LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Unaota kama huyo mbunge kanjanja wa UK.
 
Ataenda vitani?
 
Sio ujinga ndugu yangu jaribu kufuatilia utagundua tu.
ukitaka kuaminika lete facts sio porojo kutokua Muislamu kusikufanye ukachukia Waislamu huenda icho.unachokichukia ni bora kwako lkn hujui
 
Zelensky signed a law that allows all residents of Ukraine to use weapons during martial law, RIA Novosti reported.View attachment 2145153
Sasa sheria ka hii, ni ujasiri au kuteketeza Raia...


Wana mafunzo gani mpk wakabidhiwe silaha? Ka wao wamezidiwa hao Raia ndo wataweza kweli?

Hizi kauli ndo zinanipa mashaka ya kile kinachoendelea eneo hilo.

Hivi "do they care about us"... Yani viongozi huwa wanawajali Raia wao kweli?
 
Sasa unadhani baada ya hapo itakuaje? Sio UK tuu hata EU imesema by the end of the year wata punguza zaidi ya 2/3 ya utegemezi kutoka Russia kwa hiyo hapo tayari soko linaharibika.

 
Top news for the day:

— The US House of Representatives passed a bill banning the import of Russian energy carriers and taking measures to suspend Russia's participation in the World Trade Organization (WTO);

- President of Ukraine Volodymyr Zelensky signed a law allowing all residents of the country to use weapons during martial law;

- EU countries intend to gradually stop buying Russian oil, gas and coal, according to the draft declaration of the EU summit in Versailles;

The American manufacturer of construction equipment Caterpillar announced a temporary stoppage of work in Russia. Also, the suspension of production or supply of goods to Russia was announced by Nintendo, Epson and Sony Interactive Entertainment.
 
Tafakari kidogo! Unaamini kweli Putin hakujua hao askari vijana wako?? Ilhali tunajua mhanga wa kwanza wakati wa vita ni ukweli.

Picha na habari za hao vijana wadogo warusi zimepatikana tangu siku ya pili ya vita hiyo. Kila safari Putin alisema si kweli.
Inaonekana sasa kilio cha familia kote Urusi kimefika kiwango ambacho hawawezi kunyamazisha tena. Kwa hiyo: Bosi hajui kiti, mjinga fulani wa chini ataadhibiwa....
 
Kwani Russia yeye alisemaje? Si alisema hakuna majadiliano yeyote baada ya Ukraine kuomba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…