LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hakuna nchi ya Ulaya inataka kuwa shamba la kupigania vita wewe KILAZA.
We jamaa tunaanza kupeana matusi tena? Huwezi kujadili mada bila kuweka mafi yako hapa? Nyie watu sijui hata nani aliwaonyesha computer.
Soma historia bwege wewe Mrusi ashapigwa zamani sana na Mmarekani ndo mana hataki amsogelee.
We pimbi sijui ulikua wapi huko Matombo Pumbavu.
 
The neo-nazi AZOV battalion in Ukraine

This is an example of the Neo-Nazi AZOV battalion that Zelensky openly allows to commit violence in Ukraine.
And yet a whole herd are touting him as a hero because the Mainstream media told them to.

Photo 1: A Radom Azov soldier
Photo 2: The mayor of Kiev, Vitali Klitschko with the Azov neo nazis
Photo 3: The neo-nazis of the Azov Battalion sing out "sieg heil" in front portrait.
SS Das Reich 2, The Shame of a nation.
Photo 4: A few Azov Battalion taking a photo with Nazi Flag, NATO and Hitler's banned swastika




 
We are already there, Putin has said what the U.S. is doing through Nato is tantamount to the declaration of war!!
Not really! Russia needs to invade USA first. For now ni vita ya maneno tu kati ya USA na Russia.. vita halisi ni kati ya Russia na Ukraine.. hata Biden hajaruhusu ground forces za US military zipigane vs Russia.

Kwa hio ili muone jazba ya Mmarekani... ni pale Russia atakapovamia USA territory.. kama ambavyo Japan alivamia Pearl Harbor ya Hawaii USA in WW2
 

Hivi wewe kweli unaamini hakuna askari wa kimarekani ndani ya UKRAINE? Wamarekani hawawezi kusema openly kuwa askari wao wako ndani huko! UKRAINE wasingeweza kumdindia Putin namna hiyo peke yao mpaka sasa
 
Hakuna taifa duniani linaloweza kufanya hicho unachokiwaza kwa Marekani labda kupigana nayo tu not invading wataua kila aitwaye raia wa nchi hiyo
 
Kama haya yameshaanza kufanyika basi mdogomdogo tayari intelijensia ya USA/NATO imeshafahamu Strength and Weakness ya Russia Kijeshi na huenda wameshajua mbona anapigika tu.
Umeelewa kweli kilichoandikwa?

"If they decide" sasa swali ni kwamba nani atasema anatoa ukizingatia kauli ya Putin kuhusu atakae ingilia vita
 
Hivi wewe kweli unaamini hakuna askari wa kimarekani ndani ya UKRAINE? Wamerekani hawawezi kusema openly kuwa askari wao wako ndani huko! UKRAINE wasingeweza kumdindia Putin namna hiyo peke yao mpaka sasa
Hili linaelekea kuwa lina ukweli kabisa, Putin anapigana na NATO bila kujijua kupitia wale waliojifanya ni Volunteers ama veterans sema tu hawajajitangaza rasmi!

Ukrainians hawawezi kuwa na guts za aina hio za ku sustain hio operation bila ku give in. Nato wameingia kwa vazi la Ukraine ili kumpa backup. Sema zile kelele za Zelensky juu ya NATO ni geresha tu na usanii flani wa kupumbaza umma kuwa NATO hawamsaidii.

Aidha na silaha pia wanapewa na NATO.

Dawa ni ku evacuate wananchi wote ili kipigo kikali kitembee kile cha Maangamizi.
 
NATO au OTAN kama wanavyojulikana kitu pekee wanachpweza kukifanya ni covert operation tu yaani ujasusi.

Ndani ya masaa 72 Mariupol inaanguka na Urusi wanachukua udhibiti.

Kituo kinachofuata ni ODESSA.
 
Hivi wewe kweli unaamini hakuna askari wa kimarekani ndani ya UKRAINE? Wamerekani hawawezi kusema openly kuwa askari wao wako ndani huko! UKRAINE wasingeweza kumdindia Putin namna hiyo peke yao mpaka sasa
Kuna ndege, us tech, na meli na askari wa kisiri siri wachache ndio.. ila sio wanaofanya mashambulizi ardhini.. ground combat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…