ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Hv ulikuwa unaelewaga shuleni kweli?ndio defeat yenyew hio, warfare ziko za aina nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv ulikuwa unaelewaga shuleni kweli?ndio defeat yenyew hio, warfare ziko za aina nyingi
Putinjina gni zuri la kumpa mtot kati ya Putin na Zeleski
Aaah! Kirahisi hivyo. Hebu kuwa na msimamo kama ZeleyskSawa,nimeacha.
Lazima ajali uhai wa raia.Ningekuwa mimi ningeshamaliza hii vita.
anachojali ni uhai wa raia ambao zamani walikuwa warusi, na historia ya uhusiano wake yeye na raia watakaobaki, hawatamsamehe akifanya ujinga. ila hiyo ni kwasababu hanabanwa koo, akibanwa na hana namna, anaweza kufanya ujinga mkubwa sana ambao utamgarimu maisha yake yote.Lazima ajali uhai wa raia.
Yap, ndo maana wanajeshi hawagusi raia, anachofanya nikumfosi rais wa Ukraine akubali terms zake.anachojali ni uhai wa raia ambao zamani walikuwa warusi, na historia ya uhusiano wake yeye na raia watakaobaki, hawatamsamehe akifanya ujinga. ila hiyo ni kwasababu hanabanwa koo, akibanwa na hana namna, anaweza kufanya ujinga mkubwa sana ambao utamgarimu maisha yake yote.
[emoji16][emoji16][emoji16]Mimi ninahisi hii vita tayari imeshakuwa ya Dunia maana tayari humu JF wako ambao wameshaanza kutoleana Matamko Makali hata kutukanana. Kuna mmoja kamtisha mwenzake nikahisi anaweza kubonyeza kidude cha nuclear
hahaHv ulikuwa unaelewaga shuleni kweli?
raia wenye akili wakimbie sasa. shida kajamaa kamepiga marufuku wanaume kukimbia, ukitaka kiukimbia tu wanakurudisha mpakani. na ukienda njia za panya unaweza pigwa risasi na adui akifikiri labda wewe ni adui yake.
Unataka kusoma matusi?Aaah! Kirahisi hivyo. Hebu kuwa na msimamo kama Zeleysk
Anaefuata kufa ni Baba yenu Putin,tena huyu atakufa kifo kibaya sana cha kudharirika,kama siyo mimi basi watoto wangu watashuhudia Mungu akimwadhibu huyu shetani mkubwa cousin wa Rucifer