DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
.
Ndio maana baada ya Urusi kuona kushindwa GROUP WAR dhidi ya Ukraine kwenye viunga vya Kiev kaamua kwenda kuchukua wapiganaji kutoka Syria ambao ni wazoefu wa Mapigano ya Mijini (URBAN WARFARE). Pia ni baada ya Urusi kugundua kwamba hapigani na Ukraine TU Vita vya Ardhini Bali Kuna Makomandoo kutoka US,UK na Canada.
Propaganda za Zelensky zinakupeleka kubaya wewe, hebu punguza mahaba urejee kwny uhalisia Basi[emoji4]