green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Hata ingekua ipo Kremlin kikubwa ni habari ya ukweliHii si ni layout ya Sputnik. Ni mali ya serikali ya Urusi ikiungana na kina Pravda, RT, RIA Novosti na baba yao ITAR TASS.
Wewe ni mpumbavu au mjinga!?ivi kati ya kujiunga na nato au kubaki na russia , yapi
maslahi ya wana ukraine ni yepi?
utakavoona ww , we ita tu mkuuKati ya mjinga na mpumbavu wewe tutakuitaje!?
Wewe ni mpumbavuutakavoona ww , we ita tu mkuu
kama ulitegemea kama watu wote watasapot hio VITA poleJamani hizi taarifa kuwa Leo huko Moscow na St Petersburg kunafanyika maandamano ya kufa mtu ni kweli au. Maana nimeona huko Twitter clip za maandamano makubwa leo hii wakipinga hii vita. Pia kuna clip inaonyesha wafanyakazi wa kiwanda kimoja kikubwa wakiandamana baada ya biashara kubuma.
Kama hii ni kweli basi warusi wameona hii vita ni ujinga tu. Japo juzi Putin alipiga mkwala kuwa mwananchi atakayetoa maneno ya uchochezi atakula miaka 15 jela.
Duh!Inaumiza sana ila hakuna haja ya kuangalia kwa muda mrefu ikiwa una machozi ya karibu au hisia za aina yoyote.
Soma makala maelezo haya na hapo chini ili kujua kilichotokea na jinsi kinavyothibitisha ubaya wa vita, si katika usalama bali kwenye eneo husika, vitani hakuna jirani.
Wanajeshi wa Urusi wamewaua kwa makusudi raia wa Ukraine waliokuwa wakijaribu kukimbia, kuvuka mpaka kati ya waliouawa ni Mama na watoto 2 pamoja na baba yao ambaye amejeruhiwa kwa risasi ikiwa ni sehemu ya mamia ya raia wanaotafuta usalama nje ya nchi yao.
View attachment 2141599
👆🏾PICHA: Tukio la kusikitisha kutoka nchini Ukraine kwenye uwanja wa vita.
Mpiga picha wa new york times Lynsey Addario alishuhudia mwanzo mwisho wa tukio hilo.
Moderator
Naomba mada hii ibaki ilivyo kuna kitu cha kujifunza hapo.
nmefurahi kulitambua hiloWewe ni mpumbavu
Na ww unaoneji muda wote uliotumia kusoma huo ujinga ungekuwa umemalizia kuvuta kipisi chako cha bangiMtoa post unaonaje huu muda ULIOTUMIA kupost huu ujinga wako ungekuwa unasoma namna ya kutafuta pesa kwa kutumia fursa zilizopo mtaani kwako badilika acha ujinga soma usiwe mtu wa akili za 0.0 yaani zero brain
Mwanamke anashupaza shingo kama dume jikeHajaolewa uyo mwanamke aliyeolewa hawez poteza muda huku jf kama huyu
mmm humu kweli umekutana unadhani usa hana vyombo hivyoHapo ndio mtajua Russia ana vitu bora kuliko USA hapo ni ndege tuu umeona utofauti Mkubwa ,
Umewa kuvuta bangi!?mmm humu kweli umekutana unadhani usa hana vyombo hivyo
Jamani hizi taarifa kuwa Leo huko Moscow na St Petersburg kunafanyika maandamano ya kufa mtu ni kweli au. Maana nimeona huko Twitter clip za maandamano makubwa leo hii wakipinga hii vita. Pia kuna clip inaonyesha wafanyakazi wa kiwanda kimoja kikubwa wakiandamana baada ya biashara kubuma.
Kama hii ni kweli basi warusi wameona hii vita ni ujinga tu. Japo juzi Putin alipiga mkwala kuwa mwananchi atakayetoa maneno ya uchochezi atakula miaka 15 jela.
Mkuu,Marekani ana Military base Rwanda.Hapo Chagos jirani yetu ipo kubwa sana.Ahsante kwa shule hii
Yaani wewe ufahamu kuwa marekani anafunga kitambo poland ila urusi yenye majasusi dunia nzima hii taarifa wawe hawana kweliMkuu,Marekani ana Military base Rwanda.Hapo Chagos jirani yetu ipo kubwa sana.
Mauritania ipo.na Kigamboni.
Ya Djibout ni kwaajili ya Waarabu huko Iraq.
Kwahiyo wanachagua tu kikosi kikapige wapi kutokana na umbali.
Huko saa hii vyombo ndio vinapelekwa.
Mrusi anaona kama amemaliza vita.
Jamaa NATO ndio kwanza wanajiandaa.
Wako hapo Poland wanafunga mitambo.
Baada ya hapo utaskia mziki wake huyo Putin aandae makao mapya.
Urusi imepigwa sana hahahahaha umerogwa wewemarekani anayewaburuza hata hiyo haimuhusu. pia, ukweli tuuseme, urusi imepigwa sana na hawa vijana, wanajeshi wengi na ndege/vifaru vinigi mno vimeteketezwa, hata urusi ikishinda tuwape pongezi vijana wa ukraine kwa walichokifanya.
Mzee Marine ziko hapo zinashusha mzigo.Achana na mzigo ulikuwepo.Yaani wewe ufahamu kuwa marekani anafunga kitambo poland ila urusi yenye majasusi dunia nzima hii taarifa wawe hawana kweli
Iraq ya sadam Ni borA kabisa kuliko Ukraine ya leo coz kwa kipindi kile air Force yao ilikua y nne kwa ukubwa dunianiTena alitumia miezi mingi kuipiga nchi inayoingia Mara 10 ya ukraine. Iraq haikuwa na jeshi kubwa, Iraq alitengwa na dunia nzima, Iraq hakuwa na silaha zaidi ya mabomu ya kurusha kwa mkono na bunduki za kukoki. Russia anapambana na nchi yenye jeshi la tatu kwa ubora ulaya nzima, jeshi lenye dhana na vifaa vya kisasa