NYUNDO YA MOTO
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 5,360
- 17,002
Nafatilia since day one.. Kusema kweli sidhani kama tumepeleka jeshi au wanamgambo.Ulikuw wapi muda wote, Na chanzo chako cha habari ni kipi? Hujaona Kambi zilizoachwa na Ukraine? Pia kumbuka evacuation Imeharibu sana mipango, Wanapiga kwa kuvizia sana so kuchezea ni lazima, Nyie mkisema mkaushe watu watoke, Wenzenu wanakiwasha.
Mambo ya aibu sana haya.. Ebu ona tunavyodhalilishwaUlikuw wapi muda wote, Na chanzo chako cha habari ni kipi? Hujaona Kambi zilizoachwa na Ukraine? Pia kumbuka evacuation Imeharibu sana mipango, Wanapiga kwa kuvizia sana so kuchezea ni lazima, Nyie mkisema mkaushe watu watoke, Wenzenu wanakiwasha.
Miji ipi?Ila Warussi wenzangu tumepeleka Jeshi Ukraine au ni amateurs??
Kusema kweli tunachapika sana kule.. Leo miji miwili wameirudisha na jeshi letu limekimbia na kuacha silaha na vifaa vita huko.
One thing, Ukraine wana jeshi zuri, nadhani wana jeshi la kupambana na nchi nyingi zenye nguvu za Ulaya na kuwahenyesha vizuri kabisa. Wakati wa Soviet ikiwa na nguvu sana walikuwa wanalitegemea sana Jeshi la Ukraine kwa combat ya ardhini.
Kama Pro-Russian, surely Ukraine wanatuhenyesha..
Huu ni uuzaji sura, Russia hawana mudaa huo, Ni kuua tu, sasa kwa huo uvaaji si unaweza isi ni raia inakuwa rahisi kuwa attack but kazi inakuja.Mambo ya aibu sana haya.. Ebu ona tunavyodhalilishwa
Jamaa kadondosha Helikopta
View attachment 2140280
View attachment 2140279
Mie naweka link tu⚡️Four Ukrainian Su-27 aircraft were shot down in an air battle in the Zhytomyr region today, a Su-25 was shot down by air defense forces in the Nizhyn region, a Mi-8 helicopter of the Ukrainian Air Force and a Bayraktar TB2 drone were destroyed by air defense forces, the Russian Defense Ministry said.View attachment 2140220
hata hivyo amejitoa sana, given thefact that, Myahudi popote alipo, hata angekuwa amezaliwa hapa Tanzania, ni raia wa Israel na anazo haki zote, hadi passport si ukute anayo. kule israel wanawatambua wayahudi woote duniani kama ni raia wa israel kwasababu pale ndio makazi ya kudumu ya wayahudi. hivyo yeye kuwa Ukraine ni roho upande mmoja tu ila upande mwingine ni raia wa nchi nyingine.though baba yake alimkatazaga kwenda kusoma chuo Israel lakini as long as ni myahudi, hata nchi ile ikipukutika anapo kwa kwenda atakakopokelewa kama nyumbani. shida ni mazuzu ya ukraine ambayo hayana kwengine kwa kwenda.Anachokifanya ni upumbavu mana Raia wake ndo wanateseka ilo la kuonekana jasiri na dunia wakati Raia wake wanakufa na jeshi lake linateketea ni Upumbavu huo
Maykolaiv na Energodar kwenye plant ya nyuklia ambayo ilishambuliwa na kuwa controlled na Russia kuanzia jana
Huo muda wa kukupa hiyo elimu Sina, ila kwa silaha alizonazo Russia, USA and even China, it's very possible dunia kuangamizwa, "na kuangamizwa" nayo ni elimu, inategemea unaelewa vipi !!Hivi hilo bomu la kuangamiza dunia nzima lipoje? Mbona Dunia mnaichukulia poa kama kitenesi vile
Russia ni ya 2 usambazaji wa mafuta na ya 1 kwa gesi sasa Russia anateseka vipi wakati gesi na mafuta ni vyakesio ulaya tu, km mafuta yamepanda bei kwe soko la dunia basi hata china na marafiki wengine wa russia na wao wanaathirika,
Siyo nne tu, madege mengi leo yameangushwa including su 34, pilots kadhaa wamekamatwa baada ya ndenge zao kudunguliwa. Hapo ni javelin, NLAW na stingers tu ndo wanatumia Ukraine.⚡️Four Ukrainian Su-27 aircraft were shot down in an air battle in the Zhytomyr region today, a Su-25 was shot down by air defense forces in the Nizhyn region, a Mi-8 helicopter of the Ukrainian Air Force and a Bayraktar TB2 drone were destroyed by air defense forces, the Russian Defense Ministry said.View attachment 2140220
mbn amna nlikosema russia anateseka mkuu angalia vizuri, nmesema washirika wa urusi angalia vizuriRussia ni ya 2 usambazaji wa mafuta na ya 1 kwa gesi sasa Russia anateseka vipi wakati gesi na mafuta ni vyake
aiseeMambo ya aibu sana haya.. Ebu ona tunavyodhalilishwa
Jamaa kadondosha Helikopta
View attachment 2140280
View attachment 2140279