LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Yaani we upo Kingolwira unachambua nidhamu ya Jeshi Russia ambalo ni Jeshi kubwa duniani lenye historia kubwa.. hauwezi kufananisha na Jeshi lenu la Wakurya wanaofuga mabata
Hahahaha...unakuta MTU hamjui hata chief of staff wa jeshi la nchi yake lakini anakakamuka kuelezea jeshi la Urusi utadhani jeshi la Urusi ni kama jeshi la akiba la ngorongoro kweli bongo sihami
 
Urusi hana sare za angani wala oxygen masks!?? Daah mzee hapa sasa unapitiliza. Sasa si ni bora TPDF mzee kama ni hivyo. Uchambuzi umejaa kamba za kushato. Urusi hana training nzuri, hana mawasiliano mazuri, hana...
Daah umeichukulia Russia Armed forces kama mgambo wa janjaweed.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Utulie ukiwa unasoma comment. Hapo nimelinganisha Russia vs NATO kwenye training, TPDF imejiunga NATO lini?

Hizo gas mask za marubani unadhani kila rubani huwa anavaa, hata pale US kuna marubani kama wa A-10 Warthog hawalazimiki kuvaa hizo maana ndege zao ni ground attack. Nimesema marubani wa Russia hawatumii gas masks wakiwa na ndege ambazo sio hasa dedicated kwa low flying, mtu ana Sukhoi Flanker family anafly low bypass kisa angani juu ambako alitakiwa apite amevaa oxygen mask kuna coverage ya S-300 na systems nyingine za Ukraine. Ambacho hujaelewa ni nini hapo
 
Naomba kuuliza hapa coca wanakataa Fanya biashara urusi je ikitokea urusi akaanzisha kampuni ya soda yenye radha sawa na coca na akaiita jina la coca atakuwa kafanya kosa
Atafunguliwa mashtaka na atalipishwa fine kubwa sana mzee coca cola wanaTrade mark right ya bidhaa zao mzee
 
Watakuja kukubishia kwa kuandika sentensi moja yenye emoji za kuchekacheka waishie hapo. Hawawezi toa facts kupinga unalosema, hawatozungumzia hizo rations, actually zile ni MRE {meals ready to eat}. Rations huwa wanapewa raia kwamba nchi iko vitani hivyo maghala yataishiwa, au fedha za kuagiza nje hamna, au supplies ni ngumu, n.k hivyo raia kula hivi na hivi.

Hawatosema suala la kuishiwa mafuta. Tumesema sana humu logistics ya Russia ilivyo mbovu kwenye vita hii. Yani wanajeshi frontline wanalazimika kutelekeza silaha kisa zimeishiwa mafuta, wakati huo kuna ambush zinawasubiri mbele na air cover hawana.

Mpaka sasa nasubiri mtu anirudishie imani kwamba Russia ana uwezo mkubwa kwa sababu hizi aziorodheshe, hawapo. Watakuja hapa waseme kwani kati ya Ukraine na Russia nani anapigwa kwao? Utadhani Ukraine nalo jeshi la maana humu duniani
Sasa mbona Ukraine hawashindi vita? Mbona rais wao analialia kila muda? Kwanini wasirudishe majeshi ya urusi nchini kwao? Huu uongo mnamdanganya nani? Wananchi wanateseka na kua wakimbizi nyinyi mnaongopa mitandaoni
 
Hawa jamaa hawana hoja akili zao ni kama zile za wafuasi wa ZUMARIDI uwezo wao wa kufikiria ni.mdogo sana Putin kawapeleka chaka mno

Imebaki sasa wanatupigia ngonjera tu haman lolote la maana wanaloweza kulosema

Pale Russia hamna jeshi imagine jeshi linaishiwa mpaka (rational) , jeshi linasbaziwa mpaka rationa iliyooza na kuexpire zaidi ya miaka saba uko nyuma aisee Russia ni jeshi la ovyo mno jeshi linaishiwa mafuta jeshi halina nidhamu, jeshi liko disorganized mpaka wanatekwa ovyo ovyo kama kuku waliokatwa vichwa bhana Russia hawana jeshi ila ilikuwa ni mikwara Mbuzi sasa wameyakanyaga ile ile
Unakaza shingo kama Zelensk itavunjwa kibabe
 
