LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hii ni takwimu kulingana na Jeshi la Ukraine Leo hii.Kama utabisha wanaruhusu ukatafute chanzo chako unachoota Cha uhakika:
......
Today's Urkrainian defense reports

Verified by actual Urkrainians, in Ukraine. The source os clearly listed in the graphic, feel free to find your own sources.

These are the indicative estimates of Russia's losses as of March 9, according to the Armed Forces of Ukraine.
 
Halafu mtoto alivyokosa adabu sasa yeye anapiga korodani sometime anashika dushe la baba ananingi'nia kama bembea sometime anamtupia baba pilipili/mchanga machoni.Toto Yukren hili halifai kabisa😛😀🙄
Mkuu, jielimishe kidogo. Ukraine si mtoto wa Urusi. Habari hii unapata wapi???
 
Kuna watu ni wabishi sana ,hawaamini kama Urusi naye anatandikwa .

Ukiangalia ukraine video wanazopost instagram kwenye account yao ya Ukraine Defence hutabisha ,vifaru nyingi na helicompters za urusi zimedunguliwa sana
 
Halafu kuna vijana wajinga wanakaa sebuleni kwa shemeji zao wanakaa hapa wanaanza kushabikia vita
Sasa vita imeshatokea, je wasiposhabikia ndio vita vitakwisha?

Nyapara wa Dunia kaufyata, kwa nini wajera jera wasishangilie?

Viherehere gerezani hawana raha, kwa nini wajera jera wasishangilie?

Ulitaka wakae kimya, au wamsapoti mliberali?

We tulia Ukraine aka neo Nazi wanyolewe
 
Kuna watu ni wabishi sana ,hawaamini kama Urusi naye anatandikwa .

Ukiangalia ukraine video wanazopost instagram kwenye account yao ya Ukraine Defence hutabisha ,vifaru nyingi na helicompters za urusi zimedunguliwa sana
Watu sio hawaamini kuwa kuna askari wa Urusi wanauawa, lkn kwa jinsi mnavyosema kuwa Urusi imezidiwa wakati kila uchao jamaa wanachukua maeneo ya Ukraine. Hapo ndio shida huanza, semeni hivi pamoja na Urusi kushambulia sana ila pia na wao wanapoteza angalau askari wao.
 
Kwani wewe Nyerere alipoivamia Uganda watanzania wote walikubaliana nae??,kuna interest nyingi za Nchi sio lazima imsikilize kula MTU watu huja na kuondoka Nchi na vizazi vitaendelea milelmilele

Kuna watu ni wabishi sana ,hawaamini kama Urusi naye anatandikwa .
😂😂😂Kuna Watu wanaona Warusi ni malaika ni kama vile miili Yao haingii risasi!!
Putin kutumia nguvu kubwa kushambulia miji ya Ukraine Mpaka maeneo ya raia kama hospital ni dalili ya maji kufika shingoni!!
 
Mkuu I'm sure Ukraine wengi pia wamekufa lakini takwimu hizi za kusema Urusi wamekufa 12,000 + na Ukraine 400+ siziamini kwasababu kwenye majengo na makazi ya watu wapo wengi kuliko hao wanaovamia . Ila Ukraine naye si wa kitoto au legelege kama tulivyomchukulia
 
Unadhani kila mtu amekaa hapa jobless anapunguza stress kwa kuandika chai sio, grow up!


Tusiongelee personal lives za watu hapa coz hazisaidii chochote, Ila I have strong ties with Russians.
Achana nae huyo,hawa ni wale maisha yao wanategemea mshahara mwisho wa mwezi kutoka kwa mwajiri,hawezi kuelewa kama kuna watu wana connection kubwa za kikazi/kibiashara.Tatizo tukiwa tunacomment hapa wote watu wanachukulia tuko sawa,kumbe nnje ya JF tunatofautiana sana kimaisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna Watu wanaona Warusi ni malaika ni kama vile miili Yao haingii risasi!!
Putin kutumia nguvu kubwa kushambulia miji ya Ukraine Mpaka maeneo ya raia kama hospital ni dalili ya maji kufika shingoni!!
Nachoona Putin atapoteza wanajeshi wengi,wengi watakaoenda Ukraine asilimia kubwa hawatarudi hai
 
Kaka ongea uhalisia,kumbuka Historia ya Tanzania na Uganda ni tofati na historian ya Russia na Ukraine.

Kiufupi katika ugomvi wa Tanzania na Uganda,mwenye makosa ni Nyerere alimkumbatia Obote ambaye ni Adui wa IDD Amin-ndio maana Idd amin alianza mikwaruzano kuichukua Kagera kumshinikoza Nyerere kutomkumbatia Obote.Idd Amin aliamini as long as Obote yupo kwa jirani take (Tanzania) basi Utawala wake upo mashakani.
Hivyo hivyo hii case inafanana kabisa na Russia na Ukraine
 
Funzo lingine kubwa linalopatikana kwenye mzozo huu, bila kujali nani atashinda ni kuwa: Usiwaamini mataifa ya magharibi kwa asilimia 100. Ni wanafiki, wana double-standards, kampuni zao za kimataifa (MNEs) ni state owned kama za China tu.
Wanabagua watu kimadaraja. Ishi nao kwa akili!
 
Mkuu mbona Nyerere alikuwa na sababu za msingi kujibu mapigo ya Iddi Amini? Kavamia Kagera ambayo ni part ya Tanzania. Sasa je Kagera ichukuliwe? Kagera ilivamia Nyerere akajibu mapigo
 
Hapo sentensi ya mwisho walau mnaanza kukubaliana na uhalisia
 
😂😂😂Kuna Watu wanaona Warusi ni malaika ni kama vile miili Yao haingii risasi!!
Putin kutumia nguvu kubwa kushambulia miji ya Ukraine Mpaka maeneo ya raia kama hospital ni dalili ya maji kufika shingoni!!
Warusi wanakufa.. Hakuna ubishi
Hata ndege zao zinatunguliwa.. ila wanazo nyingi..
Kitu ambacho sio kizuri na hakisemwi ni baadhi ya askari wa Ukraine kushambulia warusi huku wakiwa karibu na majengo ya raia.
Askari wengine wa Ukraine wanajificha kwenye majengo ya raia wakiwa na ant tanks.. Sasa Mrusi akijibu inaonekana anashambulia raia..
Hili halisemwi ili likomweshwe ili raia wasichanganywe na wajeshi
 
Hapo sentensi ya mwisho walau mnaanza kukubaliana na uhalisia
Mkuu mi kuanzia mwanzo niliona dalili kwamba Ukraine siyo kirahisi hivo. Watu wanasema Ukraine wanafanya propaganda but tunaona video za kwenye uwanja wa vita wakiteka vifaru ,wakitungua ndege, wakiua warusi ,lakini upande wa pili wanachoonyesha ni mabomu yakitua kwenye majengo. Technically Russia anasifiwa tu maana kama Georgia alimtoa kamasi sembuse Ukraine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…