LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Huu n uongo
 
Sisi tuliochukua mafunzo ya kijeshi Russia tunaelewa sana. Lakini mdogo wangu Nyamizi tunajaribu kumweleza amekomaa tu. Haoni hata nchi ilivyopiga kura UN. Msimamo wa Tanzania ni kuwa tofauti na mabavu ya NATO na wazungu.
 
Nyamizi ni shemeji yangu. Matani yangu na yeye wengine msiingilie.
Nyamizi ni mwanamke mzuri, macho yake kama ya hua, mashavu yake kama komamanga aka Apple.

Shemeji usinune, nakupenda hivyo hivyo.
 
Walipoungani cc tulikuwa kimya hatukuwazodoa ila cc tukiungwa mkono au kuungana wanaleta zengwe. USA mabatok sana yy anapenda dunia yote imsujudie yy kama Mungu wa wayahudi
 
Kwa mujibu wa CNN, meya wa mji wa Kherson nchini Ukraine akiri kuwa sasa mji huo tayari umechukuliwa na majeshi ya Russia. Meya huyo kaongezea kuwa majeshi ya Ukraine yamekimbia, hakuna mwanajeshi hata mmoja aliyesalia.

View attachment 2136919

Rafiki yangu huyo namkubali sana sema tu ni upande aliochagua ni wakukosa na atajutia sana maana mameya wake wanakubali kuweka mji mkononi mwa Urusi ila yy Nyamizi bado wameshikilia bendera ya Ukraine
We Kwa moto ule utabaki utakuwa punguani , kwenye vita ukizidiwa ku sarenda ni muhimu
 
[emoji23][emoji23]
 
Ina maana nchi za Afrika zote zinamsaport Urusi

Hii haitokuja leta chuki kwa waafrika walioko Ukraine
 
Msiseme hatujawapa warning tunapoanza kazi yetu
Your browser is not able to display this video.
 
URUSI imeamuru majeshi yake yaliyopo Ukraine kuwasaidia raia wa India kutoka nchini Ukraine wakiwa salama salimini.
Hii ni baada ya raia wenye asili ya kihindi na Afrika kukataliwa kutoka nchini ukraine kupitia Poland. Tanzania leo itaomba pia raia wake wapewe msaada wa kuondoka Ukraine kupitia mpaka unaoshikiliwa na Urusi.
 
Ndege vita nne za Russia zalaumiwa kuingia pasi na taarifa ktk anga la Sweden siku moja baada ya waziri mkuu wa Sweden kutangaza kuwa serikali yake itaimarisha zaidi nguvu za kijeshi za sweden kufuatia uvamizi wa Ukraine. Maafisa wa jeshi wa Sweden wamesema kuwa ndege hio ni SU-24 (mbili) na SU-27 (mbili).



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…