LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
rais mwelevu,angekubali baadae wangeenda mezani ,huenda angebaki na urais wake na nchi take kubaki salama,kwanza angekuwa amejifunzq ndugu yake wa kweli na anayemjali ni RUSSIA ,kitendo Cha NATO kumzilia mziki wa Putin ni kutaka wewe uchapike kwa maslahi yao binafsi.
Mtu anakuvamia nchini kwako anarusha mabomu na kuuwa raia wako halafu eti mkae mezani muyazungumze!
Aisee we jamaa hufai hata kuwa kiongozi wa kata kwa akili hizi za kitumwa
 
Zelenskyy: Russia headed toward 3rd nuke plant

Russian forces have now seized two Ukrainian nuclear power plants and are advancing toward a third, Ukraine's president said during a call with U.S. senators Saturday.

Volodymyr Zelenskyy said the third plant currently under threat is the Yuzhnoukrainsk nuclear power plant, located 120 kilometers (75 miles) north of Mykolaiv, one of several cities the Russians were trying to keep encircled Saturday.
 
Mtu anakuvamia nchini kwako anarusha mabomu na kuuwa raia wako halafu eti mkae mezani muyazungumze!
Aisee we jamaa hufai hata kuwa kiongozi wa kata kwa akili hizi za kitumwa
na ningekuwa kiongozi n8singekuwa mjinga wa akili Kama zelensky,ambaye NATO walimuona fuvu lake halina ubongo,wakalikoki na kulipampu kuwa wataingilia Kati kumpiga mrusi ,Leo hii wako wapi.sasa si bola ukubali kuufyata mkia uokoe raia wako,ujipange upya ,siku ukiona una nguvu za kutosha wewe mwenyewe ndo ulianzishe! Tatizo hapa naongea na raia ,hujui kuwa kukimbia uwanja wa Vita au kusarrender ni moja Kati ya mbinu za kivita !?
 
na ningekuwa kiongozi n8singekuwa mjinga wa akili Kama zelensky,ambaye NATO walimuona fuvu lake halina ubongo,wakalikoki na kulipampu kuwa wataingilia Kati kumpiga mrusi ,Leo hii wako wapi.sasa si bola ukubali kuufyata mkia uokoe raia wako,ujipange upya ,siku ukiona una nguvu za kutosha wewe mwenyewe ndo ulianzishe! Tatizo hapa naongea na raia ,hujui kuwa kukimbia uwanja wa Vita au kusarrender ni moja Kati ya mbinu za kivita !?
Ingekua hivyo basi na sisi tungesurrender kipindi kile Iddi Amin dada amevamia na kumega kule eneo la kagera
 
Ingekua hivyo basi na sisi tungesurrender kipindi kile Iddi Amin dada amevamia na kumega kule eneo la kagera
sisi uwezo binafsi ulikuwepo,lakini pia hata kwenye ile Vita Kuna kipindi wanajeshi wetu walirudi nyuma ,amini akaanza kujitapa Sasa tutampiga nyerere Hadi dar es Salam,kumbe watu walirudi nyuma kuuaoma mchezo na kuja na mbinu mpya.kwenye medani za kivita sio kukomaa hata Kama unajijua umezidiwa !! Kama zelensky Ange kubali kuomba poo,ajipange upya,kuliko kukomaa na akashindwa na kuipogeza serikali yake mazima,hapo mrusi atampiga na kumfurusha nje mazima,halafu mrusi ataweka serikali nyingine ya Ukraine ,ambayo Sasa itakuwa Kama koloni kwa mrusi !
 
sisi uwezo binafsi ulikuwepo,lakini pia hata kwenye ile Vita Kuna kipindi wanajeshi wetu walirudi nyuma ,amini akaanza kujitapa Sasa tutampiga nyerere Hadi dar es Salam,kumbe watu walirudi nyuma kuuaoma mchezo na kuja na mbinu mpya.kwenye medani za kivita sio kukomaa hata Kama unajijua umezidiwa !! Kama zelensky Ange kubali kuomba poo,ajipange upya,kuliko kukomaa na akashindwa na kuipogeza serikali yake mazima,hapo mrusi atampiga na kumfurusha nje mazima,halafu mrusi ataweka serikali nyingine ya Ukraine ,ambayo Sasa itakuwa Kama koloni kwa mrusi !
Target ya Putin ni kupindua Serikali ya Ukraine ili aweke kibaraka wake.
So hata kama Zelensky ange compromise na kutaka mazungumzo isingewezekana.
 
