado wana uwezo na nguvu kubwa mno ya kupambana na Ukraine ambayo hawajaamua kuitumia.

Alipoulizwa kuhusu madai ya kuwa wanajeshi wa Russia wanasalimu amri kwa majeshi ya Ukraine kasema kuwa pamoja na kuwa kuna video nyingi zimepostiwa, madai hayo ni ngumu kuyathibitisha.

 
Kwamba wewe unajua sana
 
Vyombo vyenu vimeishiwa propaganda ya kupublish naona wapo kimya sana as if nothing is happening in Ukraine. UN wamedai 1M wameikimbia Ukraine
Ndiyo muda muafaka sasa wa wewe kutuletea zile za ndanii kabisa na za uhakika kutoka Klemlin
 
Mkuu leta habari,nimeamka nikakimbilia kwa TV kutaka kujionea kyiv ikiwa majivu,lahaula nimekuta bado ipo na leo ni tar 3. Vipi tusogeze tena deadline?
Kumbuka mda wa mazungumzo unaowekwa ndio unachelewesha mambo yaani tuseme golikipa wa Ukraine anapoteza sana mda. Mara mbili ametibiwa hivyo dakika zinaongezwa nyingi.
 
Kumbuka mda wa mazungumzo unaowekwa ndio unachelewesha mambo yaani tuseme golikipa wa Ukraine anapoteza sana mda. Mara mbili ametibiwa hivyo dakika zinaongezwa nyingi.
Kwa hiyo tuongeze tena dakika ngapi za kufidia muda uliopotea
 
Reactions: F9T
Nimesikia dakika 3 zinaongezwa japo refa anaweza maliza game mda wowote kuanzia sasa na kwa kuwa dakika za ziada basi watu hawatalalamika CAS
 
Tokea nikiwa mtoto nilikuwa na ndoto ya kuiangamiza Ukraine. Nakumbuka kipindi nacheza michezo na watoto wenzangu baada ya kuangalia Rambo basi mm nilikuwa Upande wa Urusi na jamaa yangu alikuwa Ukraine. Nilimvunja vunja hatari sana na silaha yake ya mabanzi ya mgomba wa ndizi. Na Gode Russia
 
Jamani mliopo jikoni mtuambie Kiev imeshageuka majivu. ? Tunaona wakata kuni huku nje kuwa wanalalamika poli linaisha harafu msosi hauivi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…