Huyo jamaa wa Ukraine anachekesha, is he comedian? Yani Ukraine itaishia kuokota pieces baada ya vita kisa huyu mchekashaji, the country is being dismantled yeye analeta vichekesho?The deputy head of Zelensky’s office said that Ukraine needs security guarantees from the United States, Britain and Germany, since guarantees from Russia alone are “not enough.”View attachment 2144734
Hakuna ushahidi kwamba hao ni askari wa UrusiView attachment 2144767
Askari wa Russia wakiiba Kuku 😂😂😂😂
Hawa mwezi wa nne wataanza kufa kwa njaae
Niambie sababu za msingi za Nyerere kuivamia Uganda??Mkuu mbona Nyerere alikuwa na sababu za msingi kujibu mapigo ya Iddi Amini? Kavamia Kagera ambayo ni part ya Tanzania. Sasa je Kagera ichukuliwe? Kagera ilivamia Nyerere akajibu mapigo
😂😂😂😂Hakuna ushahidi kwamba hao ni askari wa Urusi
Putin anatakiwa anyongweRussia’s defence ministry has acknowledged that some conscripts have participated in the war in Ukraine days after President Vladimir Putin denied that was the case.
The ministry said that some of the conscripts had been taken prisoner by Ukrainian forces. But it claimed that “practically all” such individuals deployed to neighbouring Ukraine had now been pulled back to Russia.
Mkiambiwa Russia Hana jeshi zuri kama anazosema, hamuamini
Sasa unapelekaje mtu vitani hata miezi 6 jeshini hana.
Putin ameua sana vijana wa Russia
Ingekuwa TZ ingebaki vumbi,sidhani kama kuna bunduki hata million 60 ili kila raia apate,Tanzania nzima bunduki zinaweza zisifike hata mil 10Nikifanya Tathimini ya haraka naona kama vile Tz inauwezo mkubwa kijeshi kuliko Ukraine. Mimi nadhani tukipigana tunamkalisha tu.
Watu tukisema hamna akili mnasema sisi wakorofi sasa mtu akikuuliza umeandika ugoro gani huu??kumbuka ukraine alisema hayupo tayari kujadili jambo lolote na wavamizi au umesahau
Tayari mpaka sasa mwenye karata kwenye dume kwenye hii operation ni Urusi.
kumbuka jana Nikolaev imeanguka , sasa rasmi inafuatwa odessa ili kuifunga pwani ya ukraine isiguswe
Kulinda kagera isichukuliweNiambie sababu za msingi za Nyerere kuivamia Uganda??
Hatoboi vipi wakati UKRAINE haikaliki?? We unadhani URUSI hawezi tupia makombora hapo KYIV?? ni kwakuwa ataua raia wengi na ndio maana kwa ustaarabu ameomba raia waondoke. Unajua kwann Urusi wanalazimisha Raia waondoke KYIV??Tatizo vita imeingiliwa na wanajeshi wengi wa nato, marekani imetoa pesa nyingi kuifadhili Ukraine, Ukraine inaweza tumia hiyo pesa kukodi wanajeshi. Hapo Russia hatoboi
Propaganda peddlersSkyNews wanadai wanajeshi wa Russia waliofariki wanaweza kufika elfu 10:
Ukraine war: Lost equipment, casualties and communication failures: How the Russian military is faring in Ukraine
Security and defence analyst Michael Clarke tells Sky News why the Russian military appears to be struggling in Ukraine - and what Russian President Vladimir Putin's next moves could be.news.sky.com
hiyo vita haiishi leo wala kesho mpaka mpaka putin amtoe madarakani huyo comedian kibaraka wa mabeberu...putin anataka kupandikiza kibaraka wake ukraine,kama putin akimtoa madarakani huyo comedian itakuwa ni ushindi mkubwa sana kwake naitakuwa ni pigo takatifu kwa mabeberu hasa marekani ndio maana marekani anafanya kila awezalo kumzuia russia...Kwa huu mfululizo wa vikao ni dhahiri Vita vimeshaisha hivi. Kama tayari kuna kikao kijacho kwa mawaziri wa mambo ya nje wa Russia na Ukraine basi kila mmoja kashalainika hasa Russia.
Unatania brother au upo seriousNikifanya Tathimini ya haraka naona kama vile Tz inauwezo mkubwa kijeshi kuliko Ukraine. Mimi nadhani tukipigana tunamkalisha tu.
Kumbuka hata Idi amini alikuwa na zana nzuri kuliko sisi. Unajua ni kwanini tulimshinda!!?Kinachokuaminisha sisi tupo vizuri ni nini, Uganda na Kenya wanaoongoza kuwa na military expenditure kubwa kuliko sisi.
Nadhani umeziona old soviet aircraft zinavyofanya hapo ukraine, sasa, Uganda ana SU 30 new technology hapo anaziungurumisha.
Labda tutegemee idadi ya askari na discipline ila mkuu kama vipi fungua uzi tukutane huko tujadili najua kuna wataalamu wengi watachangia
Raia wa Ukraine wanashika bunduki tangu tishio la kuvamiwa lilipoanza hilo si jipya na habari zilisema walikuwa wanafundishwa shabaha kutokana na tishio la uvamizi.Ukifuatilia CNN, BBC, SKY NEWZ utaona kabisa URUSI amezidiwa pakubwa.
Ila kwa ground UKRAINE hawapumui, viwanja vya ndege, miundombinu, kambi zao nk ziko vibaya muda huu.
Vita sio kitu ambacho utafucha, matokeo yanaonekana wazi kuwa UKRAINE hali yake ni mbaya, hadi Raia wanashika bunduki maana yake wamepoteza askari wengi sana.
Na muda huu hawavai kombat ili kujichanganya na Raia na ndio maana Urusi akapendekeza Raia waondolewe, mtakuja hapa kulalamika miji ya Ukraine kuwa vifusi muda si mrefu.