Target ya Putin ni kupindua Serikali ya Ukraine ili aweke kibaraka wake.
So hata kama Zelensky ange compromise na kutaka mazungumzo isingewezekana.
ilikuwa simple,angekubali offer ya Putin yenye masharti asiwe member wa NATO,Putin angekaa zake kwake na jamaa angeendelea kujinoa na kujipanga upya!

hata hivyo Putin kapigana vitanyingi kwa zaidi yamiaka 40,so anauzoefu na Vita na siasa ,Putin hajaweka Yale masharti kwa kubahatisha ,aliyemlenga pale ni mmalekani na NATO,na Putin hakutaka kumpiga Ukraine ,Bali alitaka kuwachapa NATO na mmalekani ,sema Putin akili kubwa na mmalekani ni akili kubwa pia.Hujiulizi kwa nn NATO kaufyata!?,kimsingi utaona Kama NATO kaufyata Ila ana plan B dhidi ya Putin .huyo zelensky ametumika tu Kama chambo kwa umbumbumbu wake wa akili!!
 
The IMF said the effects of sanctions on Russia would also spill into other countries.

Monetary authorities throughout the world will have to carefully monitor rising prices in their nations, it added, and policies should be implemented to protect economically vulnerable households.
 
Mabibi na Mabwana sasa tupo kwenye siku za mwisho mwisho za vita hii ya Ukraine baada ya Putin kuahidi kuimaliza serikali ya Ukraine haraka iwezekanavyo.
North Korea imetuma mtoto wa Satan 2 na kutua jirani na Marekani. Utestiji huo umekuja baada ya juzi North Korea kutuma jiran na south Korea na Marekani wakawa wanachunguza ukubwa,kipenyo,mduara pembe tatu,mstatiri na upana wa missile hiyo, Kim amewatumia video maafisa wa Marekani na kuwaambia South Korea ni mbali sana hivyo la kwenu hilo mlifanyie uchunguzi huko huko.Mpaka sasa maafisa wa Marekani hawajatoa tamko lolote kuhusiana na uchokozi wa Kiduku kwa Marekani. Nyamizi Sikirimimimasikini DeepPond
 
Zelenskyy: Russia headed toward 3rd nuke plant

Russian forces have now seized two Ukrainian nuclear power plants and are advancing toward a third, Ukraine's president said during a call with U.S. senators Saturday.

Volodymyr Zelenskyy said the third plant currently under threat is the Yuzhnoukrainsk nuclear power plant, located 120 kilometers (75 miles) north of Mykolaiv, one of several cities the Russians were trying to keep encircled Saturday.
Mi natupia link tu

 
Ilikuwa tushuhudie movie kali sana ya masaa kadhaa. Sasa naona imegeuka tamthilia.
Tumegeukia kupata endless motivational speeches kutoka kwa Wakubwa wa Russia kupitia TBC yao (RT),hatuna namna acha tuendelee kusoma hizo speeches.Hakuna movie tena Mkuu hapa,watu wanatafuta exit plan ya kiutu uzima baada ya mambo kuwa si mambo.
 
mwanasiasa mtu mbaya sana, putin anatangaza casualities then anaunganisha na kutangaza kiasi watacholipwa ndugu za marehemu but to them it's not about money but their loved ones, ukiacha national interests kuna personal ambitions kwa viongoz hawa wawili kila mmoja amekwenda too far but ndo hvyo tena kazi acha iendelee
Mkuu yoyote anayejiunga na jeshi maana yake yupo tayari kufa kwa ajili ya chochote atakachoambiwa na Boss wake au sio?.
Huyo MTU pamoja na familia take,wote wanajua risk zilizopo.
 
Baada ya Russia kukutana na "stiff resistance Ukraine na kupata hasara kubwa,vifo vya wanajeshi na vifaa kuharibiwa
FB_IMG_1646539789097.jpg
'',wakaamua kumuua raisi wa Ukraine.Either Ukraine inayointelijensia Kali au baadhi ya majasusi wa Russia pamoja na WA NATO wanaisaidia Ukraine!
 
Hana hzo silaha ni mkwara tuu , helicopter zake zinaendelea kupukutika kama ukoma , huwez kuua vijana wako vitani wakat unashort curt ya kufinish the war,

View attachment 2140423
Nimeona sehemu Ukraine wamewakamata ma Pilot karibu 10 waliokuwa wanarusha SU-34 na kuondoa sintofahamu ya kuitwa propaganda,kila anayekamatwa kuna clip anahojiwa na ukislide picha ya pili unamkuta huyo huyo Pilot akiwa kapiga picha na Rais Assad nadhani watakuwa wakati huo wakiwa kwa mission yao ile ya Syria.Pro Russia kwa hiyo post wamekuwa wapolee,hakuna anayebisha tena.Nikajisemea kumbe mambo ni magumu pande zote mbili na si kama tunavyoletewa hapa clip za upande mmoja za RT.
 
Back
Top Bottom