LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Vikwazo vya marekani ndo vilifanya Hali ikawa mbaya Zaid kila mtu anajua labda wewe ndo hujui
1980s to 1990s: Global oil prices fall. Venezuela’s economy contracts. The country faces massive debt. Sijui una miaka mingapi shida ilianzia hapa sio USA, US walikuja kuweka vikwazo baada ya venezuala kuwa wanafanya mauji kwa wapinzani miaka ya 2000 sio kabla.
 
Wewe unaongeaga vitu vya ajabu sana ndugu yangu kwanini huwazi kwa akili yako ya kawaida ambayo haiitaji ata shule mzee emu niambie katika ixo nchi zoooote zenye makubaliano hayo ya OPEC sijui OPEC PLUS nani mwenye ubavu wa kwenda kinyume na matakwa ya Marekani nitajie nchi mojawapo kati ya izo nchi zenye makubaliano ya OPEC mwenye uwezo wa kupinga matakwa ya USA sitaki porojo nitajie nchi moja wapo
 
Swali wanauza mafuta hawauzi? nimekwambia wanauza sasa ukitaka kuongelea mambo ya uchumi hilo ni suala lingine lini Venezuelea walikuwa na hali nzuri hata kabla ya vikwazo? wao wanashida za kisiasa poor management
Hjna akili pathetic!!
 
Bro tumia akili acha ubishi wa kitoto
 
Nashauri moderator uwe unafuta/zuia picha kama hizi. Ziwe za Russia, Ukraine au yeyote yule. Nadhani zinaharibu hisia za watu. Wengine hatuwezi kuangalia haya mambo.

Wengine kama huyu huenda ni mhudumu wa Mochuari na anaweza kuweka hata kwenye Profile yake.
 
Rais wa Ukrain asalimu amri, asema halazimishi tena Ukraine kujiunga NATO. Ni baada ya kichapo cha mbwa koko ambacho Putin anaendelea kukitembeza Ukraine.

Shikamoo Putin!



 
Marekani imeikatalia Poland kupeleka msaada wa ndegevita (MiG29 fighter jets) Ukraine kupitia base ya kijeshi ya Marekani iliyopo Ujerumani. Marekani imekataa ofa hiyo ya Poland kwa kuogopa Putin atashambulia nchi za NATO zitazohusika.

Kila mmoja aogopa kumfunga kengele Paka. Ingawa walijisemesha kuwa ati watapeleka msaada wa ndegevita



 
Marekani anajua Urusi ni nini na Marekani anajua lengo la Putin ni kutaka kuona nchi za nato zinajiingiza ukraine
 
Rais wa Ukrain asalimu amri, asema halazimishi tena Ukraine kujiunga NATO. Ni baada ya kichapo cha mbwa koko ambacho Putin anaendelea kukitembeza Ukraine.

Shikamoo Putin!

View attachment 2144117


Acha huyo comedian Zelensky aonje joto ya bunduki, asije ongea, hadi afikiwe kwanza, aonje risasi, huyu Rais comedian nyoko sana, ameingiza nchi katika vita bila sbb yoyote na watu wamekufa na nchi imeharibika vibaya sana, lazima aonje risasi au atoroke, aje Rais mwingine pro Russia. Go Putin go.
 
Poland na UK wameona Russia ana uwezo Mdogo sana kijeshi wanafanya Kila kitu aingie 18 zao
 


Hizo Mig 29 aliyetengeneza ni Russia, atazitungua zote na kuzipiga nchi zote hizo za Ulaya in just one night..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…