Malipo madogo sana hiyo hela ya kirusi kila siku inaporomoka kama hela ya zimbabwePutin speaks at the Security Council:
1. The families of the victims will be paid a one-time allowance - 7,421,000 rubles.
2. In addition, there will be an additional payment to the families of the victims in the amount of 5,000,000 rubles.
View attachment 2137739
Yupo poa baada ya Onyo la Medvedev baada ya Mawaziri wa Ufaransa kuanza kuropoka kwamba Urusi anatakiwa apewe vikwazo zaidi.
Medvedev akawambia wawe makini,manano kama hayo ndio hugeuka na kuwa real war.
Unasikitisha sana baada ya kuambiwa mmepigana na jeshi la akiba unasikia aibu. Hapo bado atajaza spetnaz kila kona ya Ukraine na kuwasubiri NATO wapewe shughuliMalipo madogo sana hiyo hela ya kirusi kila siku inaporomoka kama hela ya zimbabwe
Jeshi la anga la Russia sio nzuri kihivyo, inazidiwa mbali mno na ile ya Marekani, Israel, Uingereza na Ufaransa.Waliokufa wa Urusi wamekuwa wengi kutokana na njia waliotumia-wangeamua kwanza kuanza Air to Air wangekuwa wachache sana.
nimeirudia maranyingi kuangalia niielewe nikabaki nashangaa .. utadhani igizo vile kwamba ndo wawakilishi wa hao wanao kinukisha2nd round of negotiations started
View attachment 2137580
Unadhani ni kama Mazese FC na Kwa mnyamani FC kwenye ndondo cup!?Jeshi la anga la Russia sio nzuri kihivyo, inazidiwa mbali mno na ile ya Marekani, Israel, Uingereza na Ufaransa.
Hakuna mshindi hapo maanake kila upande utapoteza watu ila Russia na uchumi utakuwa kitanzini.Ndugu ulitak wasipoteze hTa askari mmoja. Kinachoangaliwa mwishon nan anaibuka na ushindi...
Labda kitanzi cha kuzuia mimba.Hakuna mshindi hapo maanake kila upande utapoteza watu ila Russia na uchumi utakuwa kitanzini.
Pro Russia bwana,ikiwa ni taarifa ya kukufurahisheni mnatuletea huku mnachekelea,source hiyo hiyo ikitoa taarifa isiyokupendezeni mna jibu lenu moja huwa mnajihami nalo "western Propaganda".Sasa utajiri wote huu inakuwaje hayupo hata kwenye Top 10 ya Mataifa yenye Nguvu ki Uchumi Duniani?🙂View attachment 2137551
Nyamizi upo? Hzo ni taarifa kutoka WB sasa russia astop kufanya export unategemea nini??
Utajiri kitu gani bwana sie hatuutakiPro Russia bwana,ikiwa ni taarifa ya kukufurahisheni mnatuletea huku mnachekelea,source hiyo hiyo ikitoa taarifa isiyokupendezeni mna jibu lenu moja huwa mnajihami nalo "western Propaganda".Sasa utajiri wote huu inakuwaje hayupo hata kwenye Top 10 ya Mataifa yenye Nguvu ki Uchumi Duniani?🙂
Hapo kwenye hashtag nakazia na mimi 😂Hahaha jamaa labda walichanganya Kiev na Kivu !!!!!!!!
#tunatakamajivu#
Ha ha ha,tena utasikia wanasema "mimi siku hizi nimeacha kuangalia habari za CNN,SKYNews " lakini ndani ya dk 10 wanatuletea "Breaking News wanazitoa huko huko au Twitter.Mimi nina kosoa Pro Russia.. habari njem ikiwa upande wa Urusi hana haja ya kubagua chanzo cha habari kama vile CNN, BBC etc. ila ikiwa habari mbaya wanakuambia ni propaganda za magharibi.
Comedian aka Underdog amewavuruga huko,wanamimina mabomu kama hawana akili nzuri lakini bado yupo.Wasije wakapanic tena wakakimbilia kubofya kidude cha Nyuklia.Kheee nyie kwani vita haijaisha tu?? Mi mpaka nimesahau maana niliambiwa masaa 24 mengi nikashangaa jpili imefika hola, nikakaa pembeni sasa hapa napitia huu uzi, bado Kiev haijabebwa?? How?? Comedian kawa mbishi au??
Uyu Jamaa ni tahira kweli soon wenzake wata mchapa shabaPutin leo kasisitiza tena kwa rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, kuwa pamoja na mazungumzo ya amani yanayoendelea, lengo lake lipo palepale nalo ni kuikontol Ukraine yooote. Ameonya kuwa bado mashambulizi yake hatari hjayafanya, yapo njiani.
View attachment 2137866
Naona umemaliza kupika umeingia JF.Ha ha ha,tena utasikia wanasema "mimi siku hizi nimeacha kuangalia habari za CNN,SKYNews " lakini ndani ya dk 10 wanatuletea "Breaking News wanazitoa huko huko au Twitter.
Kuisha kwake ni pale tu Putin atakapo kata kichwa cha nyoka.Vita vimeisha au bado!!!