Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Hahahaha...unakuta MTU hamjui hata chief of staff wa jeshi la nchi yake lakini anakakamuka kuelezea jeshi la Urusi utadhani jeshi la Urusi ni kama jeshi la akiba la ngorongoro kweli bongo sihamiYaani we upo Kingolwira unachambua nidhamu ya Jeshi Russia ambalo ni Jeshi kubwa duniani lenye historia kubwa.. hauwezi kufananisha na Jeshi lenu la Wakurya wanaofuga mabata
Utulie ukiwa unasoma comment. Hapo nimelinganisha Russia vs NATO kwenye training, TPDF imejiunga NATO lini?Urusi hana sare za angani wala oxygen masks!?? Daah mzee hapa sasa unapitiliza. Sasa si ni bora TPDF mzee kama ni hivyo. Uchambuzi umejaa kamba za kushato. Urusi hana training nzuri, hana mawasiliano mazuri, hana...
Daah umeichukulia Russia Armed forces kama mgambo wa janjaweed.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Atafunguliwa mashtaka na atalipishwa fine kubwa sana mzee coca cola wanaTrade mark right ya bidhaa zao mzeeNaomba kuuliza hapa coca wanakataa Fanya biashara urusi je ikitokea urusi akaanzisha kampuni ya soda yenye radha sawa na coca na akaiita jina la coca atakuwa kafanya kosa
Sasa mbona Ukraine hawashindi vita? Mbona rais wao analialia kila muda? Kwanini wasirudishe majeshi ya urusi nchini kwao? Huu uongo mnamdanganya nani? Wananchi wanateseka na kua wakimbizi nyinyi mnaongopa mitandaoniWatakuja kukubishia kwa kuandika sentensi moja yenye emoji za kuchekacheka waishie hapo. Hawawezi toa facts kupinga unalosema, hawatozungumzia hizo rations, actually zile ni MRE {meals ready to eat}. Rations huwa wanapewa raia kwamba nchi iko vitani hivyo maghala yataishiwa, au fedha za kuagiza nje hamna, au supplies ni ngumu, n.k hivyo raia kula hivi na hivi.
Hawatosema suala la kuishiwa mafuta. Tumesema sana humu logistics ya Russia ilivyo mbovu kwenye vita hii. Yani wanajeshi frontline wanalazimika kutelekeza silaha kisa zimeishiwa mafuta, wakati huo kuna ambush zinawasubiri mbele na air cover hawana.
Mpaka sasa nasubiri mtu anirudishie imani kwamba Russia ana uwezo mkubwa kwa sababu hizi aziorodheshe, hawapo. Watakuja hapa waseme kwani kati ya Ukraine na Russia nani anapigwa kwao? Utadhani Ukraine nalo jeshi la maana humu duniani
Unakaza shingo kama Zelensk itavunjwa kibabeHawa jamaa hawana hoja akili zao ni kama zile za wafuasi wa ZUMARIDI uwezo wao wa kufikiria ni.mdogo sana Putin kawapeleka chaka mno
Imebaki sasa wanatupigia ngonjera tu haman lolote la maana wanaloweza kulosema
Pale Russia hamna jeshi imagine jeshi linaishiwa mpaka (rational) , jeshi linasbaziwa mpaka rationa iliyooza na kuexpire zaidi ya miaka saba uko nyuma aisee Russia ni jeshi la ovyo mno jeshi linaishiwa mafuta jeshi halina nidhamu, jeshi liko disorganized mpaka wanatekwa ovyo ovyo kama kuku waliokatwa vichwa bhana Russia hawana jeshi ila ilikuwa ni mikwara Mbuzi sasa wameyakanyaga ile ile
Kachanginyikiwa huyo baada ya marekani kushindwa kumpa ushirikiano wa kupigana na Urusi. Ukweli utabaki uleule 'NATO ni dhaifu na waoga sana' sio maneno yangu ni ya Rais wa Ukraine na ukweli mwingine mchungu zaidi Russia ametumia asilimia 10 ya uwezo wake wa kijeshi na kafanikiwa kuikalisha nchi ya 3 kwa ubora wa jeshi ulayaWabongo ukipelekwa sehemu hata ukikaa wiki utajifanya kila kitu unajakijua
kuliko wazawa wa hiyo sehemu acha ujuaji na kulisha watu matango pori unajichoresha tu
Imegeuzwa dampoHii ilikuwa kambi ya kukarabati silaha za ukraine huko zhtomyv hivi ndivyo ilivyofanywa na warusiView attachment 2141067View attachment 2141069View attachment 2141068
Hapana aisee..
