LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
IMG_20220309_120133.jpg


Huu ujinga alishaufanya Hitler , hii ndo hatari ya kujijazia silaha unakuwa unataman upate mnyonge wa kumpiga , ....hata hvyo Hitler aliweza ku-hold for more than 5 years of war ...huyu Kwa vikwazo hv sjui atafikisha hata miaka miwili
 
So far 12,000 members of Russian troops neutralized in Ukraine.
SkyNews
Screenshot_20220309-124741.png
 
Marekani hawaaminiki wanachonganisha watu. Ukraine ilivyolalamika ikataka mambo mengi yafanyike kwake, mojawapo ni kupewa ndege za kivita. Marekani ikaziambia nchi zenye ndege sawa na Ukraine kwamba waipatie itumie. Poland inazo Su-29 squadrons kama tatu ikakubali itaipatia Ukraine. Taarifa zikaja kwamba itapeleka ndege haraka Ukraine ila Poland ikawahi kukanusha mara moja.

Sasa Poland wakakwepa mtego kwamba watatoa ndege zao za Su-29 ila watataka Marekani izifidie kwa kuwapa ndege nyingine, wao wanazo F-16 C/D na Marekani inazo ila chache na muhimu kwenye vita za kawaida kwa hiyo haiwezi zitoa kwa Poland. Ingetoa version ya juu ya chini kidogo labda. Poland iliagiza F-35 ila itaanza kuzipokea 2024 ndio maana inatoa hizi Su-29. Au kulikuwa na option nyingine kwamba NATO members wawe wanafanya rotation ya ndege zao kwa Poland kufidia upungufu wa hizi Su-29 mpaka pale watakapopata replacement kukamilika Airforce.

Sasa Poland kwanza ilishakataa kutumia airbases zake kwenye vita hii. Jana ikasema ndege itazitoa izipeleke Marekani kisha Marekani ndio impatie Ukraine. Cha ajabu leo Marekani imekataa. Maajabu!
 
Hii ni faida kubwa sana kwa USA kujua ubora na Udhaifu wa silaha za Mrusi maana Russia inapigana na Silaha zake mwenyewe
Sababu yukraini hakuna silaha za mmarekani. Mbona comment kichekesho sana
 
Visa and Mastercard, which have announced their withdrawal from Russia, intend to raise the commission for servicing bank cards for some large merchants, WSJ reports, citing sources.

Visa has extended the period of work with Russian cards by one day, follows from a statement on the company's website. You can pay using this payment system until March 11.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
The Constitutional Court of Russia withdrew from the Conference of European Constitutional Courts.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Marekani hawaaminiki wanachonganisha watu. Ukraine ilivyolalamika ikataka mambo mengi yafanyike kwake, mojawapo ni kupewa ndege za kivita. Marekani ikaziambia nchi zenye ndege sawa na Ukraine kwamba waipatie itumie. Poland inazo Su-29 squadrons kama tatu ikakubali itaipatia Ukraine. Taarifa zikaja kwamba itapeleka ndege haraka Ukraine ila Poland ikawahi kukanusha mara moja.

Sasa Poland wakakwepa mtego kwamba watatoa ndege zao za Su-29 ila watataka Marekani izifidie kwa kuwapa ndege nyingine, wao wanazo F-16 C/D na Marekani inazo ila chache na muhimu kwenye vita za kawaida kwa hiyo haiwezi zitoa kwa Poland. Ingetoa version ya juu ya chini kidogo labda. Poland iliagiza F-35 ila itaanza kuzipokea 2024 ndio maana inatoa hizi Su-29. Au kulikuwa na option nyingine kwamba NATO members wawe wanafanya rotation ya ndege zao kwa Poland kufidia upungufu wa hizi Su-29 mpaka pale watakapopata replacement kukamilika Airforce.

Sasa Poland kwanza ilishakataa kutumia airbases zake kwenye vita hii. Jana ikasema ndege itazitoa izipeleke Marekani kisha Marekani ndio impatie Ukraine. Cha ajabu leo Marekani imekataa. Maajabu!
unataka kusema hii habari sio ya kweli?

👇
 
The next round of negotiations between the delegations of Russia and Ukraine may take place after the meeting between Lavrov and Kuleba in Turkey, political analyst Voskresensky said.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
The permanent representatives of the EU countries agreed to expand sanctions against "Russian oligarchs and members of their families" - the French presidency.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
There was no talk of any peaceful use of biological programs in Ukraine, they were supported by the US Department of Defense - the Russian Foreign Ministry.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Fast food chains Burger King and KFC are likely to remain on the Russian market, because in Russia they operate on a franchise basis, Sergei Mironov, ombudsman for the Moscow restaurant business, told RIA Novosti.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
There are risks of nuclear provocations from Kyiv, the establishment of control over the Chernobyl and Zaporozhye nuclear power plants was done solely to prevent such provocations, Zakharova said.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom