ilikuwa simple,angekubali offer ya Putin yenye masharti asiwe member wa NATO,Putin angekaa zake kwake na jamaa angeendelea kujinoa na kujipanga upya!
hata hivyo Putin kapigana vitanyingi kwa zaidi yamiaka 40,so anauzoefu na Vita na siasa ,Putin hajaweka Yale masharti kwa kubahatisha ,aliyemlenga pale ni mmalekani na NATO,na Putin hakutaka kumpiga Ukraine ,Bali alitaka kuwachapa NATO na mmalekani ,sema Putin akili kubwa na mmalekani ni akili kubwa pia.Hujiulizi kwa nn NATO kaufyata!?,kimsingi utaona Kama NATO kaufyata Ila ana plan B dhidi ya Putin .huyo zelensky ametumika tu Kama chambo kwa umbumbumbu wake wa akili!!