LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Yaani atumie cost kubwa kupata kitu ambacho anaweza pata elsewhere kwa less cost.

Ujinga wa hivi anaweza kufanya ni Russia kama ambavyo anafanya huko Ukraine saizi na bado hajatoboa keshaingia kwenye mgogoro mkubwa wa Uchumi.

Russia saizi kazipita Iran na N.Korea kwa mbinyo wa vikwazo.👇

 
Russia ana natural resources kama zote uyo ndo mzalishaji no2 wa oil duniani na gas no1. Vikwazo kwa Russia havijaanza leo wala jana lakini jeshi lake haliyumbi, kwanini Russia ni moja ya superpower countries??
Hata N.Korea jeshi haliyumbi, point ya vikwazo sio tuu kuwabana serikali bali kuumiza watu wa ndani Ili wabadili kiongozi.

Kwa.sasa Russia anaongoza kwa kuwekewa vikwazo ngoja tuone mwisho wake

 
Na Hali iko hivi huko kwenye battleground,toys wa Russia wanakata tamaa maana hawaelewi wako vitani kufanya nini huku wenzao wako fire 🔥🔥 kulinda Nchi yao kwa morale



 
Faiza sijui habari zako unapata wapi.
1. Ni Ukraine walioomba tangu miaka 20 kujiunga na NATO na hawakupokelewa hasi sasa. Je nchi ndogo haina madaraka kuchagua inapopendelea kujiunga (hata kama haapokelewi)?
2. Dhambi za Marekani ni dhahiri. Dhambi za Urusi hupendi kuona? Vita yake dhidi ya Waislamu kwenye Kaukazi (pamoja na Chechniya), kushambulia Afghanistan, zamani Chekoslovakia, Hungaria? Vitisho dhidi ya mataifa ya Ulaya?
3. Putin kusema eti Ukraine si nchi, haistahili kuwa nchi huru - ukimkubali je unaona Tanzania ni nchi? Kwa nini? Ukikubali uhuni wa Putin, basi hakuna nchi ambayo ni salama.
4. Hadi sasa naona hakuna aliyeshambulia Urusi tangu miaka 80, lakini Urusi imeshambulia nchi kadhaa. Sasa Ukraine.
 
"I will defend my homeland with my tongue, and with a pen, and with a sword, as long as I have enough life."

Putin congratulated Russian women on International Women's Day and quoted Catherine II.View attachment 2142875
Anatumia nguvu Sana kuhalalisha uvamizi Ili watu wake mamuelewe lakini wapi Hali halisi ya majeshi yake iko hivi 👇

 
Asante kwa hii informative comment 👏
 
Generali wa pili wa Urusi auawa Ukraine.Mfumo wa mawasiliona wa jeshi la urusi wafumuliwa na hackers,mawasiliano yote hadharani. Uhaba mkubwa wa chakula na mafuta unawakabili majeshi ya uvamizi. Morali ya jeshi imeshuka kwa kiwango kikubwa baada ya mashambulizi ya kitaalam ya jeshi la Ukaraine. Kremlin:Vladimir Putin azidi kuchanganikiwa,hasa ukizingatia ushahidi wa uhalifi wa kivita unazidi kuzunguka kwenye mitandao ya kijamii. Majenerali wa Vladimir Putin wanahoji busara ya Putin kutumbukiza Urusi vita vya 'kipuuzi' kabisa. Jumuiya ya kimataifa inazidisha kibano vikwazo vya uchumi.-Toyota ,Nissan wamesitisha uzalishaji magari Urusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…