LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kumbe Russian Soldiers wameuawa wengi tu, mia tano sio kidogo na tena hiyo wamekiri wenyewe kabisa na kama ni hivyo utakuta wameuawa wengi zaidi ya hao. Vita havina cha Super Power.
Waliokufa wa Urusi wamekuwa wengi kutokana na njia waliotumia-wangeamua kwanza kuanza Air to Air wangekuwa wachache sana.
 
Apeleke kikosi, aache porojo.

Au anajifanya hajaona Romania alivyodunguliwa huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ameshacontrol karibu miji yote ya Ukraine akishirikiana na Belarus army na Chechen,,,Yan kuna mitaa vifaru vyao tu vinapita.
 
Wafanye Kama wanajikuna Basi, wamejiimarisha bhana[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rafiki yangu huyo namkubali sana sema tu ni upande aliochagua ni wakukosa na atajutia sana maana mameya wake wanakubali kuweka mji mkononi mwa Urusi ila yy Nyamizi bado wameshikilia bendera ya Ukraine
Tupo tunapambana mpaka kieleweke Mkuu,tunachojua sisi Wa Ukraine ni washindi tu,hata muangushe mnvua ya mabomu lakini tmewadharirisha na vikwazo mmewekewa vya kutosha,mkimaliza kudondosha mabomu yenu mnakwenda kupambana na vikwazo,mtakufa na njaa,si unaona hadi wanywa Vodka yenu wameisusa,safari hii mtakuwa mnabebeba magunia ya Ruble kwenda kununua mkate na siagi,maana kwa sasa unahitaji Ruble 102.5 ili upate USD 1,baada ya mwezi utahitaji Ruble 1000 kuipata hiyo USD.
 
Kumekucha
Habar nyepesi nyepesi zinasema Putin keshamwaga vikosi zaidi ya elfu 10 ndani ya finnland na sweden kujipanga kupigana na NATO.

Na hapo anajaribu kuwaaamblinisha hawana ulazima wa kujiunga na NATO maana usalama wao atauhakikisha yeye mwnyw Putin.

HAPO barua inakuja baada ya vikosi kuingia. Putin Ni mtu smart Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekunywa uji leo baby!?
 
Kichapo kikiisha na kila kitu kitaisha.
Source; Niamini mimi
 
Kutoka kusini mwa Ukraine ambako moja ya miji ya UKRAINE (KHERSON) tayari upo mikononi mwa majeshi ya Urusi.

Mji huu wenye wakazi zaidi ya 300,000 umewekwa rasmi chini ya majishi ya Urusi huku ukifanya kuwa mafanikio makubwa kwasasa tangu vita ianze kwa upande wa Urusi.

Majeshi ya Urusi yameikamata bandari ya KHERSON na kituo Cha treni Cha mji huo hii ikimaanisha Urusi Sasa ita kuwa under control of water in let huko southern Ukraine.
 
Ukraine wameipinga vikali hii habari tokea jana, mapambano yanaendelea leo siku 8 jua mrussi naye anapata cha moto tega sikio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…