LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Naam tukiacha propaganda na maigizo kutoka ukraine. Raia wa ukraine hasa wanaume wameanza kutoroka inchi kwa kutumia mbinu ya kujificha kwe mabuti ya magari wanaume wengi wa ukraine wamelistukia jeshi la ukraine linataka kuwageuza wao kama ngao kusema ukweli ukraine imekuwa ikitengeza fake video nyingi ili kuwapa moyo wanajesh wake lakin raia wameshajua ukweli alafu anakuja mtu anakwambi tumeteka wanajeshi wa urusi ha ha ha ha ha ha huruma sana aki
 
sio kwamba kikosi cha urusi kipo weak kivile,sema wanapigana na taifa ambalo linapewa support na mataifa mengine kama silaha na mbinu ndio maana unaona ukrein anaonekana kujitutumua ingekuwa sio hivyo siku mbili tu vita ingeisha
 
General mwingine wa Urusi aliuwawa huko kharkov, Ukraine
Translation from Russian to English
 
Kulikuwa na speculations mbili.....
1. Western russians wana Ndugu wengi Ukraine ni ngumu kuwaambia wapigane.
2. Kungekuwa na Riots kwenye miji mikubwa as their sons wangekuwa wamepelekwa vitani, lakini saiv hawawezi Goma sababu sio watoto wao waliopo vitani.
 
Zelensky will involve Ukrainian peacekeepers in military operations against Russia.

The signing of the decree is reported in the Telegram channel of the Rada:

"Zelensky has decided to withdraw Ukrainian peacekeepers around the world ... to strengthen the Ukrainian army in repelling Russian aggression."
 

Russia kwa nchi tajir ipo top20 kama sikosei shida western propaganda. Kuna article nilisoma kwamba nuclear missile ina cost approximately $75m sasa anazo ngapi? Ukiachana na zile tsar, satan ambzo cost zake ni ghali.

Western wanatuaminisha kuwa Russia ni maskini[emoji28]
 
Yesterday we kept about 400 large buses completely empty in order to take people out of the surrounded cities and take them wherever they asked. But all these 400 huge buses stood empty all day.”

Humanitarian corridors in Ukraine do not work, people cannot go out. The only explanation for this is that Ukraine cannot control its armed forces, Medinsky expressed his opinion in an exclusive interview for RT.

Despite this, Russia will continue to keep the corridors open for several hours a day and observe the ceasefire, which Ukraine does not hold:

“No one left the cities. That is, they do not allow people to leave [the cities] and keep them there as human shields. This is where the problem is. They do not follow the orders of the government in Kyiv. This is a real tragedy."

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…