Wabongo ukipelekwa sehemu hata ukikaa wiki utajifanya kila kitu unajakijua
kuliko wazawa wa hiyo sehemu acha ujuaji na kulisha watu matango pori unajichoresha tu
Kachanginyikiwa huyo baada ya marekani kushindwa kumpa ushirikiano wa kupigana na Urusi. Ukweli utabaki uleule 'NATO ni dhaifu na waoga sana' sio maneno yangu ni ya Rais wa Ukraine na ukweli mwingine mchungu zaidi Russia ametumia asilimia 10 ya uwezo wake wa kijeshi na kafanikiwa kuikalisha nchi ya 3 kwa ubora wa jeshi ulaya
 
Uko sahihi Urusi akilazimisha kuweka kibaraka wake Ukraine itakuwa machafuko matupu na nchi isiyotawalika. Watu wa Ukraine wamejulikana kama watu wabishi na wa mapambano karne zote, hawatakubali kuwa watumwa wa Urusi bila kupambana kufa na kupona kwa miaka mingi.
Kibaya zaidi wengi wanapewa silaha
 
Sasa mbona Ukraine hawashindi vita? Mbona rais wao analialia kila muda? Kwanini wasirudishe majeshi ya urusi nchini kwao? Huu uongo mnamdanganya nani? Wananchi wanateseka na kua wakimbizi nyinyi mnaongopa mitandaoni
Ukilinganisha Zongtong dhidi ya daladala utaona daladala hamna kitu na utaona Zongtong ndio lenyewe. Mlinganyo uwe Zongtong vs Marcopolo

Ukraine sio jeshi la kulinganisha na Urusi, hii Urusi ina performance mbaya mno ukiileta NATO on battleground hapo Warusi wanapukutika
 
Umesoma comment yangu ukaielewa vizuri au umeamua tu kupuyanga,unajua maana ya neno "kama ni kweli".Huwa nacheka sana mtu anapojifanya mjuaji kukosoa wakati kumbe hata anachokikosoa chenyewe hakukielewa.Haya rudi tena kwa comment yangu,kasome tena na tena mpaka ulipate neno "kama ni kweli" halafu urudi hapa tuendelee na malumbano kama unayahitaji.
Ndio maana nilikueleza mwanzo kuwa nilidhani unafatilia habari hizi kwa kina.unapotumia neno "kama ni kweli" maana yake ni kuwa hufatilii hii habari ya Russia na Ukraine-na huna uhakika kama Kiongozi yoyote wa Urusi ametamka maneno hayo.

By the way,maneno kuwa kama Russia haipo World cup kwamba hakutakuwa na mashindano hayo-ni propaganda zilizoenezwa na pro-western.
 
Utulie ukiwa unasoma comment. Hapo nimelinganisha Russia vs NATO kwenye training, TPDF imejiunga NATO lini?

Hizo gas mask za marubani unadhani kila rubani huwa anavaa, hata pale US kuna marubani kama wa A-10 Warthog hawalazimiki kuvaa hizo maana ndege zao ni ground attack. Nimesema marubani wa Russia hawatumii gas masks wakiwa na ndege ambazo sio hasa dedicated kwa low flying, mtu ana Sukhoi Flanker family anafly low bypass kisa angani juu ambako alitakiwa apite amevaa oxygen mask kuna coverage ya S-300 na systems nyingine za Ukraine. Ambacho hujaelewa ni nini hapo
Wewe ndio utulie ukiwa unasoma reply. Wapi nimesema tpdf amejiunga na NATO!?

