LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
View attachment 2140374

Sio siri siwaelewi warussia
img_1_1646453922639.jpg
watu wanaitafuna inchi
 
lak

lkn tuseme ukweli, kwa ubishi ule na kujiamini kule, angekuwa na silaha nzuri kama urusi, mrusi angekalishwa chini asubuhi kabisa. imagine nchi imepigwa vile, jamaa anaomba msaada wa ndege za kivita na vifaa ili aendelee kupigana naye. huo ujasiri ni wa hali ya juu sana. pili, urusi kama akijua, hatakiwi kabisa kumuua huyu jamaa kwasababu kwa ujasiri alioonyesha amekaa mioyoni mwa watu wengi wa dunia, akimuua tu atachukiwa na dunia nzima kwa historia ya karne nyingi zijazo. jamaa amejenga historia kubwa mno yaani.
Ujasiri au upumbavu,yeye ndio chanzo cha tatizo.Kiufupi yeye ndio tatizo,sasa aliye anza kutengeneza tatizo anakuwaje tena jasiri.

Angawaje ametenda makosa lakini angewahi,kuna uwezekano haya tunayo yaona yasingetokea.

Wapo wapi hao NATO&USA walimpa kiburi,mwisho wa siku amebaki peke take sababu kila Taifa linaogopa kuingia kwenye mgogoro na URUSI.
 
Hivi kwa mfano kwa kauli yake tu kusema kombe la dunia halitafanyika,hivi unafikiri nchi gani itapeleka timu yake Qatar?. Na umesema mmeona kiwango chake cha kupaniki ila hamjawahi kuona hasira zake. Atawaonyesha vita ni nn na mmeingia kwenye 18 zake.
Tulishajua utimamu wa akili yake upo shakani baada ya kuji isolate kwa 2 yrs kwa ajili ya Covid.
 
Nawakumbusha tu pro.NATO, magenerali wa jeshi wa Urusi wamemtaka Putin atumie nguvu kubwa ili kuimaliza Ukraine. Ikitokea Putin akakubaliana na magenerali wake pengine historian ya Ukraine inaenda kuandikwa upya. Tuendelee kufuatilia hili kwa karibu maana mpaka White house iliposikia kauli hiyo haijui Russia itatumia chemical, biological au atengeneze tetemeko kubwa la ardhi kutoka SURA Project
Hivi vitisho vyake vishazoeleka,angebofya kitufe cha Nyuklia siku ile kama kweli kadhamiria
 
hata hivyo amejitoa sana, given thefact that, Myahudi popote alipo, hata angekuwa amezaliwa hapa Tanzania, ni raia wa Israel na anazo haki zote, hadi passport si ukute anayo. kule israel wanawatambua wayahudi woote duniani kama ni raia wa israel kwasababu pale ndio makazi ya kudumu ya wayahudi. hivyo yeye kuwa Ukraine ni roho upande mmoja tu ila upande mwingine ni raia wa nchi nyingine.though baba yake alimkatazaga kwenda kusoma chuo Israel lakini as long as ni myahudi, hata nchi ile ikipukutika anapo kwa kwenda atakakopokelewa kama nyumbani. shida ni mazuzu ya ukraine ambayo hayana kwengine kwa kwenda.
Unachokisema ni kweli kabisa maana kuna msemo unasema " damu nzito kuliko maji" . Nimeona hata jinsi Israel mwanzo alikuwa hataki kuikosoa Russia kwenye huu mgogoro kwa lengo la kutokuharibu mahusiano yake na Russia na ilikuwa hataki pia kushiriki kupiga kura zile za juzi za UN General Assembly lakini akashinikizwa na West na dogo wa Ukraine alimpigia inasemekana waliongea mengi na baada ya hapo Israel ikashiriki kura za kuitosa Russia japo kwakujivuta sana.

Lakini hawa jamaa walizagaa sana nchi za Ulaya, maana kulikuwa na taarifa za Muda Mrefu zisizothibitishwa kuwa Mama yake Putin ana asili ya Uyahudi/Jewish. Na pia Waziri mkuu wa sasa wa Russia naye inasemekana ana asili hivyo. Ukiangalia tangu miaka ya nyuma Urusi imekuwa na mawaziri kadhaa wayahudi.
 
Hivi vitisho vyake vishazoeleka,angebofya kitufe cha Nyuklia siku ile kama kweli kadhamiria
ile amri ya kuweka tayari kikosi cha nuclear putin aliteleza maana imefny wengi wafikirie utimamu wa mind yake, why atishie nukes? naona kina lavrov na shoigu wakawa wanahangaika na damage controll
 
yeah but point yangu walishafanya hizo projects, moja ilifail na nyingine imekwama mda huu, halafu kauli hii inafanana na ile baada ya kufungiwa FIFA na UEFA wakasema watadevelop their own international sports events, ni kama wanavyosema wataacha kutumiua dollar na euro(ni karibu miaka 20 sasa tangu waanze kusema hivyo), ndio maana nawaza je kuna uhalisia au wanasema tu kwa kuwa wamewekewa vikwazo, ni oponion tu lkn.
hayo masuala hatakama kweli wanania nayo nakama wanataka kuyafanya basi sio marahisi wala mepesi kama unavyodhania MKUU
hayo mambo yanaweza kuchukua hata miaka 50 nazaidi natena yanaweza kuchukua ama kuondoka hata na roho za watu ndio yafanikishe
 
Tunakubaliana dose ya vikwazo imekuwa kubwa sana kwa Russia siyo? Na FIFA wakimkatalia atawafanyaje? Atakwenda kudondosha mabomu Qatar ili mashindano yasiwepo? Kadri anavyozidi kuongea mno ndiyo wanaongeza dose maana wameshaona kiwango chake cha kupanic.
Acheni kumlisha maneno mzee wa watu hakuna sehemu alisha sema hayo maneno .
Nadhani watu wanatumia maneno kama hayo kama utani na kumdhihaki lakini hakuna sehemu alipo sema hivyo.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa ana akili fupi za kicomedy anaongelea kuhusu udhaifu na kukosa kujiamini?

Sometimes ni bora kutulia kuliko kujitia kujiamini alafu maamuzi ya mtu mmoja au kikundi cha watu kuangamiza maisha ya wasio na hatia na kuhatarisha amani na usalama wa dunia nzima.
Kama upuuzi aliofanya yeye.

Russia au Putin sio mtu pekee mwenye Weapons of mass destruction lakini yeye pekee ndio mwenye "will" ya kuweza kuzitumia.
NATO na USA sio wajinga kama yeye ndio maana hawatomsikiliza sababu wanajua kitakachotokea.

Ikitokea Nuclear War basi hakuna atakayepona dunia nzima hata sisi huku afrika tutaathirika na radiation inaweza kufanya dunia iwe uninhabitable kwa miaka 1000 ijayo, na mostly atmosphere itaharibika vibaya kutokana na hiyo holocaust.
Hapa watu wanaona mwisho wa dunia huyu jamaa bado analeta comedy kwenye mambo serious.

Na kwanini watu wanampa nchi comedian wakati wanajua kabisa ili uwe comedian ni lazima usiwe serious na akili zikuruke.
Ona alivyoiponza nchi yake kwa ujinga wake.
Hii ni best comment ever so far worth more than billion dollars thank you
 
Back
Top Bottom