Kibaya zaidi wengi wanapewa silahaUko sahihi Urusi akilazimisha kuweka kibaraka wake Ukraine itakuwa machafuko matupu na nchi isiyotawalika. Watu wa Ukraine wamejulikana kama watu wabishi na wa mapambano karne zote, hawatakubali kuwa watumwa wa Urusi bila kupambana kufa na kupona kwa miaka mingi.
Ukilinganisha Zongtong dhidi ya daladala utaona daladala hamna kitu na utaona Zongtong ndio lenyewe. Mlinganyo uwe Zongtong vs MarcopoloSasa mbona Ukraine hawashindi vita? Mbona rais wao analialia kila muda? Kwanini wasirudishe majeshi ya urusi nchini kwao? Huu uongo mnamdanganya nani? Wananchi wanateseka na kua wakimbizi nyinyi mnaongopa mitandaoni
Ndio maana nilikueleza mwanzo kuwa nilidhani unafatilia habari hizi kwa kina.unapotumia neno "kama ni kweli" maana yake ni kuwa hufatilii hii habari ya Russia na Ukraine-na huna uhakika kama Kiongozi yoyote wa Urusi ametamka maneno hayo.Umesoma comment yangu ukaielewa vizuri au umeamua tu kupuyanga,unajua maana ya neno "kama ni kweli".Huwa nacheka sana mtu anapojifanya mjuaji kukosoa wakati kumbe hata anachokikosoa chenyewe hakukielewa.Haya rudi tena kwa comment yangu,kasome tena na tena mpaka ulipate neno "kama ni kweli" halafu urudi hapa tuendelee na malumbano kama unayahitaji.
Wewe ndio utulie ukiwa unasoma reply. Wapi nimesema tpdf amejiunga na NATO!?Utulie ukiwa unasoma comment. Hapo nimelinganisha Russia vs NATO kwenye training, TPDF imejiunga NATO lini?
Hizo gas mask za marubani unadhani kila rubani huwa anavaa, hata pale US kuna marubani kama wa A-10 Warthog hawalazimiki kuvaa hizo maana ndege zao ni ground attack. Nimesema marubani wa Russia hawatumii gas masks wakiwa na ndege ambazo sio hasa dedicated kwa low flying, mtu ana Sukhoi Flanker family anafly low bypass kisa angani juu ambako alitakiwa apite amevaa oxygen mask kuna coverage ya S-300 na systems nyingine za Ukraine. Ambacho hujaelewa ni nini hapo
Mji upi aliochukua weka apa jina na source yake alafu isiwe ile ya RtIvi unaandikia haya kwa kiungo gani kutafakari we unaona kabisa mwanaume Russia anazidi kuchukua miji afu unasema anae umia ni Russia jaribu kutumia ubongo kutafakari hivyo viungo vingine viache vitulie
Wewe mtaani kwako unalazwa saa ngapi na mashoga??Rekebisha kiswahili chako cha Kikurya SIRAHA NDIO NINI ANDIKA SILAHA tatizo unajifanya mchambuzi wa vita wakati mtaani kwenu mnalazwa saa 2 na vibaka.