Kama marubani wa Urusi hawavai hizo gas masks kwa sababu kama ulizozitaja hapo je!? Na kwanza una ushahidi gani kuhusi hizo tuhuma zako!? Picha/video moja au mbili kutoka mtandaoni ambzo huna uhakika hata kama ni za uhakika ndio unazozitumia kutoa conclusion ulizotoa hapo kwenye hiyo comment yako hapo!?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hawa pro Russia ni mambumbu wa ajabu sana yaani wanaongea ongea ujinga tu kama vile kitmoto aliyekatwa kichwa,


Kila siku mamia ya askari wa kirusi wanauwawa mamia wanakamatwa mateka mavifaru ya kirusi yanalipuliwa kila sikua , magari vita ya kirusi yanalipuliwa kila siku , helcopter shambulizi za kivita kila kukicha zinadunguliwa izo jet fighter ndo usiseme alafu anatoa mrusi mmoja wa mchamba wima uko ama samvu la chole anakwambia eti Russia ana siraha za hatari na hataki kuzitumia yaani as if anaongea na watoto wadogo

Mpaka muda huu leo jumapili vita ikisitishwa mshindi nia Ukrain hii ni kwa mwenendo wa vita na hasara iliyopatikana mpaka sasa kati ya hizi nchi mbili alafu kitu ambacho byie warusi uchwara hamkicahamu ni kwamba vita itakaposimamishwa Ukrain itageuka na kuwa jeshi imara na lenyw siraha za kisasa kutokana na ukweli kwamba Jeshi la Ukrain limeteka siraha nyingi za za kisasa na sophiscated kweli kweli


Yaani katika hii vita atakaye faidika kijeahi ni Ukrain na nyie warusi wa kongwa mkae mkijua kuwa siraha zenu zinazotekwa kila siku ndo zinatumika kuwachapa kweli kweli sasa ivi, na mjue kabisa kuwa mnaliimarisha kweli kweli jeshi la Ukrain,

kutokana na siraha zenu zinazotelekezwa na askri wenu dhaifu na wenye njaa kali kupitiliza yaani sijawahi kuona jeshi dhaifu kama la Russia

Yaani askari kamili mwenye mafunzo timilifu kabisa anapigwa ambush ama face to face battle akiwa na BM sophscated rocket launcher eti anakimbia na kutelekeza mtambo imagine ubora wa iyo siraha mzee

Sitaki porojo zenu tena mkija apa njoeni fact na nionyesheni mji ama kitu chocjote cha maana mnachokishikila mpaka sasa pale Ukrain, kifupi jeshi lenu nyie warusi wa Songwe ni dhaifu kupitilia wazee hamna jeshi ni mikwara na majigambo ya kike meeeeeengi alafu vitendo ziro
Umemaliza kila kitu mkuuuu yani hauja bakisha kituu
 
Ukilinganisha Zongtong dhidi ya daladala utaona daladala hamna kitu na utaona Zongtong ndio lenyewe. Mlinganyo uwe Zongtong vs Marcopolo

Ukraine sio jeshi la kulinganisha na Urusi, hii Urusi ina performance mbaya mno ukiileta NATO on battleground hapo Warusi wanapukutika
NATO hawahawa waliojificha nyuma ya kichaka cha propaganda tu? NATO wamepewa room ya kupimishana uwezo na Urusi hata kwa masaa 24 waone shughuli ilivyo tamu.

Hapo ndio silaha za kisasa za kibailojia, kikemikali na nuclear zitaonekana na ukitaka kujua Russia ana hamu nayo hivyo NATO iingize pua na ku-declare vita . kuna article nimesoma inasema Bomu la nuclear la Urusi limewekwa silaha za kikemikali na kibailojia hatari sana pamoja hivyo kufanya silaha kutisha sana
 
NATO hawahawa waliojificha nyuma ya kichaka cha propaganda tu? NATO wamepewa room ya kupimishana uwezo na Urusi hata kwa masaa 24 waone shughuli ilivyo tamu.

Hapo ndio silaha za kisasa za kibailojia, kikemikali na nuclear zitaonekana na ukitaka kujua Russia ana hamu nayo hivyo NATO iingize pua na ku-declare vita . kuna article nimesoma inasema Bomu la nuclear la Urusi limewekwa silaha za kikemikali na kibailojia hatari sana pamoja hivyo kufanya silaha kutisha sana
Sina muda wa kubishana na mtu anayesema "NATO wamepewa room ya kupimishana uwezo..." vita unadhani ni ugali kwamba mnachemsha maji na kutia unga. Unatakiwa ujue NATO ni nini, wanachama ni wapi na ina kazi gani, sio hata wewe hapa leo uvamiwe na Msumbiji uwaite NATO.
 
Back
Top Bottom