LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Tunawapeleka taratibu. Tunataka kuwalegeza hawa NATO. Kuna taarifa ninazo za uhakika sasa hivi. Nitaanza kuziweka humu. Huko Ukraine vyombo vya habari vimezuiliwa.
 
Jamani mliopo jikoni mtuambie Kiev imeshageuka majivu. ? Tunaona wakata kuni huku nje kuwa wanalalamika poli linaisha harafu msosi hauivi .
Mkuu,hapa hutojibiwa kamwe,bora uendele kuburudika na comments za Frustration Wamejikita kutuletea updates za "Breaking News" kwa sasa
 
Kwani Marekani ilichukua siku ngapi katika Vita ya Irak na Marekani ?, Kwani Marekani ilichukua siku ngapi Afrigastan ?
 
Tayari Jeshi la Russia limezunguka miji yote mikubwa ya Ukraine. Kuna rafiki yangu General ya jeshi la Russia tulikutana naye Syria. Kaniambia, kinachosubiriwa sasa hivi ni mazungumzo kati ya Russia na Ukraine yaliyopangwa leo asubuhi.
 
Intelijensia za wamagharibi zaonesha kuwa mwanzono mwa February maafisa wa China waliwaomba maafisa wa Russia wacheleweshe kidogo oparesheni hii ya kijeshi mpaka mashindano ya Olympics yapite. Kwa maana China na Russia walijadiliana pembeni juu ya jambo hilo kabla ya kutokea.

 
Tunawapeleka taratibu. Tunataka kuwalegeza hawa NATO. Kuna taarifa ninazo za uhakika sasa hivi. Nitaanza kuziweka humu. Huko Ukraine vyombo vya habari vimezuiliwa.
Sawa commander In charge sema mna taarabu nyingi
 
Romania romania romania jana walipewa kipigo cha kiini macho pigo lilikuwa hivi:

romania ilirusha ndege ya mg 21 ghafla ndege ikapotea kwe rada huku ikisemekana itawa imeangukia kwenye maji ya blacksea

Ikabidi wato helcopter kwa ajiri ya kutafuta ile ndege mala ghafla ile helcopter nayo ikaanguka na kuuwa mtu mmoja

Romani ikatuma tena helcopter helcopter ya uwokozi mala helcopter ya uwokoz nayo ikaanguka na kuuwa watu wa tano
jumla ndege tatu za romania zimelamba mchanga kumbukeni roman ni mwanachama wa nato na imepaka na ukraine
 
Kwani Marekani ilichukua siku ngapi katika Vita ya Irak na Marekani ?, Kwani Marekani ilichukua siku ngapi Afrigastan ?
Leta habari za Russia vs Ukraine,hayo ya Marekani yanakujaje tena hapa? Wakati mnatupigia makelele humu kuwa hii ni special operation ya masaa 24 tu,hamkuwa mnafanya comparison na Marekani.
 
Kwani Marekani ilichukua siku ngapi katika Vita ya Irak na Marekani ?, Kwani Marekani ilichukua siku ngapi Afrigastan ?
Hao wamehamisha magoli kutoka kwenye Urusi kupigwa hadi kwenye kuhesabu siku za Urusi kuipiga Ukraine. Watachelewesha tu kuleta mashahidi wao ila kipigo(hukumu) iko pale pale.
Kupigwa apigwe Ukraine,NATO, Ufaransa,Poland,Germany,Uk na USA alafu mning'inio wanapata wabongo wa tandale.
 
Bongo kila mtu ni jasusi
 
Kyiv haijageuka majivu bado tu,Mkuu nakukumbusha comment yako tangu tar 28/02 ulituambia hap hapa.
 
General: Tumejaribu sana kumueleza mwenzetu jambo hili lakini anaonekana kuwa mgumu. Tumeamua kutumia mguvu. Akatae au akubali wamuzi wa Russia sasa ni kuweka wanajeshi ndani ya Ukraine.
 
Kwa mujibu wa CNN, meya wa mji wa Kherson nchini Ukraine akiri kuwa sasa mji huo tayari umechukuliwa na majeshi ya Russia. Meya huyo kaongezea kuwa majeshi ya Ukraine yamekimbia, hakuna mwanajeshi hata mmoja aliyesalia.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…