LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Jacob Zuma kaiasa Ukraine iache kujipendekeza kwa NATO, badala yake iweke maslahi ya raia wake mbele zaidi

=====

“”We call on President Zelensky to put the interests of the Ukrainians first, instead of pandering to his western allies at the expense of innocent lives.”


 

Bado ngano na wanavopenda kula ma burgers na pizza wataisoma namba
 
Mtoa post unaonaje huu muda ULIOTUMIA kupost huu ujinga wako ungekuwa unasoma namna ya kutafuta pesa kwa kutumia fursa zilizopo mtaani kwako badilika acha ujinga soma usiwe mtu wa akili za 0.0 yaani zero brain
 
kutegemeana hakutaka kuishe katika haya maisha nandio maana US anaweza akawa anazalisha kila kitu lakini bado anaagiz toka njea
 
zuma anajitambua sana
 
Inaumiza sana ila hakuna haja ya kuangalia kwa muda mrefu ikiwa una machozi ya karibu au hisia za aina yoyote.

Soma makala maelezo haya na hapo chini ili kujua kilichotokea na jinsi kinavyothibitisha ubaya wa vita, si katika usalama bali kwenye eneo husika, vitani hakuna jirani.

Wanajeshi wa Urusi wamewaua kwa makusudi raia wa Ukraine waliokuwa wakijaribu kukimbia, kuvuka mpaka kati ya waliouawa ni Mama na watoto 2 pamoja na baba yao ambaye amejeruhiwa kwa risasi ikiwa ni sehemu ya mamia ya raia wanaotafuta usalama nje ya nchi yao.


👆🏾PICHA: Tukio la kusikitisha kutoka nchini Ukraine kwenye uwanja wa vita.

Mpiga picha wa new york times Lynsey Addario alishuhudia mwanzo mwisho wa tukio hilo.


Moderator
Naomba mada hii ibaki ilivyo kuna kitu cha kujifunza hapo.
 
Mh!vita haina macho
Kuna mwanajukwaa, nadhani ni abdul nondo aliandika mada (inside of article) anataka wanafunzi wa kitanzania walioko eneo la mapambano wasindikizwe kufika mpakani.
 
ivi kati ya kujiunga na nato au kubaki na russia , yapi
maslahi ya wana ukraine ni yepi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…