Hivi naomba kujuzwa,kwa mfano huu msaada ambao Marekani ameutoa Ukraine je si ndio anakuwa kashaingilia Vita?au issue Kama hii inachukuliwaje?BREAKING NEWS
2 HOURS AGO.
Msaada wa Kijeshi wa Marekani kwa Ukraine umefika mda huu. ATGM na MANPADS za Kutungulia Vifaru na ndege zaidi ya 20,000 elfu zimewasili Ukraine. Thamani halisi ya Msaada huo wa kijeshi haijawekwa wazi.
Siku na Jumamosi,Marekani ilitangaza msaada wa kijeshi kwa Ukraine wenye thamani ni $ 360 mln.
View attachment 2143813
Soko la urusi liko ulaya nje ya ulaya Qatar na Iran ndo Wana reserve kubwa ya LNG, na Saudi Arabia crude oilNchi zote duniani zikiuza mafuta/gas yote bado hayatoshi hio ndio logic.
Marekani yeye toka mwanzo hategemei sana Energy yamrusi ni kama Asilimia chache tu, ngoma ipo ulaya ambao zaidi ya Asilimia 40 wanamtegemea Mrusi na Nchi kama Ujerumani Asilimia 55.
Na Urusi Hawezi kosa Soko, Kuna Mataifa Kibao Duniani wanaitolea Mate hio Gas na Mafuta. Energy ndio maendeleo, machine na viwanda Kibao Vinategemea.
Hii inategemea na RussiaHivi naomba kujuzwa,kwa mfano huu msaada ambao Marekani ameutoa Ukraine je si ndio anakuwa kashaingilia Vita?au issue Kama hii inachukuliwaje?
Uchumi wa Venezuela usingekua katika Hali mbaya vile watu wanakimbilia Colombia alafu unasema mambo ni shwari kuwa unafuatilia mambo ndugu
Venuzuela walikua na Hali nzuri sana uchumi ulikua unakua kwa haraka sana na sababu kubwa ilikua ni crude oil Kosa alifanya Hugo Chavez alivyoanza migogori na marekani wakamwekea vikwazo Kama hii huijui basi Kuna vitu vingi huvijuiSwali wanauza mafuta hawauzi? nimekwambia wanauza sasa ukitaka kuongelea mambo ya uchumi hilo ni suala lingine lini Venezuelea walikuwa na hali nzuri hata kabla ya vikwazo? wao wanashida za kisiasa poor management
Marekani Anawatumia Tu hao Ulaya, mpaka siku wakija Kuamka it's Too late.Soko la urusi liko ulaya nje ya ulaya Qatar na Iran ndo Wana reserve kubwa ya LNG, na Saudi Arabia crude oil
Siku ulaya wakitafuta alternative urussia watakua katika Hali mbaya na huu ujinga anaufanya Putin kwa kutumia nguvu dhidi ya nchi za ulaya
Mpaka sahivi Kuna wajeruman wanamlau markel kwanin aliifanya nchi kuwa tegemezi kwa Russia kwenye nishati
Hachana na hizi wanavenezuela wanakimbia nchi Hali ni ngumu, Taifa mda soma uchumi wa Venezuela na historia ya Ile nchi tokea uhuru mpaka Sasa utaelewa nacho ongeaVenezuela Doubles Crude Oil Exports Defying U.S. Sanctions
By
- Sales may not be sustainable as China cracks down on refiners
- Key ingredient supplied by ally Iran abets oil production
Lucia Kassai
January 3, 2022, 11:24 PM GMT+3
Listen to this article
1:46
Share this article
Follow the authors
+ Get alerts forLucia Kassai
In this article
CL1
WTI Crude
126.30
USD/bbl.
+2.60+2.10%
Oil exports from Venezuela doubled in December from a year earlier as the country raises production of revenue-generating hydrocarbons in defiance of U.S. sanctions.
Shipments averaged 619,000 barrels a day in December. The OPEC-founding member increased exports for a third straight month with the support of ally Iran, which boosted the supply of a key ingredient that aids production.
Marekani anatumia ela nyingi sana ulaya ndo maana kipindi Cha trump alikua anasema ulaya nao walipe fair shareMarekani Anawatumia Tu hao Ulaya, mpaka siku wakija Kuamka it's Too late.
Kutoa Gas Qatar si mchezo, Urusi ipo karibu Bomba tu zinapeleka ulaya. Hivyo kunakua na unafuu.
Mkuu Google Gdp per capita Ya Venezuela, ni kweli walikuwa na Hali mbaya miaka kadhaa iliopita (Gdp per capita chini ya dola 5000), ila miaka ya karibuni wanakuwa kwa kasi mno. Wameshafika zaidi ya $10,000 Sasa hivi.Uchumi wa Venezuela usingekua katika Ile mbaya hela haijifichi
Zimbabwe nayo iliwekewa vikwazo angali Hali ya uchumi wake ilivyokua mbaya
Kwa kweli nimewapenda bure.. they're brave.
Dedicated to gallant brave Ukranians -you inspire the world.
Ndio kwa sehemu, ingawa sio moja kwa moja kwasababu hajapeleka wanajeshi wake katika uwanja wa vita dhidi ya Urusi.Hivi naomba kujuzwa,kwa mfano huu msaada ambao Marekani ameutoa Ukraine je si ndio anakuwa kashaingilia Vita?au issue Kama hii inachukuliwaje?
Sijui