Umemaliza kila kitu mkuuuu yani hauja bakisha kituuHawa pro Russia ni mambumbu wa ajabu sana yaani wanaongea ongea ujinga tu kama vile kitmoto aliyekatwa kichwa,
Kila siku mamia ya askari wa kirusi wanauwawa mamia wanakamatwa mateka mavifaru ya kirusi yanalipuliwa kila sikua , magari vita ya kirusi yanalipuliwa kila siku , helcopter shambulizi za kivita kila kukicha zinadunguliwa izo jet fighter ndo usiseme alafu anatoa mrusi mmoja wa mchamba wima uko ama samvu la chole anakwambia eti Russia ana siraha za hatari na hataki kuzitumia yaani as if anaongea na watoto wadogo
Mpaka muda huu leo jumapili vita ikisitishwa mshindi nia Ukrain hii ni kwa mwenendo wa vita na hasara iliyopatikana mpaka sasa kati ya hizi nchi mbili alafu kitu ambacho byie warusi uchwara hamkicahamu ni kwamba vita itakaposimamishwa Ukrain itageuka na kuwa jeshi imara na lenyw siraha za kisasa kutokana na ukweli kwamba Jeshi la Ukrain limeteka siraha nyingi za za kisasa na sophiscated kweli kweli
Yaani katika hii vita atakaye faidika kijeahi ni Ukrain na nyie warusi wa kongwa mkae mkijua kuwa siraha zenu zinazotekwa kila siku ndo zinatumika kuwachapa kweli kweli sasa ivi, na mjue kabisa kuwa mnaliimarisha kweli kweli jeshi la Ukrain,
kutokana na siraha zenu zinazotelekezwa na askri wenu dhaifu na wenye njaa kali kupitiliza yaani sijawahi kuona jeshi dhaifu kama la Russia
Yaani askari kamili mwenye mafunzo timilifu kabisa anapigwa ambush ama face to face battle akiwa na BM sophscated rocket launcher eti anakimbia na kutelekeza mtambo imagine ubora wa iyo siraha mzee
Sitaki porojo zenu tena mkija apa njoeni fact na nionyesheni mji ama kitu chocjote cha maana mnachokishikila mpaka sasa pale Ukrain, kifupi jeshi lenu nyie warusi wa Songwe ni dhaifu kupitilia wazee hamna jeshi ni mikwara na majigambo ya kike meeeeeengi alafu vitendo ziro
Ni jeshi kubwa katika dunia ipi hii tuliomo sisi ama iyo ya kwenu ambayo bwana Puti kawaweka wajinga wenzieYaani we upo Kingolwira unachambua nidhamu ya Jeshi Russia ambalo ni Jeshi kubwa duniani lenye historia kubwa.. hauwezi kufananisha na Jeshi lenu la Wakurya wanaofuga mabata
NATO hawahawa waliojificha nyuma ya kichaka cha propaganda tu? NATO wamepewa room ya kupimishana uwezo na Urusi hata kwa masaa 24 waone shughuli ilivyo tamu.Ukilinganisha Zongtong dhidi ya daladala utaona daladala hamna kitu na utaona Zongtong ndio lenyewe. Mlinganyo uwe Zongtong vs Marcopolo
Ukraine sio jeshi la kulinganisha na Urusi, hii Urusi ina performance mbaya mno ukiileta NATO on battleground hapo Warusi wanapukutika
Onyesheni ule ubabe wenu ambao mmekuwa mkituhubiria kwa miaka mingi apa jamviniUnakaza shingo kama Zelensk itavunjwa kibabe
Ni "rijali" haya endelea kunywa gahawaJukwa la chit chat linakufaa hapa nikama unaforce be careful hapa tumekaa malijari ooh
Sina muda wa kubishana na mtu anayesema "NATO wamepewa room ya kupimishana uwezo..." vita unadhani ni ugali kwamba mnachemsha maji na kutia unga. Unatakiwa ujue NATO ni nini, wanachama ni wapi na ina kazi gani, sio hata wewe hapa leo uvamiwe na Msumbiji uwaite NATO.NATO hawahawa waliojificha nyuma ya kichaka cha propaganda tu? NATO wamepewa room ya kupimishana uwezo na Urusi hata kwa masaa 24 waone shughuli ilivyo tamu.
Hapo ndio silaha za kisasa za kibailojia, kikemikali na nuclear zitaonekana na ukitaka kujua Russia ana hamu nayo hivyo NATO iingize pua na ku-declare vita . kuna article nimesoma inasema Bomu la nuclear la Urusi limewekwa silaha za kikemikali na kibailojia hatari sana pamoja hivyo kufanya silaha kutisha sana