Reference Spa sio chuo hatufanyi assignmentJF tujilazimishe kuweka vyanzo ( sources) za taarifa tunazitoa. Mtu anaandika article ndefu lakini haina reference yeyote utafikiri ngonjera anamtungia mpenzi wake!
Hizo ndege na helokopta ni za NATO na USA kwa namna zilivyoangushwa kishamba, hadi bibi Deni ameona aibu kuitisha videoconference na waste media zime-unyuti (mute)Romania romania romania jana walipewa kipigo cha kiini macho pigo lilikuwa hivi:
romania ilirusha ndege ya mg 21 ghafla ndege ikapotea kwe rada huku ikisemekana itawa imeangukia kwenye maji ya blacksea
Ikabidi wato helcopter kwa ajiri ya kutafuta ile ndege mala ghafla ile helcopter nayo ikaanguka na kuuwa mtu mmoja
Romani ikatuma tena helcopter helcopter ya uwokozi mala helcopter ya uwokoz nayo ikaanguka na kuuwa watu wa tano
jumla ndege tatu za romania zimelamba mchanga kumbukeni roman ni mwanachama wa nato na imepaka na ukraine
Upo ulaya wwMtandao wa yuotube haufanyi kazi ulaya nzima
Umeelewaje mie kuandika Propaganda ? mbona unachomoka tu mkuu..Kipi kigumu Hapo?
Hakuna wanajeshi wa Urusi màteka Ukraine?
Ushabiki ukipitiliza unakuwa ujinga . Reasoning capacity inapungua!
Ni utaratibu mzuri, unalenga kuepusha maafa kwa raia.Russia ameanzisha utaratibu wake wa kiungwana sana, anavamia jimboni kwako ( Ukraine) anaita moyor wa Jimbo husika. Anakwambia " ndugu Mh. Nimeleta kikosi changu kwa amani kabisa, naomba utangaze kusunder kwa masirahi mapana na wananchi wako, au ukatae nishushe kipigo kizito" [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2136922
Bado wana fikiri ni Comedy. Kuna mwanamke humu anaitwa Nyamizi siku akifika juu ya mlima Kilimanjaro anaanza kuleta kelele humu.Russia ameanzisha utaratibu wake wa kiungwana sana, anavamia jimboni kwako ( Ukraine) anaita moyor wa Jimbo husika. Anakwambia " ndugu Mh. Nimeleta kikosi changu kwa amani kabisa, naomba utangaze kusunder kwa masirahi mapana na wananchi wako, au ukatae nishushe kipigo kizito" [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2136922
Mayor ilibidi ajitambue mapema kuwa nothing can stand on Russia's road. Raia wake hao anaowaita askari kule urusi ndio wanaolinda hardware za watu binafsiKwa mujibu wa CNN, meya wa mji wa Kherson nchini Ukraine akiri kuwa sasa mji huo tayari umechukuliwa na majeshi ya Russia. Meya huyo kaongezea kuwa majeshi ya Ukraine yamekimbia, hakuna mwanajeshi hata mmoja aliyesalia.
View attachment 2136919
Kutukana ama kuandika pumba ni ujuha na utoto tu, jibu hoja ndugu.Naona leo hujagongwa G-spot, umepoa sana.
Nilienda Urusi aisee huko bia ni kama juice tu.Mayor ilibidi ajitambue mapema kuwa nothing can stand on Russia's road. Raia wake hao anaowaita askari kule urusi ndio wanaolinda hardware za watu binafsi
Naona na wewe umeanza kuwashwa, unatafuta mtu wa kukukuna!?Kutukana ama kuandika pumba ni ujuha na utoto tu, jibu hoja ndugu.
Rafiki yangu huyo namkubali sana sema tu ni upande aliochagua ni wakukosa na atajutia sana maana mameya wake wanakubali kuweka mji mkononi mwa Urusi ila yy Nyamizi bado wameshikilia bendera ya UkraineBado wana fikiri ni Comedy. Kuna mwanamke humu anaitwa Nyamizi siku akifika juu ya mlima Kilimanjaro anaanza kuleta kelele humu.
Mmekutana washabiki wa Mpira. This is not football. Mm sijui habari za Mpira lkn wengi naona hupa ni bodaboda tu.Russia na kiwebsite chao cha RT.com ukisoma habari kwao mara mbili ukirudi mara ya tatu wananza kukuambia"We have registered suspicious traffic coming from your network. Using this page, we will be able to determine that you are not the robot. Wakti maBBC, Maaljazeera huko hawana hizi mambo kweli. Kwa kifupi mrusi alidhani myukreni mlaini kama pamba sasa kakutana na upinzani ambao hakuutarajia zile siku za mwanzo Putin alikuwa anabweka hatarii sasa hivi kidogo kafunga mdomo wake,
Kwahiyo ulitaka Ukŕine ifanyeje???Rais wa Ukraine ni mpumbavu,hivi ni Nchi gani hapa Duniani itataka waingie vitani na Mrusi??,hakuna hakuna hata mmoja yenye uwezo huo na ndio maana mbinu wanatumia ni kuungana Ulaya nzima.
Na tatizo wakiungana Ulaya nzima yaani NATO nzima kwenda kupigana na Russia hiyo inakuwa tena ni WWW3,swali ni kuwa USA+NATO wapo tayari kwa WW3???
SafiiRomania romania romania jana walipewa kipigo cha kiini macho pigo lilikuwa hivi:
romania ilirusha ndege ya mg 21 ghafla ndege ikapotea kwe rada huku ikisemekana itawa imeangukia kwenye maji ya blacksea
Ikabidi wato helcopter kwa ajiri ya kutafuta ile ndege mala ghafla ile helcopter nayo ikaanguka na kuuwa mtu mmoja
Romani ikatuma tena helcopter helcopter ya uwokozi mala helcopter ya uwokoz nayo ikaanguka na kuuwa watu wa tano
jumla ndege tatu za romania zimelamba mchanga kumbukeni roman ni mwanachama wa nato na imepaka na ukraine